Ingekua wewe ungefanya nini?

Ingekua wewe ungefanya nini?

Relax. Mkeo hakuzini. Ni mawazo yako tu yanakutuma hivyo. Na usijinyonge maana inaonekana una emotional intelligence ya kiwango cha chini sana. Take it easy please. Binti kajua kukurusha roho huyo. Anacheza tu na saikolojia yako huyo [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] emotional intelligence
 
Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.

Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.

Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.

Utafanyaje
Naingia na mie bafuni nikale mbususus....vikojoleo havihusiki na ugomvi wa midomo
 
Pale ambapo asubuhi unagombana na mkeo ama mwenza wako ambaye mnaishi nae na baada ya hapo kila mtu anaenda kwenye mishe zake za kila siku.

Jioni unajikuta wewe ndio umewahi, ukiwa umepumzika unamsubiri, kumbuka mligombana asubuhi na mwenzio aliondoka bila furaha.

Anarudi unamuona ana furaha kweli kweli na hakai hata anapitiliza hadi bafuni kwenda kuoga.

Utafanyaje
Hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom