Swali la kipumbafu sana hiloJibu swali bhana 😂
Swali la kipumbafu sana hiloJibu swali bhana 😂
Swali la kipumbafu sana hilo
Ole nshenji bhabha![]()
Nimemwambia binti ambaye ni jirani yangu haina maana "kunyimana" sisi ni kitu kimoja amechukia!
Wakuu, poleni na pilika Sasa, kuna binti ambaye ni tunaishi nyumba moja, Huwa anavaa khanga moja anapita akaniona tu anapita anatikisa mzigo sio poa, wengine anapita amevaa amejizinga vizuri tu Ila akiniona anavaa "nusu ngozi nusu nguo""🥶 👉Ni mzuri wa maumbiko amejaa haja nyuma sio poa Sasa...www.jamiiforums.com
![]()
Ikiwa mke /mwanamke wako atazidisha chumvi kwenye mboga ni lugha gani utatumia kumwambia?
Poleni na mfungo wakuu, 👉Kama tunavyojua wanawake wameumbwa na hulka ya kusifiwa 👉Na pia ni emotional oriented " 👉Kwenye suala la upishi huwa wanapenda sana wapewe credit Endapo mwanamke wako atazidisha chumvi kwenye maakuli ni lugha utatumia kufikisha ujumbe ili usimkwaze 👉Aya tutiririke...www.jamiiforums.com
Kumbe tupo wengi tuliochanganyikiwa ndoa.
Hana shukrani, anasema simpi pesa, simtimizii mahitaji yake ya kipesa...Mkeo kakucheat kisa nn em tuanze apo
Kwaio ujui shida nnHana shukrani, anasema simpi pesa, simtimizii mahitaji yake ya kipesa...
Akiomba laki 3, nampa laki 280 anazira, akiomba laki 5, nampa laki 450, anazira, akiomba milioni , nampa laki ,8 anazira
Siku nyingine nakuja na vizawadi,.mara nimekuja na kuku nyama kitimoto anaanza kutoa kasoro kwanza kuku Gani huyu, mara kitimoto mbona hamna chumvi,
Nmepita huko mitaani nikakuta kitu kizur namchukulia lazima kitiwe kasoro , Kuna siku nlimchukulia chupi, ..mara hii chupi siwez vaa..
Si unamchokoza ili muendeleze mlipoishia asubuhi😎Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.
Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.
Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.
Utafanyaje
Kwa kuhisi tu..!!Napiga chini
Kapata ambae anampa na nyongeza sio ww unaepunguzaSijui ..we we umeona shida hapo ni nini...
Kwenye swala la hela kumpa pungufu yake upo sahihi na akidhira wewe chukua usimpe akiomba tenaHana shukrani, anasema simpi pesa, simtimizii mahitaji yake ya kipesa...
Akiomba laki 3, nampa laki 280 anazira, akiomba laki 5, nampa laki 450, anazira, akiomba milioni , nampa laki ,8 anazira
Siku nyingine nakuja na vizawadi,.mara nimekuja na kuku nyama kitimoto anaanza kutoa kasoro kwanza kuku Gani huyu, mara kitimoto mbona hamna chumvi,
Nmepita huko mitaani nikakuta kitu kizur namchukulia lazima kitiwe kasoro , Kuna siku nlimchukulia chupi, ..mara hii chupi siwez vaa..
Jibu zuri kabisaNawewe unajitoa ufahamu unaenda bafuni kuoga naye, kwani si mlikubaliana kwamba nyie ni mwili mmoja.
Kabisaaa...Relax. Mkeo hakuzini. Ni mawazo yako tu yanakutuma hivyo. Na usijinyonge maana inaonekana una emotional intelligence ya kiwango cha chini sana. Take it easy please. Binti kajua kukurusha roho huyo. Anacheza tu na saikolojia yako huyo 😂
Kwanini arudi na furaha halafu akaoge 😂Kwa kuhisi tu..!!
Alaa kumbe ...Basi ngoja nitafute mzuri zaidi yake atakayetosheka bila nyongezaKapata ambae anampa na nyongeza sio ww unaepunguza
Bado unaseleleka na hisia tu..!!! Uhalisia anao yeye. By the way, always PSYCHOLOGICAL TORTURE inauma sana kuliko physical. Usikute anafanya hayo kukuhangaisha kihisia.Kwanini arudi na furaha halafu akaoge 😂
Kwanini aoge yani 🤣
Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.
Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.
Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.
Utafanyaje
Mbona unanifokeaAlaa kumbe ...Basi ngoja nitafute mzuri zaidi yake atakayetosheka bila nyongeza
na akipata anashukuru na kunipa tamu Hadi asubuhi...Tena naenda tanga kule kwa wadada waliofundwa wakafundika
Haya makapi ya mjini nimewwachia mapedeshee wenye vitambi
Napiga chini