Intellect over emotions or emotions over intellect?

Intellect over emotions or emotions over intellect?

Huu utulivu ndio tunautaka kwenye mjadala.
Nakuomba utuwekee hivyo vipande iwe cha kizungu au kiswahili tuvijadili.

Tunachojadiliana ni hiki, "The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only".

Kwa lugha ya sheria unapotumia neno shall inamaana huna uhuru zaidi ya kufanya unalotakiwa na kifungu husika iwapo vifungu vingine vyote vimezingatiwa.

Na ikiwa pana ulazima wa kuchaguliwa tena (reappointment) kulikua na haja ya kuweka muhula wa miaka mitano badala ya kumi kabisa?

Ni sawa na kusema CAG atadumu ofisini kwa miaka kumi kama vifungu vingine vitazingatiwa (mfano umri wa kustaafu haujafika).

Hakuna CAG Tanzania ambaye kipindi cha kwanza kilipoisha akachaguliwa mwingine. Hii ndiyo mara ya kwanza. Ni historia. Lakini haina maana kwa sababu kitu kimefanyika mara ya kwanza basi ni kosa ila inatuma ujumbe mkubwa juu ya uhuru wa CAG huyu wa sasa na wote wanaofuatia kama hili litakubalika.

Kwa hapa "kinachomfunga" Rais ni neno moja tu, shall. Hii inaweza kuwa sababu watangulizi wake hawakufanya kama alivyofanya yeye.

Ndiyo maana nimeuliza, kwa tafsiri yenu, ingetumika "may" au "shall" kwenu kusingekuwa na tofauti yoyote?
 
The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only. This is what it says.

Legally speaking, Shall be eligible just means he/she must be reappointed again.


Mawakili wasomi wawe radhi kufuja maneno yote hayo badala ya kuandika atahudumu kwa miaka kumi au must be reappointed?

Shall sio lazima asee, it's a strong intention.
Tukiweka mbali kucheza na lugha ya malkua, kwa mantiki tu, unaona kuna haja ya kutumia maneno ya mihula ya miaka mitano mitano wakati lengo ni kusema miaka kumi?
 
Kuna haja ya kuandika atatumikia miaka mitano? Na kwanini neno reappointment liwekwe kwenye katiba?

Kamba kuna tofauti kati ya CAG aliyepo na aliyeteuliwa ni jambo moja, kusema katiba imevunjwa ni kitu tofauti kabisa wazee.

Inaweza kujafiliwa kwa muktadha wa competence bila kuingiza uvunjwaji wa katiba.
Basi tuseme tu Assad hajafikisha miaka 65 kuachia ofisi kama katiba inavyotaka
Rais kamtoa kwa vigezo vipi kama katiba inataka CAG aendelee hadi miaka 65?
 
Basi tuseme tu Assad hajafikisha miaka 65 kuachia ofisi kama katiba inavyotaka
Rais kamtoa kwa vigezo vipi kama katiba inataka CAG aendelee hadi miaka 65?


Rais kamtoa kwa kigezo kwamba ametumikia kipindi chake cha kwanza cha miaka mitano kama katiba inavyoeleza.
 
Mawakili wasomi wawe radhi kufuja maneno yote hayo badala ya kuandika atahudumu kwa miaka kumi au must be reappointed?

Kisheria yanatumika maneno "shall" au "may" kuonyesha ulazima wa jambo au la. Sheria kufuja maneno ndiyo order of the day.

Shall sio lazima asee, it's a strong intention.

You are either not serious or you are trolling.

Tukiweka mbali kucheza na lugha ya malkua, kwa mantiki tu, unsona kuna haja ya kutumia maneno ya mihula ya miaka mitano mitano wakati lengo ni kusema miaka kumi?

2+2 na 4 are one and the same.
 
Kisheria yanatumika maneno "shall" au "may" kuonyesha ulazima wa jambo au la. Sheria kufuja maneno ndiyo order of the day.



You are either not serious or you are trolling.



2+2 na 4 are one and the same.

Naomba nikuulize swali rahisi tu. Kipengele gani kimevunjwa na Rais kwa kutokumteua CAG kwa muhula wa pili baada ya kumaliza miaka mitano ya awali?
 
Kwa mtizamo wangu na uelewa wa sheria/katiba ni Shurti na si hiari ya mteuzi.

Rais humteua CAG mara moja tu, baada ya hapo anakuwa "eligible to serve further one term provided that he/she has not exceeded retirement age (65yrs).
Kuongezewa miaka 5 mingine ni shurti la kisheria au ni hiari ya mteuzi?
 
Naomba nikuulize swali rahisi tu. Kipengele gani kimevunjwa na Rais kwa kutokumteua CAG kwa muhula wa pili baada ya kumaliza miaka mitano ya awali?

Narudia kuandika, Tunachojadiliana ni hiki, sheria (The Public Audit Act, 2008) inasema "The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only".

Umeona jibu la hilo swali lako rahisi?
 
Haja inakuwepo kwa sababu ya umri wa kuhudumu Ofisini.

Kumbuka umri ni mwisho miaka 65, endapo awamu ya kwanza inamalizika na katimiza umri huo hupaswa kustaafu. Kinyume chake, hupewa awamu ya pili kuhudumu.

Huu utulivu ndio tunautaka kwenye mjadala.
Nakuomba utuwekee hivyo vipande iwe cha kizungu au kiswahili tuvijadili.

Na ikiwa pana ulazima wa kuchaguliwa tena (reappointment) kulikua na haja ya kuweka muhula wa miaka mitano badala ya kumi kabisa?

Nikimalizia kozi kwa rasi simba ntarudi kutoa maoni kuhusu shall na must endapo itahitajika.
 
The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only. This is what it says.

Legally speaking, Shall be eligible just means he/she must be reappointed again.

I absolutely and totally disagree.

Here’s why:

If shall be eligible means he/ she must be reappointed again, then the text would have read just that, that, the CAG shall/ must be reappointed to another 5 year term. Period, end of it.

But when the word ‘eligible’ is added, it changes the whole meaning of the text.

It gives the appointing authority leeway to choose whoever he/she pleases.

Now answer this: it is a must for the CAG to serve for 10 years, then why not just make 10 instead of 5 year term?
 
Rais kamtoa kwa kigezo kwamba ametumikia kipindi chake cha kwanza cha miaka mitano kama katiba inavyoeleza.
Hicho kifungu kipo kwenye sheria(kama niko sahihi)
Lakini hata hiyo miaka 5 atalazimika kumuongezea miaka mingine 5 kama hajafikisha miaka 60/65 kwa mujibu wa katiba..go look it up
 
Ikiwa ndivyo inaondoa ile dhana ya independence ya CAG. Hilo lingemlazimu mtu kutekeleza kazi kwa upendeleo ili ateuliwe kwa ngwe nyingine ya miaka 5 akiogopa kutumbuliwa na Rais.

Think please!
Shall be eligible just means he/she can be reappointed again.

But it definitely doesn’t preclude others.
 
Ikiwa ndivyo inaondoa ile dhana ya independence ya CAG. Hilo lingemlazimu mtu kutekeleza kazi kwa upendeleo ili ateuliwe kwa ngwe nyingine ya miaka 5 akiogopa kutumbuliwa na Rais.

Think please!

Those are your assumptions.
 
I absolutely and totally disagree.

Here’s why:

If shall be eligible means he/ she must be reappointed again, then the text would have read just that, that, the CAG shall/ must be reappointed to another 5 year term. Period, end of it.

But when the word ‘eligible’ is added, it changes the whole meaning of the text.

It gives the appointing authority leeway to choose whoever he/she pleases.

Now answer this: it is a must for the CAG to serve for 10 years, then why not just make 10 instead of 5 year term?
Can you mention the eligible "factors" intended to be met according to the section? or you mean to tell me the president can consider any factors/qualifications he pleases?like for example bed wetting is the qualification at his discretion!???
Are you trying to be funny?
 
Narudia kuandika, Tunachojadiliana ni hiki, sheria (The Public Audit Act, 2008) inasema "The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only".

Umeona jibu la hilo swali lako rahisi?

Angemsimamisha kazi kabla ya miaka mitano au angemuongezea muda wa kukaa kwenye hiyo nafasi baada ya miaka kumi, hata usingehitaji kuniambia maana ya shall kisheria, ingekua wazi katiba imevunjwa, ila hadi sasa, sioni sehem katiba imevunjwa.
 
Can you mention the eligible "factors" intended to be met according to the section? or you mean to tell me the president can consider any factors/qualifications he pleases?like for example bed wetting is the qualification at his discretion!???
Are you trying to be funny?

Google them.
 
Back
Top Bottom