Ingekua wewe ungefanya nini?

Ingekua wewe ungefanya nini?

Swali la kipumbafu sana hilo






Kumbe tupo wengi tuliochanganyikiwa ndoa.
 






Kumbe tupo wengi tuliochanganyikiwa ndoa.
Ole nshenji bhabha
 
Mkeo kakucheat kisa nn em tuanze apo
Hana shukrani, anasema simpi pesa, simtimizii mahitaji yake ya kipesa...

Akiomba laki 3, nampa laki 280 anazira, akiomba laki 5, nampa laki 450, anazira, akiomba milioni , nampa laki ,8 anazira

Siku nyingine nakuja na vizawadi,.mara nimekuja na kuku nyama kitimoto anaanza kutoa kasoro kwanza kuku Gani huyu, mara kitimoto mbona hamna chumvi,
Nmepita huko mitaani nikakuta kitu kizur namchukulia lazima kitiwe kasoro , Kuna siku nlimchukulia chupi, ..mara hii chupi siwez vaa..
 
Hana shukrani, anasema simpi pesa, simtimizii mahitaji yake ya kipesa...

Akiomba laki 3, nampa laki 280 anazira, akiomba laki 5, nampa laki 450, anazira, akiomba milioni , nampa laki ,8 anazira

Siku nyingine nakuja na vizawadi,.mara nimekuja na kuku nyama kitimoto anaanza kutoa kasoro kwanza kuku Gani huyu, mara kitimoto mbona hamna chumvi,
Nmepita huko mitaani nikakuta kitu kizur namchukulia lazima kitiwe kasoro , Kuna siku nlimchukulia chupi, ..mara hii chupi siwez vaa..
Kwaio ujui shida nn
 
Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.

Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.

Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.

Utafanyaje
Si unamchokoza ili muendeleze mlipoishia asubuhi😎
 
Hana shukrani, anasema simpi pesa, simtimizii mahitaji yake ya kipesa...

Akiomba laki 3, nampa laki 280 anazira, akiomba laki 5, nampa laki 450, anazira, akiomba milioni , nampa laki ,8 anazira

Siku nyingine nakuja na vizawadi,.mara nimekuja na kuku nyama kitimoto anaanza kutoa kasoro kwanza kuku Gani huyu, mara kitimoto mbona hamna chumvi,
Nmepita huko mitaani nikakuta kitu kizur namchukulia lazima kitiwe kasoro , Kuna siku nlimchukulia chupi, ..mara hii chupi siwez vaa..
Kwenye swala la hela kumpa pungufu yake upo sahihi na akidhira wewe chukua usimpe akiomba tena
 
Kapata ambae anampa na nyongeza sio ww unaepunguza
Alaa kumbe ...Basi ngoja nitafute mzuri zaidi yake atakayetosheka bila nyongeza
na akipata anashukuru na kunipa tamu Hadi asubuhi...Tena naenda tanga kule kwa wadada waliofundwa wakafundika
Haya makapi ya mjini nimewwachia mapedeshee wenye vitambi
 
Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.

Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.

Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.

Utafanyaje

Hapo rahisi tu, unaenda kumuogesha. Halafu kama ni mmeo, hakikisha unam'beba mpaka kwenye maliwato
 
Alaa kumbe ...Basi ngoja nitafute mzuri zaidi yake atakayetosheka bila nyongeza
na akipata anashukuru na kunipa tamu Hadi asubuhi...Tena naenda tanga kule kwa wadada waliofundwa wakafundika
Haya makapi ya mjini nimewwachia mapedeshee wenye vitambi
Mbona unanifokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom