Intellect over emotions or emotions over intellect?

Intellect over emotions or emotions over intellect?

Tatizo sio kuondolewa ila tatizo kuleta mtu Kilaza ambaye alishindwa kazi TRA aje aweze kazi kwenye ofisi nyeti ya umma kama hii?
Udhaifu ni pamoja na kuchagua mpinzani dhaifu ili kudhibitisha uwezo wako. Ujinga ni pamoja na kutoa 9 na kuweka 0 kwenye nafasi ya 10.
Inawezekana kabisa kuwa tunapoenda hatupajui ila hatupendi watu wajue tunachofanya ni kujichekesha chekesha tu.
 
Neno shall kwenye katiba linalazimisha appointment muhula wa pili

Sasa mkubwa, hapo si wangeweka tu kwamba ahudumu mihula miwili au mmoja wenye miaka 10?

Tukubaliane tu kwamba imezoeleka hawa CAGs kustaafu wakiwa kwenye nyadhifa zao. Lakini kusema katiba imevunjwa, hapana.
 
Well, hayo ni maoni yako tu na si ukweli wa mambo. Au kwa maneno mengine, huo ni mtazamo wako tu.

Lakini kusema kavunja katiba, naaah.
Mimi sijajikita kwenye sheria, bali nimeangalia mazingira tu aliyomteua Kicheere. Tumia akili kidogo tu utaona kuna uvundo kwenye uteuzi.
 
Katiba inaandika kuwa ni lazima aendelee kwa kipindi cha pili na baada ya hapo hataendelea tena na iwapo atafikisha miaka 60 ndani ya hicho kipindi atastaafu...Assad hajafikisha 60


Sijajua ni toleo tofauti nimesoma? La kiingereza linasema ni 65 yaani sixty five na kwenye kiswahili ndio 60.

Vile vile tuzingatie neno reappointment! Kwenye hiyo katiba.
 
Mimi sijajikita kwenye sheria, bali nimeangalia mazingira tu aliyomteua Kicheere. Tumia akili kidogo tu utaona kuna uvundo kwenye uteuzi.

Niweke wazi kwamba tukirudi kwenye mazingira, hata mimi nna tashwishwi

Tatizo langu ni kutaka kuwaaminisha umma kwamba katiba imevunjwa. Ni mbaya sana hiyo, ukiulizwa vizuri imevunjwa vipi, unashindwa kuthibitisha, hiyo inafanya madai yote kuonekana kelele tu.

Kama tunamlaumu kwa kuchagua mtu asiyefaa hiyo ni kesi nyingine, tusiseme katiba imevunjwa.
 
Tatizo sio kuondolewa ila tatizo kuleta mtu Kilaza ambaye alishindwa kazi TRA aje aweze kazi kwenye ofisi nyeti ya umma kama hii?
Sasa wewe unamchagulia Rais nani wakumteua basi wewe utakuwa ndiyo mwenye mamlaka ya uteuzi!!
 
Neno shall kwenye katiba linalazimisha appointment muhula wa pili
Kama linalazimisha ilikuwaje wakashindwa kuandika "must serve two terms"? Mimi bush lawyer....uusinibabaishe!!!( A bit of joke)
===
Someni vifungu vyote vya katiba na sheria juu ya hili kwa pamoja. Acheni kuchagua vifungu mnavyotaka kusoma na kubagua vifungu vingine!
 
Nimejaribu kupitia vipande vya katiba vinavyowekwa kusaidia kujenga hoja kwamba katiba imevunjwa, sijajua ni kichwa changu kizito au elimu iliyotumika kuandika katiba imenizidi kimo? Sijaona kwa haraka haraka mahali katiba imevunjwa. Vinginevyo wajuvi waje kutupa darasa.

Ikiwa katiba inaweka wazi kwamba CAG atahudumu kiti chake miaka mitano na anaweza kuongezewa muhula mwingine wa miaka mitano tu, kuna kosa asipoongezewa?
Hata anavunja katiba kwani yeye Jiwe anajali? The bloody sucking vampire doesn't give a damn!!

Alimteua Killangi kuwa AG wakati hayuko qualified kwenye nafasi Ile, watu wanapiga kelele wameufyata. Fatima Karume kafutiwa na ku practice usaili wa Mahakama Kuu kwa kesi aliyofungua dhidi ya AG na Rais.

This country is no longer a respectef nation with its norms and rule of law, it is just a banana republic. Tusubiri tu mpaka Rais mwingine no matter when!!
 
Hata anavunja katiba kwani yeye Jiwe anajali? The bloody sucking vampire doesn't give a damn!!

Alimteua Killangi kuwa AG wakati hayuko qualified kwenye nafasi Ile, watu wanapiga kelele wameufyata. Fatima Karume kagutiwa na ku practice usaili wa Mahakama Kuu kwa kesi aliyofungua dhidi ya AG na Rais.

This country is no longer a respectef nation with its norms and rule of law,it is just a banana republic. Tusubiri tu mpaka Rais mwingine no matter when!!


Sifikirii hali iko kama tunavyotaka iwe. Nakumbuka kuna wakati aliteua wabunge wakazidi watano wakati katiba inasema wawe watano wanaume na watano wanawake, hoja ilijengwa na kama sikosei mbunge mmoja wa kuteuliwa ilibidi apangiwe ubalozi kama sikosei.

Hapa nnachotaka kusema, tukijifunza kujenga hoja na kujadili mambo kwa utulivu na kuweka hisia pembeni, inasaidia kuelimisha na yamkini inawezakuleta tija badala ya hizi kauli za kukata tamaa.
 
Niweke wazi kwamba tukirudi kwenye mazingira, hata mimi nna tashwishwi

Tatizo langu ni kutaka kuwaaminisha umma kwamba katiba imevunjwa. Ni mbaya sana hiyo, ukiulizwa vizuri imevunjwa vipi, unashindwa kuthibitisha, hiyo inafanya madai yote kuonekana kelele tu.

Kama tunamlaumu kwa kuchagua mtu asiyefaa hiyo ni kesi nyingine, tusiseme katiba imevunjwa.
Hata akivunja katiba kwani kuna mtu wa kumuwajibisha?? The dude does'nt respect any article of the constitution from the title to the cover back.

Kama Bunge na Mahakama wanachukua maelekezo toka kwake, unadhani hata kesi ya kikatiba ikipelekwa Mahakamani kuna Jaji atakayeamua against?
Juzi tumemuona Jaji Cyril Matupa alivyo legea kutoa maamuzi ya ubunge wa Tundu Lissu.
 
Hata akivunja katiba kwani kuna mtu wa kumuwajibisha?? The dude does'nt respect any article of the constitution from the title to the cover back.

Kama Bunge na Mahakama wanachukua maelekezo toka kwake, unadhani hata kesi ya kikatiba ikipelekwa Mahakamani kuna Jaji atakayeamua against?
Juzi tumemuona Jaji Cyril Matupa alivyo legea kutoa maamuzi ya ubunge wa Tundu Lissu.


Sasa tukirudi kwenye hiki la CAG, kwa mtazamo wako, katiba imevunjwaje mkuu?
Twende taratibu tu.
 
Hata mimi niliyeishia fom tuu nimeelewa kwamba, kama anaweza kuongezewa muhula mwingine wa miaka mitano basi pia anaweza asiongezewe.

Sasa sijui kigumu kueleweka hapo ni kipi hasa?

Shida ni pale waliohudhuria shule wanapoamua kuwa wavivu wa kufikiri kiasi cha kutufanya na sie tuliokimbia shule tusijutie maamuzi ya kukatisha masomo.
 
Hata anavunja katiba kwani yeye Jiwe anajali? The bloody sucking vampire doesn't give a damn!!

Alimteua Killangi kuwa AG wakati hayuko qualified kwenye nafasi Ile, watu wanapiga kelele wameufyata. Fatima Karume kagutiwa na ku practice usaili wa Mahakama Kuu kwa kesi aliyofungua dhidi ya AG na Rais.

This country is no longer a respectef nation with its norms and rule of law,it is just a banana republic. Tusubiri tu mpaka Rais mwingine no matter when!!

Hizi ndo hisia ninazozizungumzia!
 
Kama linalazimisha ilikuwaje wakashindwa kuandika "must serve two terms"? Mimi bush lawyer....uusinibabaishe!!!( A bit of joke)
===
Someni vifungu vyote vya katiba na sheria juu ya hili kwa pamoja. Acheni kuchagua vifungu mnavyotaka kusoma na kubagua vifungu vingine!
Incase atafikisha miaka 60 katika term ya pili atastaafu
 
Ikiwa katiba inaweka wazi kwamba CAG atahudumu kiti chake miaka mitano na anaweza kuongezewa muhula mwingine wa miaka mitano tu, kuna kosa asipoongezewa?

Katiba inasema "na anaweza kuongezewa" au inasema "na ataongezewa"? Kuna tofauti kubwa sana kama mteuaji anapewa uhuru wa kuamua kumuongezea muda au la.

Kwenye katiba inasema "shall be eligible for renewal" na haisemi "may be eligible for renewal", hivi ni vitu viwili tofauti sana. The former implies renewal must be done and the latter implies its optional or not to renew.

If we are to debate intelligently without emotions, it's clear the office of the President is on the wrong here.

nyabhingi Nyani Ngabu
 
Kuna kipengele cha kustaafu kwa hiyari, na kazi siyo ndoa, unaweza kuachana nayo anytime.
Ajira hakuna mlitaka yeye adumu hapo halafu mmesahau kuna graduate wapya kila siku mtaani?!
Acha awapishe wengine sasa.
 
1. Umri wa kustaafu CAG kisheria ni 65 kwa mujibu wa Sheria ya Audit

2. Katiba inampa miaka 5, na kama akiwa bado hajafika umri wa kustaafu katika muda huo basi huongezewa 5 mingine.

3. Tukumbuke kifungu cha Katiba 144(1) kinasema ukisoma mpaka mwisho, umri wa kustaafu CAG ni miaka 60 au idadi ya miaka itakayobainishwa na Sheria iliyotungwa na bunge

Sasa hapo nionavyo mm ni tafasiri ya vifungu hasa hapo pa kuongezewa term ya pili
Hizi ndo hisia ninazozizungumzia!
 
Katiba inasema "na anaweza kuongezewa" au inasema "na ataongezewa"? Kuna tofauti kubwa sana kama mteuaji anapewa uhuru wa kuamua kumuongezea muda au la.

Kwenye katiba inasema "shall be eligible for renewal" na haisemi "may be eligible for renewal", hivi ni vitu viwili tofauti sana. The former implies renewal must be done and the latter implies its optional or not to renew.

If we are to debate intelligently without emotions, it's clear the office of the President is on the wrong here.

nyabhingi Nyani Ngabu
Fill my cup and drink with me
 
Back
Top Bottom