Innoss'B ft Diamond video, bonge la wimbo

Shosti povu nimeshasema sitaki am hater.
Usijali,uzuri wa kitu hauko uko kwa yule anaye ki-experience,penda unachoona kinakupendeza,namimi ngoja nipende kinachonipendeza.
 

Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.
Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom