Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wachagga Masha anatosha kuwanyosha.
Look the way u think so little. Very sad in deed. Nani anawatosha Wamwere?
Could it Mama Salma?
Wachagga Masha anatosha kuwanyosha.
Na hao unawaowashikia bango pia wao si wasukuma ni watanzania!
Jiulize kama wateule hawa wangelikuwa ni Wachagga kelele za ukabila zingeweza kuwa zimeenea kiasi gani?
Kwani hapa waliwahi kujadiliwa sana watu wa kabila la Wachagga eti wapo wengi Ikulu, Ujenzi,Mambo ya Nje, TRA,BOT na ofisi nyeti za serikali, ila huko kote ni TRA tuu ndio Mkurugenzi mkuu ndio Mchagga .
Wasukuma ndio waliopo kwenye vyombo nyeti vya taifa hili.
1.Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU- MSUKUMA.
2.Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka- DPP -MSUKUMA.
3.Mkurugenzi mkuu wa Upelelezi na Jinai -Msukuma.
Hivi wangelikuwa ni wakutoka Kilimanjaro ingekuwaje?
Na juzi kwenye utafiti wa lugha uliofanyika nchini ulionyesha kuwa Kisukuma ndio lugha inayozungumzwa kwa wingi zaidi Tanzania .
Jiulize kama wateule hawa wangelikuwa ni Wachagga kelele za ukabila zingeweza kuwa zimeenea kiasi gani?
Kwani hapa waliwahi kujadiliwa sana watu wa kabila la Wachagga eti wapo wengi Ikulu, Ujenzi,Mambo ya Nje, TRA,BOT na ofisi nyeti za serikali, ila huko kote ni TRA tuu ndio Mkurugenzi mkuu ndio Mchagga .
Wasukuma ndio waliopo kwenye vyombo nyeti vya taifa hili.
1.Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU- MSUKUMA.
2.Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka- DPP -MSUKUMA.
3.Mkurugenzi mkuu wa Upelelezi na Jinai -Msukuma.
Hivi wangelikuwa ni wakutoka Kilimanjaro ingekuwaje?
Na juzi kwenye utafiti wa lugha uliofanyika nchini ulionyesha kuwa Kisukuma ndio lugha inayozungumzwa kwa wingi zaidi Tanzania .
Mwanzisha thread had a point kwamba Wachagga walijadiliwa sana bali ilipokuja kwa Wasukuma, kukawa hakuna mjadala.
The point is short and clear, Wasukuma ni wengi lakini hawana ukabila. Wachagga ni wachache lakini wana ukabila.
Kutokana na hisia za ukabila, watu huwa wana kama ka chuki fulani na Wachagga ndio maana ni ngumu kwa Mchagga au Nshomile kuwa rais wa nchi hii.
Hayo ni yale makubwa, acha madogo madogo ya Wachagga na Wasukuma.. Mimi nimetokea inter marriage family ya Baba Msukuma na Mama Mchagga. Mama alishika usukani, baba akajenga Moshi, kila Krismasi ni Moshi. Ndugu wa baba walimsema Baba na kudai huyu mama wa Kichagaa si bure. Baba alishika msimamo 'nimependa'. Ndugu muhimu nyumbani ni wale wa mama, wa baba kero.
Ikaja zamu yangu, kupitia mfluence ya mama nikaoa uchagani ila nikadhamiria niwe na msimamo indepedent sio kama baba. No kujenga Moshi, no safari za Moshi wakati wa Krismasi. Ilifikia wakati kulizuka mgogoro mkubwa na wakwe kisa nimedharau kupeleka familia mzima Moshi kwenye ubarikio wa ukweni.
Nimekuja ku learn the hard way, japo mke wa kichagga amenipenda, pesa is a big deal kwake na familia yake. Nilishaendeshwa puta mpaka tukahamia London kubeba box hatimaye US kusaka more money. Kwa wife Mchagga, money was everything kwa mimi Msukuma, money is nothing. Nililazimisha kurudi Bongo, na ilikuwa shughuli....
Misimamo kama hiyo inasababisha ama ukubali kupelekwa pelekwa ama usaffer the consequences. Haya ni mambo ya ndani madogo madogo ya contrast za Wasukuma na Wachagga.
Pamoja na Usukuma wangu wote, sikumbuki kuwahi kusaidiwa na Msukuma yoyote kwa sababu ya kabila langu, my wife was very junior kazini kwake, baada ya boss Mchagga kujua kumbe ni Mchagga, alipanda cheo to seniority within no time, mshahara mnono na gari ya ofisi, mbona ningepandwa kichwani maana alinipita mshahara. Msimamo mkali wa masikini jeuri ulinisaidia.
Nenda sherehe za Wachagga na kina Nshomile, ni wao watupu, sometimes hata jirani kama ni vikabila havieleweki, hakuna kualikwa. Ukikutwa kuna wengine kwenye mikusanyiko yao, ujue ni 'friendship of convenience' Huu sasa sio ukabila tena bali ni ubaguzi wa kichini chini kujiona makabila yao ndio bora na makabila mengine yote silolote si chochote.
Tupende tusipende hili la Wasukuma kutokuwa na ukabila kumeisaidia sana nchi hii itawalike kwa amani. Kama na sisi tungeanza kucheza karata za ukabili, kwa wingi wa Wasukuma, hakuna mtu anaweza kuwa rais wa nchi hii bila kura za Kanda ya Ziwa.
Wasukuma wote kwenye nafasi za madaraka, wameyapata kwa merits na sio kwa kubebwa na ukabila. Na naamini kuchelewa kwa Mzee wa Vijisenti kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, ni wanasubiri ku synchronise the connected dots na sio kwa sababu ya Usukuma wake.
Hata hivyo pole Mangi wewe, Mangi Mramba na Mjomba Yona na Mgonja, issue yao ni politics za kupandisha credibility ya Mkulu ready for 2010 tuu, hazina legal merits kubwa sana, kesi zitaisha na watakuwa aquinted so do Mangi Kweka na Semeji Liyumba maana wale wadada ni wetu sote.
No wonder story imetoka gazeti la Mangi.
Huu sio wakati wa kuangali tena makabila yetu, tufanyeni kazi na tuwapeleke wanetu shule ili waweze kushindana katika soko, vinginevyo tutabaki tukijadili tulikotoka badala ya tuendako.
Nono
Aisee una mawazo kama unatoka kwetu vile? I mean it, kwa sababu huko kwetu huwa hatujali mtu alitoka wapi, bali anaenda wapi. Philosophy yako inafanana kabisa na kwetu Mtagata.
On the other note, watu wasio na makabila, wepesi kutukana makabila ya watu kwa sababu hawajui utamu wa kabila. Matokeo yake unamkuta mwanamme anamvalia mama mkwe taulo!
]
Mbona mnawakalia mashemeji zangu kooni? komeni.....hamna kabila disenti kama wasukuma.....
Mimi swali langu ni juu kuna undugu kati ya Feleshi na Chenge (siyo hilo la ukabila au undugu wa Watanzania wote)
This thread is a non-starter. Maana wasukuma wasingekuwa wastaarabu nchi isingekalika.
So mwanzisha thread, njoo kwa gia nyingine mwanawane.
Halafu unajua dada wa kichagga kwa wasukuma wanaoza sana? lol. Heshimu shemeji zako.
...bachoji bah mhilya duhu angoh?! .....amboh bamanile tulenah-'masekeni (segeni), maalmasi, madhahabu, mang'ombe, mhulu (mhuru genge), sungwi, masondwa, mabele, ngubo, mahama, ng'ong'osela, maliboto, manumbu, bubele, lunyenya, madoke, nembe, mashe, sato, nguryati, linyanza, maliwa, maguha, makubi (nzubo, lunani, matembele, mashiri, manyang'wanga, ndulu, lugaka), noni (jiiji, hungwe, dodorima, jolowe, topunda, n'helegani...), etc, etc..... maaayne - just luv it!!!