Intellect over emotions or emotions over intellect?

Intellect over emotions or emotions over intellect?

Fill my cup and drink with me

We are being asked to be intelligent, not emotional. The irony!

Kuna sababu ya maneno "shall be" kutumika badala ya maneno "may be". CAG anapaswa kuwa huru katika majukumu yake bila kuhofia kibarua chake.

Kama kila baada ya miaka mitano CAG anaweza kubadilishwa basi uhuru huo unapungua na kumzuia kufanya kazi yake kwa uadilifu. CAG asipokuwa huru na asipokuwa muadilifu basi hakuna checks and balances hapo.

Hapa hatujaanza kuhoji utaalamu na uzoefu wa Kichere kwenye ukaguzi wa mahesabu na historia yake kwenye utumishi wa umma (juzi tu kafukuzwa kazi).
 
Katiba inasema "na anaweza kuongezewa" au inasema "na ataongezewa"? Kuna tofauti kubwa sana kama mteuaji anapewa uhuru wa kuamua kumuongezea muda au la.

Kwenye katiba inasema "shall be eligible for renewal" na haisemi "may be eligible for renewal", hivi ni vitu viwili tofauti sana. The former implies renewal must be done and the latter implies its optional or not to renew.

If we are to debate intelligently without emotions, it's clear the office of the President is on the wrong here.

nyabhingi Nyani Ngabu

Shall be eligible for renewal [or re-appointment] doesn’t preclude others who are qualified from eligibility.

Or does it?
 
We are being asked to be intelligent, not emotional. The irony!

Kuna sababu ya maneno "shall be" kutumika badala ya maneno "may be". CAG anapaswa kuwa huru katika majukumu yake bila kuhofia kibarua chake.

Kama kila baada ya miaka mitano CAG anaweza kubadilishwa basi uhuru huo unapungua na kumzuia kufanya kazi yake kwa uadilifu. CAG asipokuwa huru na asipokuwa muadilifu basi hakuna checks and balances hapo.

Hapa hatujaanza kuhoji utaalamu na uzoefu wa Kichere kwenye ukaguzi wa mahesabu na historia yake kwenye utumishi wa umma (juzi tu kafukuzwa kazi).
Unajiuliza mtu kama mwanakijiji akili yake sijui kaibadilisha na vijifedha vya kunnulia hamburger za McDonald?
 
Eligibility linamaanisha nini kwenye katiba?unaweza kutaja?

Hiyo maana yake ni kwamba kama una sifa zinazotakiwa au hitajika, unaweza kuteuliwa.

Hilo neno halimaanishi tu kwamba anayepaswa kuteuliwa ni huyo aliyepo kwenye hiyo nafasi.
 
1. Umri wa kustaafu CAG kisheria ni 65 kwa mujibu wa Sheria ya Audit

2. Katiba inampa miaka 5, na kama akiwa bado hajafika umri wa kustaafu katika muda huo basi huongezewa 5 mingine.

3. Tukumbuke kifungu cha Katiba 144(1) kinasema ukisoma mpaka mwisho, umri wa kustaafu CAG ni miaka 60 au idadi ya miaka itakayobainishwa na Sheria iliyotungwa na bunge

Sasa hapo nionavyo mm ni tafasiri ya vifungu hasa hapo pa kuongezewa term ya pili

Kuongezewa miaka 5 mingine ni shurti la kisheria au ni hiari ya mteuzi?
 
Shall be eligible for renewal [or re-appointment] doesn’t preclude others who are qualified from eligibility.

Or does it?

It does if we are being objective, otherwise they would have stated "may be eligible for renewal", which would have given the President the option to reappoint Assad or not to.

It really is that clear. When you use "shall" it means you don't have the option to choose, if all other provisions hold (for this case they do).

Do you think the words "shall" and "may" are one and the same in the eyes of the law?
 
Baada ya kumaliza kuangalia UFC 244 jana usiku, Masvidal vs Diaz for the BMF belt, nikahamia DAZN kuangalia Canelo Alvarez vs Sergei Kovalev.

Hakika jana Jumamosi ya jana ilikuwa siku bomba sana kwa sisi wapenzi wa combat sports.

So you can imagine. I slept late. But thanks to falling back an hour, I got an extra hour of sleep. I woke up kinda late.

Baada ya kuingia JF, nakutana na mada kadhaa za Rais Magufuli kuvunja katiba.

Madai ni kwamba kavunja katiba kwa kumteua CAG mwingine.

Yule aliyekuwepo kamaliza kipindi cha miaka mitano.

Rais kaamua kwenda na mtu mwingine.

Sasa wale anti-Magufuli brigade wamepatwa na hysteria.

Eti Rais Magufuli kavunja katiba.

Unajua bana, saa ingine ukiwa unamchukia sana mtu, hiyo chuki yako ni kama ina-suspend uwezo wako wa kutafakari.

Chuki ni hisia kali. Hisia kali huathiri uwezo wa mtu wa kufikiri kwa mantiki na kiakili.

Ndo hii overreaction ninayoiona hapa.

Guys, intellect over emotions, please.

And for good measure, humility over hubris.

Thank you very much.

Happy Sunday everyone.
Maisha yapo kasi sana!
 
Say whaaat?? Ina maana nimesoma na sijaelewa au?

Kwanza, CAG hajaondolewa. Ni kwamba hajateuliwa tena baada ya kumaliza muda wake wa miaka mitano. Hayo ni mambo mawili tofauti.

Lakini pia, tumeambiwa kwamba Rais Magufuli kavunja katiba kwa kumteua CAG mpya.

Hilo ndo suala linaloshikiwa bango.
Hakuna sehemu yoyote ile inayosema kwamba akimaliza miaka mitano katiba inasema kwamba mtu atastaafu baada ya kufika miaka 60
 
Katiba inasema "na anaweza kuongezewa" au inasema "na ataongezewa"? Kuna tofauti kubwa sana kama mteuaji anapewa uhuru wa kuamua kumuongezea muda au la.

Kwenye katiba inasema "shall be eligible for renewal" na haisemi "may be eligible for renewal", hivi ni vitu viwili tofauti sana. The former implies renewal must be done and the latter implies its optional or not to renew.

If we are to debate intelligently without emotions, it's clear the office of the President is on the wrong here.

nyabhingi Nyani Ngabu

Huu utulivu ndio tunautaka kwenye mjadala.
Nakuomba utuwekee hivyo vipande iwe cha kizungu au kiswahili tuvijadili.

Na ikiwa pana ulazima wa kuchaguliwa tena (reappointment) kulikua na haja ya kuweka muhula wa miaka mitano badala ya kumi kabisa?

Nikimalizia kozi kwa rasi simba ntarudi kutoa maoni kuhusu shall na must endapo itahitajika.
 
It does if we are being objective, otherwise they would stated "may be eligible for renewal", which would have given the President the option to reappoint Assad or not to.

It really is that clear. When you use "shall" it means you don't have the option to choose, if all other provisions hold (for this case they do).

Do you think the words "shall" and "may" are one and the same in the eyes of law?

Shall be eligible just means he/she can be reappointed again.

But it definitely doesn’t preclude others.
 
Huu utulivu ndio tunautaka kwenye mjadala.
Nakuomba utuwekee hivyo vipande iwe cha kizungu au kiswahili tuvijadili.

Na ikiwa pana ulazima wa kuchaguliwa tena (reappointment) kulikua na haja ya kuweka muhula wa miaka mitano badala ya kumi kabisa?

Nikimalizia kozi kwa rasi simba ntarudi kutoa maoni kuhusu shall na must endapo itahitajika.

Hilo swali nimewauliza na hakuna aliyenijibu!

Kama ni lazima ateuliwe tena, ya nini kuweka kipindi cha miaka mitano mitano?

Si waweke 10 tu kieleweke.
 
Hakuna sehemu yoyote ile inayosema kwamba akimaliza miaka mitano katiba inasema kwamba mtu atastaafu baada ya kufika miaka 60


Aaah! Umebahatika kusoma vizuri kaeneo kote kanakohusu CAG mkuu? Endapo tuna katiba moja, nimeona sehem ikiongelea ataitumikia hiyo nafasi kwa miaka mitano na anaweza kuendelea tena kwa kipindi cha miaka mingine mitano na si vinginevyo.
 
Zitaje hizo sifa kwa mujibu wa katiba
Hiyo maana yake ni kwamba kama una sifa zinazotakiwa au hitajika, unaweza kuteuliwa.

Hilo neno halimaanishi tu kwamba anayepaswa kuteuliwa ni huyo aliyepo kwenye hiyo nafasi.
 
Aaah! Umebahatika kusoma vizuri kaeneo kote kanakohusu CAG mkuu? Endapo tuna katiba moja, nimeona sehem ikiongelea ataitumikia hiyo nafasi kwa miaka mitano na anaweza kuendelea tena kwa kipindi cha miaka mingine mitano na si vinginevyo.
Sio anaweza,ni lazima
Neno shall sio ombi
 
Shall be eligible just means he/she can be reappointed again.

But it definitely doesn’t preclude others.

The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only. This is what it says.

Legally speaking, Shall be eligible just means he/she must be reappointed again.
 
Sio anaweza,ni lazima
Neno shall sio ombi

Kuna haja ya kuandika atatumikia miaka mitano? Na kwanini neno reappointment liwekwe kwenye katiba?

Kamba kuna tofauti kati ya CAG aliyepo na aliyeteuliwa ni jambo moja, kusema katiba imevunjwa ni kitu tofauti kabisa wazee.

Inaweza kujafiliwa kwa muktadha wa competence bila kuingiza uvunjwaji wa katiba.
 
Back
Top Bottom