Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,194
- 3,959
Umasikini tuhivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
Umasikini tuhivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
...Hivi hawajajifinza TU kuwahata Wakizima Internet Kwa MWEZI, watakapoifungua Duniani itajua TU kilichoendelea ? Hawajifunzi TU ?Kuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.