INTELIJENSIA: Ziara ya Waziri Mkuu Bandarini

INTELIJENSIA: Ziara ya Waziri Mkuu Bandarini

Kwa hali halisi ya kisiasa hapa TZ ni vigumu sana kupata kiongozi ambaye hana uhusiano na CCM. Ni ngumu sana, CCM ndio rejea (referance) ya siasa za nchi hii. Kizazi cha watu ambao hawana kabisa muingiliano au uhusiano na CCM, kitakuja kuongoza nchi lakini sio leo wala kesho.
Zats it true mkuu by 100% cc jukumu letu ni kulijua hlo tu inatosha itapunguza idadi ya wazungusha mikono un resonable ni kweli ni vigumu kupata kiongoz away from ccm empire but wapo wachacha hata kama hawawez kutenda ila wanaongea ukweli mchungu sio hawa wanatupa uongo mtam
 
Haya yote Lowassa aliyajua ndio maana wakamfanyia figisufigisu na akina ..... Maana walijua akiingia ataanza nao wakaona wamweke mh wakijua angalau atawachifichia aibu sasa akilegea naye imekula kwake maana kikulacho kimo nguoni mwako na adui za mtu ni watu waliomo nyumbani mwake mwenyewe. Mh baba komaa ukilegea imekula kwakooooo.
 
Sidhani kama wataweza kipambana maana hapo Idara ya Usalama kwa vyovyote vile inahusika
 
Mkuu watu wanahojoa issue iliyotokea Bandarini..!!
Nami pia,hujanielewa tuu. Tunalalamikia BANDARI,tunahamia TRL,alafu ATC baadae BARABARA (tanroads na mizani), Kisha rushwa POLISI,manyanyaso na huduma mbovu MAGEREZA,UJANGILI,MADINI kuuzwa kiholela,ELIMU duni,MUHIMBILI (huduma mbovu za afya)....tunajadili mpaka tunachekesha,kilamahali hatupamudu? Mataifa yatatushangaa kweli inatia aibu.
sasa tujijadili sisi kama watanzania,niwapi tumekwama? Hatuna uzalendo,uhodari wa kazi,uaminifu nk. na vijana waliopo mashuleni hawajengewi vitu hivyo.
naamini sasa umenielewa
 
Nami pia,hujanielewa tuu. Tunalalamikia BANDARI,tunahamia TRL,alafu ATC baadae BARABARA (tanroads na mizani), Kisha rushwa POLISI,manyanyaso na huduma mbovu MAGEREZA,ELIMU duni,MUHIMBILI (huduma mbovu za afya)....tunajadili mpaka tunachekesha,kilamahali hatupamudu? Mataifa yatatushangaa kweli inatia aibu.
sasa tujijadili sisi kama watanzania,niwapi tumekwama? Hatuna uzalendo,uhodari wa kazi,uaminifu nk. na vijana waliopo mashuleni hawajengewi vitu hivyo.
naamini sasa umenielewa
Tatizo sisi uchama ndio unaotusumbua huu ulikuwa wakati wa mabadiliko kutoa chama kikongwe na kuazaliwa demokrasia ya kweli ya vyama vingi ikiwemo kuwa na katiba ya wananchi tukapigwa changa la macho kwa kuketewa mgombea binafsi kuwa ati ndio jawabu tangu lini chama hiki kikongwe kikateua malaika wa kuwakomboa wanyonge?. Namwaminia mh ila kawekwa je ataweza kumpiga ....pasipo kuangalia uso wake?. Vita halisi ingekuwa kati ya Lowassa na mfumo hapo movie ingenoga maana jamaa angepiga haswaa tena kwa hasira maana aliwajua vema na ndio maana alipoamia UKAWA hadi vyombo vya usalama vilitumika kumpiga vita ili asitoboe huku sisi tukikata viuno kwa zile nyimbo za kuisoma namba.
 
Tena huyu jamaa ni hovyo kabisa mimi nilitegemea Zoezi lingekuwa Endelevu kuna waCONGO wengi makanisani wanajifanya maEXPERT wa kuimba Kwaya hawana vibali tunataka sehemu inayoeleweka ili tuwatumbue kimyaa duh...
Hii hali ishaanza kuzoeleka,no innivation!!!
 
Haya yote Lowassa aliyajua ndio maana wakamfanyia figisufigisu na akina ..... Maana walijua akiingia ataanza nao wakaona wamweke mh wakijua angalau atawachifichia aibu sasa akilegea naye imekula kwake maana kikulacho kimo nguoni mwako na adui za mtu ni watu waliomo nyumbani mwake mwenyewe. Mh baba komaa ukilegea imekula kwakooooo.
Nachoweza kumshauri Lowassa ni kuwa mshauri mkuu wa CHADEMA, ili wanasiasa vijana wawe wanamfuata kwa ajili ya kuchota hekima na uzoefu wa kisiasa, kwake kuweza kupata urais mwaka 2020 kama alishindwa 2015, ni ngumu sana.
 
hizi ziara za kushtukiza hadi lini?????????
kwahiyo kaz zitaenda hivi had lini????????
wanapoenda kote kuna uovu..
kwahiyo wasipoenda kushutukiza huovu haushi co?????
hapa tunaona umuhimu wa katiba kali yenye maslahi kwa taifa....
 
Wakati wizi huu wa miaka mitano unafanyika alikuwepo Muhongo, Sita, Mwakyembe, Mwiguru Saada mkuya, yule Naibu Spika hata katibu mkuu aliyepo hawa watakuwa na siri mzito.
 
Nachoweza kumshauri Lowassa ni kuwa mshauri mkuu wa CHADEMA, ili wanasiasa vijana wawe wanamfuata kwa ajili ya kuchota hekima na uzoefu wa kisiasa, kwake kuweza kupata urais mwaka 2020 kama alishindwa 2015, ni ngumu sana.
Naona ndivyo ilivyo sidhani kama atagombea tena anachofanya sasa ni ujenzi wa chama tu na sio kujijenga yeye kama ili agombee.
 
Wanavyorukaruka unashindwa kujua nini kinaendelea.......kuna hao polisi......kuna wale waliopewa siku 7 kulipa kodi........
Mambo ni mengi sana......lakini hakuna kitu hata kimoja kinachofanyika....nilikuwa nasubiri siku 100 lakini zimeisha hakuna lolote........

Na kuna ile barabara inayopaswa kutembelewa na mabasi yaendayo kasi...Hivi tarehe 10 Januari 2016, haijafika tu?
 
Wote, na uhakika, serikalini WATANYOOKA TU... MUNGU YUPO... Magufuli + Majaliwa wanatosha kuwanyoosha na kuwashikisha adabu WAFANYAKAZI MABOSS, WAKURUGENZI, WAKUU WA WILAYA, MIKOA, WAKUU WA IDARA, wakala na Mamlaka mbalimbali hadi WANYOOKE.. wizi na rushwa bado ni kubwa sana... huku wakuu wa taasisi hizo za Serikali wakifanya kazi kama MAKAMPUNI YAO BINAFSI... hawajali na wanaiba kila siku... Ila na uhakika, Magufuli + Majaliwa wata deal nao hadi wanyooke
 
Najua Rais na Waziri Mkuu wamedhamiria...

Je Mawaziri wamedhamiria au wanauza sura tu ili waonekane wapo?
 
Tuliangalie hili kwa makini sana. Jana wakati Waziri Mkuu akiwa anatembelea kukagua Kurasini Oil Jet (KOJ) aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo (WMA) pamoja na wakubwa wengine. Swali alilomuuliza huku akitaka maelezo yake yatolewe ni ......KWA NINI ULIAMUA KUWASHA METER JANA BAADA YA KUTUMIWA UJUMBE WA SMS?...... Kwa jicho la weledi ni kwamba katika timu ya watakatifu waliowazunguka Majaliwa na JPM wapo wanaouza taarifa kwa watuhumiwa watarajiwa.

Kiintelejensia hili limekaaje?

Inanipa mashaka hata ulinzi wa viongozi hawa ambapo inawezekana Watanzania wasio wema wakaamua kuwauza ili waondoke mbele ya macho ya Watanzania wenye kuhitaji huduma zao.....
Please keep quite. Yule aliyetuma ujumbe alifahamika na wamenyamaza hawajamfanya lolote, sasa inakuwasha nini?
 
Back
Top Bottom