Ingekua wewe ungefanya nini?

Ingekua wewe ungefanya nini?

Mpaka hapo jua mkeo kakuzidi akili, yaani ukiona mnaishi pamoja na mkikosana wewe ndo unaonekana kuumia zaidi ya mwenzio basi jua wewe ndo kilaza.
 
Kwenye swala la hela kumpa pungufu yake upo sahihi na akidhira wewe chukua usimpe akiomba tena
Shukran mkuu...ila nafasi ya yeye kuomba tena naona haitokuepo mana ntaingia chimbo kwenda kutafuta mwanadada wa kiafrika African beauty aliefundwa huko rural tanga huko wanaojua mapenzi wanaojua kushukuru nimreplace
Yeye aendelee kukazwa na mapedeshee wanaompa nyongeza
 
Shukran mkuu...ila nafasi ya yeye kuomba tena naona haitokuepo mana ntaingia chimbo kwenda kutafuta mwanadada wa kiafrika African beauty aliefundwa huko rural tanga huko wanaojua mapenzi wanaojua kushukuru nimreplace
Yeye aendelee kukazwa na mapedeshee wanaompa nyongeza
Una uhakika na unachosema
 
Mpaka hapo jua mkeo kakuzidi akili, yaani ukiona mnaishi pamoja na mkikosana wewe ndo unaonekana kuumia zaidi ya mwenzio basi jua wewe ndo kilaza.
swali kwanini uingie unacheka cheka uende bafuni kuoga..hata hujakaa..
 
Shukran mkuu...ila nafasi ya yeye kuomba tena naona haitokuepo mana ntaingia chimbo kwenda kutafuta mwanadada wa kiafrika African beauty aliefundwa huko rural tanga huko wanaojua mapenzi wanaojua kushukuru nimreplace
Yeye aendelee kukazwa na mapedeshee wanaompa nyongeza
Naomba million 2😞
 
Kivuruge mimi kwenye ubora wangu 🤣
Kwa hiyo kaenda kupoza kule chini na maji 🙌

Ule uzi wa jana wa mfungo nimeona umeniquote leo...lakini sina access ya kukujibu mods wamenipiga ban nisichangie ule uzi 😆
Niliona pia. Nikasema kivuruge kavuruga uzi wa watu mpaka kapigwa pin 😂.

Yeah! Binti kamtesa sana kisaikolojia jamaa yetu wakati wala hakukuliwa nje. Na safari nyingine sidhani kama atagombana naye asubuhi asubuhi tena maana anajua kitakachofuata. I like this girl! Na akili zake na zako ni kama vile zinafanana fanana tu. I can see you doing this to your man!
 
Niliona pia. Nikasema kivuruge kavuruga uzi wa watu mpaka kapigwa pin 😂.

Yeah! Binti kamtesa sana kisaikolojia jamaa yetu wakati wala hakukuliwa nje. Na safari nyingine sidhani kama atagombana naye asubuhi asubuhi tena maana anajua kitakachofuata. I like this girl! Na akili zake na zako ni kama vile zinafanana fanana tu. I can see you doing this to your man!
🤣🤣
Mie kwenye mahusiano yangu naprefer peace kuliko mateso
Drama za mleta mada na mke wake siziwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom