Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 2,304
- 5,654
Mapopo utatujua tu😹😹😹😹🙌🏾
Relax. Mkeo hakuzini. Ni mawazo yako tu yanakutuma hivyo. Na usijinyonge maana inaonekana una emotional intelligence ya kiwango cha chini sana. Take it easy please. Binti kajua kukurusha roho huyo. Anacheza tu na saikolojia yako huyo 😂Najinyonga basi uchukie vizuri. Rubbish 🤣
Relax. Mkeo hakuzini. Ni mawazo yako tu yanakutuma hivyo. Na usijinyonge maana inaonekana una emotional intelligence ya kiwango cha chini sana. Take it easy please. Binti kajua kukurusha roho huyo. Anacheza tu na saikolojia yako huyo![]()



emotional intelligenceNaingia na mie bafuni nikale mbususus....vikojoleo havihusiki na ugomvi wa midomoPale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.
Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.
Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.
Utafanyaje
Tunalipiza nn Tena💔Njoo basi unisaidie tumlipizie wifi yako?
My dear karma is realWifi ame cheat ..nataka kucheat na wewe kama njia ya kulipiza haya mateso nayopitia..Yan ugombane na mtu asubuhi, arudi jioni ama usiku apitilize bafuni huku anacheka cheka
Hatari sanaPale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.
Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.
Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.
Utafanyaje
Bila kuwa na high emotional intelligence utateseka sana hapa duniani. Ni ya muhimu kuliko IQ.emotional intelligence
Mkeo kakucheat kisa nn em tuanze apoI know dear.
But hio karma ndio Mimi naitengeneza Sasa mana nishaibiwa tayari.
Jibu swali bhana 😂Mzee baba, mbona unataka kujipa stress aseeh Yani jf ndo thermometer ya mahusiano yako?