HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Acha basi kutuletea habari za kusikia au tetesi huu siyo wakati wake bali tunahitaji uhalisia
viongozi wetu wengi wao ni zero 🧠 yani hata kinyesi kina faida maana kinarutubisha ardhi ila sio haya mavi...ongozi tulionayohivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
Tunaipataje pataje?Starlink
Ahaa kumbe mmetumiwa sms eehehSidhani maana Banks zinatuma sms kwa wateja zitakua wazi 29 na 30 mpaka saa kumi na mbili jioni...
Cc: Mahondaw
Wazime hata mwaka mzima ,wapuuzi sana ,ujinga ujinga tu mwingi ,wanasababisha tu hasara kwa watu ,bila kuwasikiliza wananchi ni kazi bure! Hauwezi kuwanyamazisha wananchi kwa kuwazimia internet! kufanya hivyo ndivyo wanazidi kuwakimbiza watalii na wawekezaji.Kuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.
Wameanzisha mifumo kibao kuanzia kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, wazime ila wajue sio tu wananchi watapata madhara makubwa bali pia undendeshaji wa shughuli nyingi katika taasisi mbali mbali zitakwama, matokeo watayaona tu , hii nchi inaenda kucollapse.Kuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.
Acha maneno wewe 😅Ahaa kumbe mmetumiwa system eeheh