Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.
Hata ule uzi wa Isidingo sikuoni kabisaaNipo ila Huwa nawapa mapumziko team domo
Okey naona kweli kuna utofauti kidogo na hii collborationHiyo uliyokuwa unasikiliza ni Original Version
Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.
Hapana mkuuUna audio yake mkuu ?
Yani nilikua najiuliza ni nani ameimba? hapa jirani na kwangu kila siku nakasikia hako kamdundo nabaki kutikisa kiuno tuu kumbe ni mondi aisee katamu sana
Ninavutiwa sana na Muziki wa Diamond na namna anavyochukulia muziki kama kazi, jamaa anajitambua na anaelewa kuwa muziki ndio mlo wake.
Ukilinganisha sasa hivi na miaka ile ya 2009/2010 wakati anaanza muziki unaona kabisa jamaa amepiga hatua kubwa sana. Sasa hivi ukimsikiliza anavyoongea, content ya anachokiongea, na muonekano ni mbingu na ardhi na alivyokuwa 2009/2010.
Hili ni somo hata kwetu tujitahidi kupenda kile kinachotupa mkate wa kila siku, tujitahidi kuwa bora zaidi kadiri siku zinavyokwenda.
Hata ule uzi wa Isidingo sikuoni kabisaa
Sasa Kwenye hii Yope Diamond ndiyo kamuheshimu Innos B kwasababu ya kipaji chake hadi kautamani wimbo wake ungekuwa ndiyo kauimba yeye hadi ikabidi aombe remix na kiukweli huyo dogo Innos B amepewa lift kubwa sana diamond kupromote nyimbo yake.Huu wimbo original umetoka mwezi Mmoja uliopita ila umekaa wiki tatu uka ukiwa na views laki moja tu YouTube.
ila toka imetoka remix ambayo diamond ameingiza vipande vyake humo sasa nyimbo zote mbili yope original toka juzi hadi Leo inaviews 1.7na yope remix ndani ya siku mbili in views 1.5..
Hii maana yk nn ni kwamba diamond ndio kaupaisha huo wimbo na kumpaisha huyo onnos'b ndani ya siku tatu tu.
Inshort wasanii wa east, central na south of Africa wanatakiwa kumuheshimu diamond Sana huyo mtu anawashabiki damu anaweza kukufanya ukashine within a hour tu hii ni hatari...
Hili ni bonge la lift kitu cha kujifunza hapa ni Hawa wasanii wetu wanaoona Diamond sio lolote sio chochote kuna level diamond kafika ambayo ni rahisi kuwainua wengine na wakainuka..Sasa Kwenye hii Yope Diamond ndiyo kamuheshimu Innos B kwasababu ya kipaji chake hadi kautamani wimbo wake ungekuwa ndiyo kauimba yeye hadi ikabidi aombe remix na kiukweli huyo dogo Innos B amepewa lift kubwa sana diamond kupromote nyimbo yake.
Kuna kinanda kitamu sana kwenye hii beat, kwa wale mabaharia unaweza jikuta hubanduki kwenye papuchi maana ni mwendo wa kukojoa mwanzo mwisho...Hard work beats talent.
Diamond alijua nini anakihitaji toka zamani, akahangaika kujituma na kujifunza kila ambacho kitarahisisha ufanisi wake wa kazi.
Tuna kazi sana ya kujua nini potentials zetu, tufanye nini kuzi-exploit, nyenzo husika ni zipi, etc etc.
Kuna somo kubwa la kujifunza tukitumia mfano wa Diamond.
Kuna kinanda kitamu sana kwenye hii beat, kwa wale mabaharia unaweza jikuta hubanduki kwenye papuchi maana ni mwendo wa kukojoa mwanzo mwisho...
Sawa sawa kadadaaKule nimeshastaafu,pagumu sana
Tusaidiane kuitafuta mkuuHapana mkuu
Tena kaiharibu mm naonaSebene la nguvu, sema ngoma ilishakuwa hit kitambo, Mond kaongezea tu kakipande kwenye remix