INTELIJENSIA: Ziara ya Waziri Mkuu Bandarini

INTELIJENSIA: Ziara ya Waziri Mkuu Bandarini

Vijana wenzangu wangekuwa kama ww tungefika mbali maana 4 all zose 8 solid year walikuwa hapa wakisema uchafu wa lowasa 2 month to go wanatuagiza tumtandikie nguo apite juu yake kwa mwanakondoo aliembeba yesu kutoka yeriko kwenda jerusalem politician wote waongo ndo maana always i trust no body to the foolest
Point of correction
Kwa = kama
Mwanakondoo =mwanapunda
 
Nyie ndo wanafiki wajaza tumbo, hata jambo lenye ukweli wewe unaleta ukada. Wewe unaisi mjukuu wako atapata nini kama waliotajwa wataendeleza unafiki wao? tunaishi nao tunawajua wewe unabisha.
Hili jamaa ni jinga kweli haliachagi kutetea upupu,
Halina point ka membe wake
 
Hakuna siri ya watu zaidi mmoja, siri ni ile iliyoko moyoni mwako tu
 
Serekali ya Ccm ipo uchi miaka yote,Ilivyaa nguo enzi ya mwalimu tu.Kwa sasa kwa Ccm hamna siri,tena kwa mwendo huu wa kukurupuka na kufukuza ovyo.Ndio kila kitu kitakuwa kinawekwa hadharani wao wakiamini kwao ni siri.
Acha waendelee kuvuna walichokipanda
 
Hii nchi watu tu wajuzi sana wa kulalamika na kushutumu, ata wezi nao wanalalamika nchi inaibiwa! Ukimwuliza mtu binafsi kazalisha nini/ kasaidiaje nchi toka mwaka uanze hamna hamna vijana ni pooltable.
Ukitaka kujua vijana hiinchi kunashida,tizama wanachuo wanatumiaje mdawao!
nimejaribu kuuliza vijana wengi wanapenda kufanya nini? Majibu mengi Ni,
ke-tamthilia,kuchat na kulala
me-kuchek mpira,pombe & pool table na kutafuta ke.
hamna cha kusoma wala kazi sasa sjui tutaendeleaje? Tutabaki kulaumu kivuli chetu kinatufatafata
 
Tanzania inanuka! Tena inanuka harufu mbaya mno. Kuisafisha inahitaji total overhaul . Huo ndio ukweli .
Rasimu ya Mzee Warioba ilikuwa imelenga kutekeleza hilo tena bila misuguano au kuwabolea walalahoi nyumba zao wakati hujaweka mipango ya malazi/makaazi mbadala lakini Magambas waliikataa na hadi leo wanaikataa. Hata na JPM naye anaikataa wakati haya anayoigiza yalikuwa yamewekewa utaratibu mzuri wa kitaasisi! niseme bila kupepesa macho ninaichukia sana CCM, ninalichukia genge la wanaojiita viongozi, ninachukia na rais wao. Ni wanafiki wakubwa lakini wako mstari wa mbele kutoa kauli za kitoto eti msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
 
Mkuu kinachosikitisha sasa ni ni kwamba watu tumeisha anza kuichoka series yenyewe ikiwa bado ipo episode one inayojirudia rudia tu. What is nex let it still be delema
nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu

watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '

Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe

nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu

watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '

Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe
 
Majipu bado ni mengi na mengine sio rahisi kuyagundua kirahisi, mfano hili la tanroad ni minzani yapo makampuni yayoagiza maligafi meli nzima siku ya kuondoa mizigo hiyo bandari vijana Wa minzani uambiwa wasionekane sehemu magari hayo yatakapo pita na mtoa mzigo upewa muda maalum kwamba unatakiwa kutoa mzigo wako kuazia SAA 12 asubuhi hadi SAA 1 jion baada ya hapo vijana minzan urejea barabaran kuanza kukamata magari yaliyozidisha uzito.
 
Hii nchi watu tu wajuzi sana wa kulalamika na kushutumu, ata wezi nao wanalalamika nchi inaibiwa! Ukimwuliza mtu binafsi kazalisha nini/ kasaidiaje nchi toka mwaka uanze hamna hamna vijana ni pooltable.
Ukitaka kujua vijana hiinchi kunashida,tizama wanachuo wanatumiaje mdawao!
nimejaribu kuuliza vijana wengi wanapenda kufanya nini? Majibu mengi Ni,
ke-tamthilia,kuchat na kulala
me-kuchek mpira,pombe & pool table na kutafuta ke.
hamna cha kusoma wala kazi sasa sjui tutaendeleaje? Tutabaki kulaumu kivuli chetu kinatufatafata
Mkuu watu wanahojoa issue iliyotokea Bandarini..!!
 
Kitaeleweka tu, Mungu atasimamia na kuwaepusha na mabalaa make wanafanya kazi kwa ajili ya watanzania walio wengi ambao ni masikini
 
Lowassa ni matunda ya madudu haya yanayoongelewa kwenye mada hii, ni matunda ya umoja wa vijana wa CCM. Hajawahi kuwa na kitu special ni matunda ya system hii hii inayoumiza watu vichwa kwa sasa.
na walio deki bara bara wanajua kuwa he was rejected na mfumo dharim wa hii ccm pendwa ya jpm kumbe tukitaka kumfukuzs kichaa tumfukuze na mifiko yake kuichukia ccm alafu ukampenda el ni sawa na kufuta sifuri ukaandika o au umechomoa nyuma ukachomeka mbele na mm nliandika hivyo kwa mtego thenk u umeenielewa we need a change kama yako salute kamanda wa kweli
 
na walio deki bara bara wanajua kuwa he was rejected na mfumo dharim wa hii ccm pendwa ya jpm kumbe tukitaka kumfukuzs kichaa tumfukuze na mifiko yake kuichukia ccm alafu ukampenda el ni sawa na kufuta sifuri ukaandika o au umechomoa nyuma ukachomeka mbele na mm nliandika hivyo kwa mtego thenk u umeenielewa we need a change kama yako salute kamanda wa kweli
Kwa hali halisi ya kisiasa hapa TZ ni vigumu sana kupata kiongozi ambaye hana uhusiano na CCM. Ni ngumu sana, CCM ndio rejea (referance) ya siasa za nchi hii. Kizazi cha watu ambao hawana kabisa muingiliano au uhusiano na CCM, kitakuja kuongoza nchi lakini sio leo wala kesho.
 
Wanavyorukaruka unashindwa kujua nini kinaendelea.......kuna hao polisi......kuna wale waliopewa siku 7 kulipa kodi........
Mambo ni mengi sana......lakini hakuna kitu hata kimoja kinachofanyika....nilikuwa nasubiri siku 100 lakini zimeisha hakuna lolote........

Naomba kujua ni kwanini siku 100 na sio 200,250+ etc?

Nani mwanzilishi wa hizo siku 100! Kwanini KPI ilipangwa kuanzia 100?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom