Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,318
8,231
Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao.

Bunge letu tukufu hupata wabunge wa viwango tofauti tofauti vya elimu kama ifuatavyo:

1. Elimu ya darasa la saba
2. Elimu ya kidato cha nne.
3. Elimu ya kidato cha sita
4. Elimu ya astashahada
5. Elimu ya stashahada
6. Elimu ya shahada
7. Elimu ya shahada ya udhamili
8. Elimu ya shahada ya uzamivu

Ingekua vizuri sana serikali ingefuata viwango hivi vya elimu wakati wa kupanga mishahara ya wabunge.

Mwenye elimu darasa la saba, apewe mshahara wa cheti cha darasa la saba kama kima cha chini. Mwenye elimu ya kidato cha nne naye apewe mshahara kulingana na elimu yake. Pia mwenye elimu kidato cha sita hivyo hivyo. Na mbunge mwenye shahada alipwe mshahara kwa kufuata hicho kiwango chake cha elimu. Na mwenye elimu ya juu zaidi alipwe mshahara kufuata hicho kiwango chake.

Hili ni zuri, kwanza litapunguza matumizi, pili litajenga kuheshiama bungeni. Kuna muda mwingine utakuta wabunge wanadhalauliana kwasababu wote wanapata stahiki sawa ingawaje viwango vya elimu zao ni tofauti.

Ahsanteni:
 
Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao.

Bunge letu tukufu hupata wabunge wa viwango tofauti tofauti vya elimu kama ifuatavyo:
1. Elimu ya darasa la saba
2. Elimu ya kidato cha nne.
3.Elimu ya kidato cha sita
4.Elimu ya astashahada
5.Elimu ya stashahada
6.Elimu ya shahada
7.Elimu ya shahada ya udhamili
8.Elimu ya shahada ya uzamivu

Ingekua vizuri sana serikali ingefuata viwango hivi vya elimu wakati wa kupanga mishahara ya wabunge.

Mwenye elimu darasa la saba, apewe mshahara wa cheti cha darasa la saba kama kima cha chini. Mwenye elimu ya kidato cha nne naye apewe mshahara kulingana na elimu yake. Pia mwenye elimu kidato cha sita hivyo hivyo. Na mbunge mwenye shahada alipwe mshahara kwa kufuata hicho kiwango chake cha elimu. Na mwenye elimu ya juu zaidi alipwe mshahara kufuata hicho kiwango chake.

Hili ni zuri, kwanza litapunguza matumizi, pili litajenga kuheshiama bungeni. Kuna muda mwingine utakuta wabunge wanadhalauliana kwasababu wote wanapata stahiki sawa ingawaje viwango vya elimu zao ni tofauti.

Ahsanteni:
CCM haijali ELIMU inachojali ni Kuishangilia kumbuka Wabunge wenye Elimu ndogo ndio Wanaongoza kuipenda ccm

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kuwalipa mshahara tu ni tatizo, maana wao siyo waajiriwa.........wanachotakiwa kulipwa ni posho kwa ajili ya kuhudhuria bungeni kuwasemea wananchi wanaowawakilisha na hizi posho wanatakiwa wachangiwe na wananchi hukohuko kwenye maeneo yao wanakowakilisha. Ndo maana unakuta bunge haliwezi kuisimamia serikali ipasavyo maana linategemea kulipwa mishahara na posho na hiyo hiyo serikali.
 
Kuwalipa mshahara tu ni tatizo, maana wao siyo waajiriwa.........wanachotakiwa kulipwa ni posho kwa ajili ya kuhudhuria bungeni kuwasemea wananchi wanaowawakilisha na hizi posho wanatakiwa wachangiwe na wananchi hukohuko kwenye maeneo yao wanakowakilisha. Ndo maana unakuta bunge haliwezi kuisimamia serikali ipasavyo maana linategemea kulipwa mishahara na posho na hiyo hiyo serikali.
Rejea kazi za bunge, wabunge wanafanya kazi kubwa sana mkuu. Kuongea bungeni sio kazi ndogo. Kufuatili issue za ufisadi sio kazi ndogo. Mimi naomba tunapo jadili hii mada tutoe majibu ya kisomi ili watu waelewe ni nini tunataka kuiambia serikali.
 
Utaka kusema nini mkuu.
Nakupa mfano daktari anayeruhusiwa kumfanyia mtu upasuaji lazima awe MD lakini CO haruhusiwi, kazi ya kuwakilisha wananchi ni kuwakilisha matatizo yao wewe ni sawa na Spika yao au daraja kati yao na serikali na wala wewe siyo mtaalamu but kwangu napendekeza angalau wawe na elimu basi kuanzia certificate yoyote na kuendelea
 
Rejea kazi za bunge, wabunge wanafanya kazi kubwa sana mkuu. Kuongea bungeni sio kazi ndogo. Kufuatili issue za ufisadi sio kazi ndogo.
Mimi naomba tunapo jadili hii mada tutoe majibu ya kisomi ili watu waelewe ni nini tunataka kuiambia serikali.
Sasa hiyo ni kazi ya kuajiriwa au kazi ya uwakilishi, wewe ndo unaonekana umeleta mada ambayo haijakaa kisomi.
 
Kuwalipa mshahara tu ni tatizo, maana wao siyo waajiriwa.........wanachotakiwa kulipwa ni posho kwa ajili ya kuhudhuria bungeni kuwasemea wananchi wanaowawakilisha na hizi posho wanatakiwa wachangiwe na wananchi hukohuko kwenye maeneo yao wanakowakilisha. Ndo maana unakuta bunge haliwezi kuisimamia serikali ipasavyo maana linategemea kulipwa mishahara na posho na hiyo hiyo serikali.
Hapana nadhani kwenye budget iwekwe % kwenye makusanyo ni ajili ya bunge, % ajili ya mahakama kila muhimili uwe huru
 
Hapana, napinga kulipwa kutokana na viwango vyao vya elimu. Kwani kiwango Cha chini kabisa kikatiba Cha mbunge ni elimu kiwango Gani?

Napendekeza uwepo mpango wa majukumu na utekelezaji ambao Kwa huo, mbunge atapimwa kulingana na ufanisi wa kazi yake. Pia itakua kigezo Cha kuomba ridhaa Kwa wananchi kupewa muhula mwingine au kutokuendelea na ubunge.
 
Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao.

Bunge letu tukufu hupata wabunge wa viwango tofauti tofauti vya elimu kama ifuatavyo:

1. Elimu ya darasa la saba
2. Elimu ya kidato cha nne.
3. Elimu ya kidato cha sita
4. Elimu ya astashahada
5. Elimu ya stashahada
6. Elimu ya shahada
7. Elimu ya shahada ya udhamili
8. Elimu ya shahada ya uzamivu

Ingekua vizuri sana serikali ingefuata viwango hivi vya elimu wakati wa kupanga mishahara ya wabunge.

Mwenye elimu darasa la saba, apewe mshahara wa cheti cha darasa la saba kama kima cha chini. Mwenye elimu ya kidato cha nne naye apewe mshahara kulingana na elimu yake. Pia mwenye elimu kidato cha sita hivyo hivyo. Na mbunge mwenye shahada alipwe mshahara kwa kufuata hicho kiwango chake cha elimu. Na mwenye elimu ya juu zaidi alipwe mshahara kufuata hicho kiwango chake.

Hili ni zuri, kwanza litapunguza matumizi, pili litajenga kuheshiama bungeni. Kuna muda mwingine utakuta wabunge wanadhalauliana kwasababu wote wanapata stahiki sawa ingawaje viwango vya elimu zao ni tofauti.

Ahsanteni:
Naona unawatafuta kibajaji na msukuma.
 
Rejea kazi za bunge, wabunge wanafanya kazi kubwa sana mkuu. Kuongea bungeni sio kazi ndogo. Kufuatili issue za ufisadi sio kazi ndogo.
Mimi naomba tunapo jadili hii mada tutoe majibu ya kisomi ili watu waelewe ni nini tunataka kuiambia serikali.
Unajua ni kwa nini watu wanahoji Sana kuhusiana na malipo yao? Ni kwa sababu hawaoni kitu cha maana wanacho fanya hao wabunge, sasa ni kazi ipi kubwa inayofanywa na hao jamaa hadi uwape sifa namna hiyo

Wako pale kwa ajili ya matumbo yao na sio kingine, na ndio maana hata kiasi wanacho lipwa sasa hivi bado wanaona ni kidogo
 
Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao.

Bunge letu tukufu hupata wabunge wa viwango tofauti tofauti vya elimu kama ifuatavyo:

1. Elimu ya darasa la saba
2. Elimu ya kidato cha nne.
3. Elimu ya kidato cha sita
4. Elimu ya astashahada
5. Elimu ya stashahada
6. Elimu ya shahada
7. Elimu ya shahada ya udhamili
8. Elimu ya shahada ya uzamivu

Ingekua vizuri sana serikali ingefuata viwango hivi vya elimu wakati wa kupanga mishahara ya wabunge.

Mwenye elimu darasa la saba, apewe mshahara wa cheti cha darasa la saba kama kima cha chini. Mwenye elimu ya kidato cha nne naye apewe mshahara kulingana na elimu yake. Pia mwenye elimu kidato cha sita hivyo hivyo. Na mbunge mwenye shahada alipwe mshahara kwa kufuata hicho kiwango chake cha elimu. Na mwenye elimu ya juu zaidi alipwe mshahara kufuata hicho kiwango chake.

Hili ni zuri, kwanza litapunguza matumizi, pili litajenga kuheshiama bungeni. Kuna muda mwingine utakuta wabunge wanadhalauliana kwasababu wote wanapata stahiki sawa ingawaje viwango vya elimu zao ni tofauti.

Ahsanteni:
Sidhani kama itawezekana
Cha kwanza kabisa bila degree, masters au PhD usikanyage bungeni
Iwe hvo
 
Back
Top Bottom