Ingekua wewe ungefanya nini?

Ingekua wewe ungefanya nini?

Kwani huyo Mlaji huko alipokwenda ameondoka nayo ama kuimaliza?

Mwache akaioshe, then mkienda Kulala nawe zamu yako kuichapa

Mkiendekeza hayo mambo ya wivu na ugomvi usioisha ndani ya nyumba

Mtajikuta Siku moja umemchinja Binti wa watu ama naye amekuwahi Kwa kukuwekea sumu kwenye chakula
 
usikutwe na hii ishu mzee watu Wazuri sana ku type wengi hapa hamna wake Wala wenza ama wapenzi wenye malengo mnaishi kama mapopo..
Usilete makasirikio mkuu. Pambana na hali yako. Kama amechapwa huko nje amechapwa tu na hakuna kitu utafanya. Daima kumbuka kwamba "the p*ssy is NEVER real yours hata kama umeitolea mahari. It is just your turn".. Pole sana mkuu...

Screenshot_20240308_104351_Gallery.jpg
 
Kwani huyo Mlaji huko alipokwenda ameondoka nayo ama kuimaliza?

Mwache akaioshe, then mkienda Kulala nawe zamu yako kuichapa

Mkiendekeza hayo mambo ya wivu na ugomvi usioisha ndani ya nyumba

Mtajikuta Siku moja umemchinja Binti wa watu ama naye amekuwahi Kwa kukuwekea sumu kwenye chakula
 
Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.

Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.

Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.

Utafanyaje
anakurusha roho tu, anaweza akawa hajafanya unachofikiria, ila anakuwa kama anakuaminisha kuwa ameshatetema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom