binafsi hili swali limeniumiza kichwa sana . Naomba huyo aliyevujisha Siri hizo ashughulikiweTuliangalie hili kwa makini sana. Jana wakati Waziri Mkuu akiwa anatembelea kukagua Kurasini Oil Jet (KOJ) aliambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo (WMA) pamoja na wakubwa wengine. Swali alilomuuliza huku akitaka maelezo yake yatolewe ni ......KWA NINI ULIAMUA KUWASHA METER JANA BAADA YA KUTUMIWA UJUMBE WA SMS?...... Kwa jicho la weledi ni kwamba katika timu ya watakatifu waliowazunguka Majaliwa na JPM wapo wanaouza taarifa kwa watuhumiwa watarajiwa.
Kiintelejensia hili limekaaje?
Inanipa mashaka hata ulinzi wa viongozi hawa ambapo inawezekana Watanzania wasio wema wakaamua kuwauza ili waondoke mbele ya macho ya Watanzania wenye kuhitaji huduma zao.....
Na walivokuwa wakisema CCM ni ile ile wewe ulielewa nini?
Wamejipangaaaa.....
Bim
binafsi hili swali limeniumiza kichwa sana . Naomba huyo aliyevujisha Siri hizo ashughulikiwe
Pombe na Majaa-aliwa bora waendeleshe serikali wao wawili kwa sababu sioni waziri au karibu akikaba position yake.nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu
watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '
Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe
Kuna majizi huwa tunayataja humu kila siku JPM hasikii, sasa tumsaidiaje? Kuna majitu yamekubuhu kwa rushwa na figisu, lipo li Mwakyembe, kuna Li Muhongo, Kuna li Simbachawene, kuna li kipara februari marope. Ukiwa na haya majitu kwenye baraza la mawaziri tegemea hujuma kila dakika. Ni majitu ya figisu. Acha raisi wangu JPM avune alichopanda
Li lowasa halitajwi kwa unafiki huu utaangaika sana maana inaonekana umejaa unafiki,Kuna majizi huwa tunayataja humu kila siku JPM hasikii, sasa tumsaidiaje? Kuna majitu yamekubuhu kwa rushwa na figisu, lipo li Mwakyembe, kuna Li Muhongo, Kuna li Simbachawene, kuna li kipara februari marope. Ukiwa na haya majitu kwenye baraza la mawaziri tegemea hujuma kila dakika. Ni majitu ya figisu. Acha raisi wangu JPM avune alichopanda
Huyo lofa anautofauti gani na lema aliyemuita LOWASA shetani?Yaani nimejikuta nacheka kama mazuri, ulivyo taja majina ya hawa jamaa hasa li kipara februari marope.hawa watu wanahisi wana hati miliki ya Tanzania.
Ha ha ha ha haaa Kitwanger,kwani opereshen ya kusaka wahamiaji imeshaisha?ina maana wameisha?na pia usisahau kuwa upuuz bado upo tuHapo ni bandarini tu je maeneo mengine yalio kwenye fificho sikuna uozo mwingi sana! kuna Yule Waziri sijui wa nn alisema anawapa polisi sijui siku ngapi wampeleke majina yote ya wauza unga hadi Leo Sijawahi kumwona tena
KITENGO hakipo sawaNafikiri kuna tatizo kwenye wazee wa system.....
mkuu mi sipo hapa kubishana maana wote ni wapuuzi wamesha tufanya sie mavuvuzela. wao wanapiga pesa kama unavyosikia sie tunatukanana humu.Huyo lofa anautofauti gani na lema aliyemuita LOWASA shetani?
Usisahau na uzalendo pia. Mfumo na uzalendo.nguruvi3 kila siku anahubiri mfumo humu
watu bado mnaamini kwenye 'individual brilliancy '
Kungekuwa na mfumo waziri mkuu wala asingekwenda bandarini
ingejulikana meter ni mbovu na mhusika mzembe