Naona viatu rangi mbili tofauti.
Hayo waliioona wengine mimi sijayaona.
Mwisho wa siku watatuharibia ladha ya soka, maanake itakuwa kama hivi
View attachment 160005
Sometimes us.nge umejaa kwenye soka
penye wengi pana mengi,mwakani utasema kuna viongozi wa soka bongo si riziki