Wazime hata milele mpaka Yesu atakaporudi ila tunasema utekaji haukubaliki.Kuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.
Acha tuisome namba pamoja ndugu kada. Mnaendelea aje huko chamani?Duhh alternative ni nini sasa aisee?
Ni kusifu na kuabuduDuhh alternative ni nini sasa aisee?
Yaani mtu ajiuzulu kwa shinikizo la Mange kimambi?hivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
Tutakufa aiseeee hasa kwa sisi wagonjwa mahututi wa JF hali itakuwa ni mbaya.Fresh tuu, wakirudisha intanet tutaendeleza tulipoishia.
Ntopo kilebeAisee
Maagano ya kiroho huwa yanawatesa. Kama samia unakuta ashakula kiapo na majini ambayo yanataka Damu ndio maana huwa hawaoni shida kuua hovyo raia wasio na hatia.hivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
Hili jambo nililiona pia nikahisi kwangu tu.Dah kuanzia juzi
Ikifika saa 12 mtndao unasumbua sana
Hakuna afadhali mkuu.Wakikata umeme Kwa hizo siku sawa raia tungeteseka, hayo mengine now tunaishi Kwa liwalo na liwe🙌
Kikubwa tunateseka wote,Hakuna afadhali mkuu.
Wakikata umeme tunaweza kusema labda Kwa kiasi Fulani watu wako na Sola Panels, Jenereta n.k
Wakikata intaneti mbadala wake nchini haupo labda watu wa mipakani.
Ila Kwa ujumla hakuna kitu chenye afadhali
Africa uongozi sio kuwahudumia watu bali ni miradi ya kupiga pesa. Je wewe unaweza kuachia mradi wako wa kupiga pesa kurahisi tu?hivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
Walizima kwa siku 5 wakaua wato 23,000 sasa bila shaka safari hii wamepanga kuua watu 50,000. Kama vipi wazima milele tu tuishi zama za giza ila tu wajue kisasi kiko pale pale.Kuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.
Ina maana mpaka UVCCM nao hawatakua na access ya internet.!Acha tuisome namba pamoja ndugu kada. Mnaendelea aje huko chamani?
Kipato changu kwa asilimia 90 kinategemea stable internetHakuna afadhali mkuu.
Wakikata umeme tunaweza kusema labda Kwa kiasi Fulani watu wako na Sola Panels, Jenereta n.k
Wakikata intaneti mbadala wake nchini haupo labda watu wa mipakani.
Ila Kwa ujumla hakuna kitu chenye afadhali
Kwakweli Intaneti ni muhimu Sana Kwa maisha ya sasaKipato changu kwa asilimia 90 kinategemea stable internet