Innoss'B ft Diamond video, bonge la wimbo

Kwa hyo aboveground wote wameshindwa au?
Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.
 
Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.

na ndio maana ana force kolabo

akimaliza kolabo tunataka atulize akili aje na kitu chake yeye 100%
 
Ninavutiwa sana na Muziki wa Diamond na namna anavyochukulia muziki kama kazi, jamaa anajitambua na anaelewa kuwa muziki ndio mlo wake.

Ukilinganisha sasa hivi na miaka ile ya 2009/2010 wakati anaanza muziki unaona kabisa jamaa amepiga hatua kubwa sana. Sasa hivi ukimsikiliza anavyoongea, content ya anachokiongea, na muonekano ni mbingu na ardhi na alivyokuwa 2009/2010.

Hili ni somo hata kwetu tujitahidi kupenda kile kinachotupa mkate wa kila siku, tujitahidi kuwa bora zaidi kadiri siku zinavyokwenda.

Hard work beats talent.

Diamond alijua nini anakihitaji toka zamani, akahangaika kujituma na kujifunza kila ambacho kitarahisisha ufanisi wake wa kazi.

Tuna kazi sana ya kujua nini potentials zetu, tufanye nini kuzi-exploit, nyenzo husika ni zipi, etc etc.

Kuna somo kubwa la kujifunza tukitumia mfano wa Diamond.
 
Huu wimbo original umetoka mwezi Mmoja uliopita ila umekaa wiki tatu uka ukiwa na views laki moja tu YouTube.

ila toka imetoka remix ambayo diamond ameingiza vipande vyake humo sasa nyimbo zote mbili yope original toka juzi hadi Leo inaviews 1.7na yope remix ndani ya siku mbili in views 1.5..

Hii maana yk nn ni kwamba diamond ndio kaupaisha huo wimbo na kumpaisha huyo onnos'b ndani ya siku tatu tu.

Inshort wasanii wa east, central na south of Africa wanatakiwa kumuheshimu diamond Sana huyo mtu anawashabiki damu anaweza kukufanya ukashine within a hour tu hii ni hatari...
Sasa Kwenye hii Yope Diamond ndiyo kamuheshimu Innos B kwasababu ya kipaji chake hadi kautamani wimbo wake ungekuwa ndiyo kauimba yeye hadi ikabidi aombe remix na kiukweli huyo dogo Innos B amepewa lift kubwa sana diamond kupromote nyimbo yake.
 
Sasa Kwenye hii Yope Diamond ndiyo kamuheshimu Innos B kwasababu ya kipaji chake hadi kautamani wimbo wake ungekuwa ndiyo kauimba yeye hadi ikabidi aombe remix na kiukweli huyo dogo Innos B amepewa lift kubwa sana diamond kupromote nyimbo yake.
Hili ni bonge la lift kitu cha kujifunza hapa ni Hawa wasanii wetu wanaoona Diamond sio lolote sio chochote kuna level diamond kafika ambayo ni rahisi kuwainua wengine na wakainuka..
 
Hard work beats talent.

Diamond alijua nini anakihitaji toka zamani, akahangaika kujituma na kujifunza kila ambacho kitarahisisha ufanisi wake wa kazi.

Tuna kazi sana ya kujua nini potentials zetu, tufanye nini kuzi-exploit, nyenzo husika ni zipi, etc etc.

Kuna somo kubwa la kujifunza tukitumia mfano wa Diamond.
Kuna kinanda kitamu sana kwenye hii beat, kwa wale mabaharia unaweza jikuta hubanduki kwenye papuchi maana ni mwendo wa kukojoa mwanzo mwisho...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom