Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.
Huyu bwa mdogo katuletea fujo nyingine,huko mtaani sasa kero tupu kila kona "e e e eeee....boss mama dangote"
Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.
Mond kashirikishwa tuYani nilikua najiuliza ni nani ameimba? hapa jirani na kwangu kila siku nakasikia hako kamdundo nabaki kutikisa kiuno tuu kumbe ni mondi aisee katamu sana
Nadhani kwasababu anakua na uhakika wakutoa nyingine tena.Tatizo huwa nyimbo zake hazidumu
#mapovusitakimiehater
Zidumu za nini sasa si tunataka ngoma mpya kila kukicha
Mbona Umejihami Mapema
Nadhani kwasababu anakua na uhakika wakutoa nyingine tena.
Mbona nyimbo mbalimbali kama NITAREJEA na nyingine nyingi mimi kwangu hazipitwi na wakati?Hasara sio faida.
Mbona nyimbo mbalimbali kama NITAREJEA na nyingine nyingi mimi kwangu hazipitwi na wakati?
Msifieni kijana,anachapa kazi.
Usijali,uzuri wa kitu hauko uko kwa yule anaye ki-experience,penda unachoona kinakupendeza,namimi ngoja nipende kinachonipendeza.Ni kwako tu
Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.
Cocoriko ndo wapi?Hili jimbo linanishawishi kwenda cocoriko baadae.
Hukuuuu ArushaCocoriko ndo wapi?
Usijali,uzuri wa kitu hauko uko kwa yule anaye ki-experience,penda unachoona kinakupendeza,namimi ngoja nipende kinachonipendeza.
Huu wimbo unatibu kisukari,unaondoa presha, unarudisha nguvu za kiume Bila kusahau unaondoa stress za maisha.kumbe mrembo unakaa Arusha?Hukuuuu Arusha
Mondi katoa rmx leo...hio ngoma ipo muda ya jamaa wa congo..Yani nilikua najiuliza ni nani ameimba? hapa jirani na kwangu kila siku nakasikia hako kamdundo nabaki kutikisa kiuno tuu kumbe ni mondi aisee katamu sana
Mrembo Leo nipo busy Nina series ya money heist, master mind na hostel ghost na zote napiga kwa pamoja maana Nina full bando.Shosti povu nimeshasema sitaki am hater.
Mrembo Leo nipo busy Nina series ya money heist, master mind na hostel ghost na zote napiga kwa pamoja maana Nina full bando.
Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.
Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.