Internet for free

Kama uko Dar nakushauri tumia Sasatel, nunua bundle ya sh 7500 kwa wiki unapata MB 1600. Nachat, nawatch u-tube videos, nadownload attachments za picha na docs na ikifika siku ya sita huwa inakuwa imesalia kama MB 700-900, hiyo naitumia kudownload movie 1, au software zozote. Halafu speed yake si ya kubahatisha. Ni nzuri kwa kweli, sifahamu hapo badae kama watachakachua.
 
kaka Pole sana, nimesoma POST zote hakuna iliyokuelekeza kutumia VODAfone modem, modem ya voda ni nzuri kwa elf 30 per month una access kila siku, kila wakati na ku download kila-unachokitaka. Ni nzuri sana. Jaribu hiyoitakufaa
 
kaka Pole sana, nimesoma POST zote hakuna iliyokuelekeza kutumia VODAfone modem, modem ya voda ni nzuri kwa elf 30 per month una access kila siku, kila wakati na ku download kila-unachokitaka. Ni nzuri sana. Jaribu hiyoitakufaa
Shida ya hiyo ya voda ni speed imekuwa limited.
Mwisho bure ni ghari, unaweza kufanikiwa kuchakachua leo let say fot Tshs 60,000.00 halafu baada ya wiki supplier anashitukia uchakachuaji huo na kublock. Week for 60,000 kama ni bundle ya Airtell ni 60,000/2500 au Sasatell 60,000/7500 utapata jibu. shida ya uchakachuaji hujui lini utazuiwa ku access.
 
Mzee Pausll umezulumu nafsi muda mrefu sana chukua modem ya Zain ni bomba mno 400MB ni TZS 2,500/= validit time one month ila unaweza kununua bundle nyingine ikiwa imeisha muda wowote, sio kama Zantel wakabaji!
Hiyo red sasa inaitwa airtel na unaenda sehemu ya meseji unaandika neno internet una tuma kwenda 15444 utapata 400 MB kwa mwezi mmoja
 
Wireless hakuna,ila mm nimeandika tu coz kuna jamaa nilickia akisema uwezekano huo upo,wanaweza kuchakachua line na uka2mia internet bure.
Samahan wakubwa kama nimewakera.

G.Shayo, hakuna kitu cha bure kama unavyofikiria..........hawa jamaa wa mitandao wanaweza wakareview na wakakuta iko namba inatumia sana data, na watakapofatilia wakakuta unachotumia ni tofauti na kile unacholipa huwa wanaiblock namba yako, na sbb namba ziansajiliwa ni hatari sana sbb ni rahisi kukufahamu
 
wakubwa habari za kazi,
wakubwa internet inamaliza mkwanja wngu,hakuna njia ambayo mtu unaweza kupata line ambazo zimechakachuliwa jamani?
Mimi natumia ya airtel na natumia simu yangu kama moderm wakubwa naliwa hela mpaka muda mwingine nashndwa hata kushare nanyi ma softwire,jaman msaada unahtajika kwa yeyote mwenye maujanja.

kama upo dsm nunua modern ya sasatel utaenjoy.1.5 gb kwa tshs 7500 weekly na options zingine kibao
 
Back
Top Bottom