Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

Naomba kujazia.
1. CS ndo anaratibu ziara za viongozi wakuu. So inawezekana ziara ya VP ilikuwa kumweka out of the loop.
2. CDF hakujulishwa, alishuhudia kama ulimfuatlia vizuri.
3. Kuna watu walitaka kupindisha katiba kwa kuonesha VP akiwa hayupo basi Speaker may assume authority. Waliotakiwa kusimamia kuhakikisha katiba inafuatwa ni CS.
4. Maamuzi ya kuhakikisha katiba inafuatwa ni ya CDF kwani inaonekana kulishakuwa na mta
It's very simple nchi ina Katiba na Sheria.

Ndo mana kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kipindi Rais anaumwa the first to be consulted alipaswa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoe muongozo.

Hii nchi inaendeshwa sana kwa utashi wa watu na ndo mana yanakwenda hovyo
 
Naomba kujazia.
1. CS ndo anaratibu ziara za viongozi wakuu. So inawezekana ziara ya VP ilikuwa kumweka out of the loop.
2. CDF hakujulishwa, alishuhudia kama ulimfuatlia vizuri.
3. Kuna watu walitaka kupindisha katiba kwa kuonesha VP akiwa hayupo basi Speaker may assume authority. Waliotakiwa kusimamia kuhakikisha katiba inafuatwa ni CS.
4. Maamuzi ya kuhakikisha katiba inafuatwa ni ya CDF kwani inaonekana kulishakuwa na mta
Umemaliza kila kitu !
Case closed 🙏🙏
 
Hao viongozi si kwamba hawajui katiba, huwa wana makandokando yao ya figisu za kutaka kutofuata katiba.

Ukimsikiliza January Makamba alivyoongea hivi karibuni alikuwa anasema watu waliokuwa wanafanya kazi Ofisi ya Makamu ya Rais walitengwa, hata salamu walikuwa hawapewi.

Kwa hiyo haya mambo ya kumshirikisha Waziri Mkuu bila kumshirikisha Makamu wa Rais hayakutokea jwa bahati mbaya au kwa kukosa kujua katiba.

Huo ulikuwa ni mpango makusudi wa kumuondoa Makamu wa Rais katika succession plan.

Ukimsikiliza Mabeyo kuna sehemu kasema mambo kwa summary sana, kafupisha sana, hajatoa story kamili. Hii jistoria inahitaji kitabu kizima kuiandika.

Na kuhusu Magufuli alikuwa na haki ya kufia nyumbani kwake, everyone has a right to die with dignity, na moja kati ya haki hizo ni pale mtu anapogundua kuwa haponi, basi apewe nafasi ya kufa nyumbani akizungukwa na wapendwa wake.

Ameeleza kwa mwendo kasi wakati story yenyewe inajaza makabati matatu
 
It's very simple nchi ina Katiba na Sheria.

Ndo mana kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kipindi Rais anaumwa the first to be consulted alipaswa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoe muongozo.

Hii nchi inaendeshwa sana kwa utashi wa watu na ndo mana yanakwenda hovyo
Business as usual !
Wabadilike !
 
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.

Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.

Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?

Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?

How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?

Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?

Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?

Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Mkuu wa majeshi analia hovyo utafikiri siyo mwanajeshi angekuwa mkuu wa majeshi wa nchi za wanajeshi wenye akili angeweza hatakuchukua madaraka kwa nafasi aliyopewa wakati jiwe anaumwa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,

Here are facts.

1.Hakuna popote nilipomtaja CDF Mabeyo.

2.CDF Mabeyo mwenyewe kasema kuna watu walitaka kupindisha utaratibu.

3. Kwa mujibu wa CDF Mabeyo Makamu wa Rais alirukwa kabisa kwenye updates za kutoka hospitalini, habari alikuwa anapewa Waziri Mkuu Majaliwa. Licha ya kwamba Makamu wa Rais ndiye mrithi wa Rais, ikiwa Rais atafariki, kikatiba.

4. Habari hii ya CDF ina corroborate habari ya Makamba kwamba Ofisi ya Makamu wa Rais ilitengwa.

Sasa unataka kukataa maneno ya CDF kwamba kuna watu walitakankupindisha katiba Makamu wa Rais asiwe Rais?

Unataka kusema January Makamba kasema uongo mbele ya Rais Samia, Makamu wa Rais na watu wa Ofisi yaje hawakutengwa? Mbona haya mambo tuliyasikia tangu Magufuli yupo hai?

Unachobisha ni kipi hasa?
Kwa akili hizi za Samia bora alitengwa
 
Point taken.

Ila, bado swali liko pale pale kwa nini Rais anayeumwa mahututi anaita Paroko, anaita Kardinali, anaita CDF, anaita IGP, anaita DGIS, lakini anashindwa kumuita VP?
Labda kulikuwa na mkakati wa kuonyesha kwamba serikali ipo na inaendelea kupiga kazi kama kawaida na ndo maana Samia alikuwa yuko Tanga kikazi…..

Labda walipiga mahesabu yao wakaona kwamba itakuwa vyema viongozi waandamizi wakionekana wanafanya kazi kuliko kutoonekana maana tayari kulikuwepo na maneno kwamba kuna linaendelea ndani ya serikali…..
 
Labda kulikuwa na mkakati wa kuonyesha kwamba serikali ipo na inaendelea kupiga kazi kama kawaida na ndo maana Samia alikuwa yuko Tanga kikazi…..

Labda walipiga mahesabu yao wakaona kwamba itakuwa vyema viongozi waandamizi wakionekana wanafanya kazi kuliko kutoonekana maana tayari kulikuwepo na maneno kwamba kuna linaendelea ndani ya serikali…..
Kwani wangekuwa Dar wanapiga kazi isingeonekana wanapiga kazi?

Kwani serikali inashindwa kupanga event hata ya kizushi VP aonekane tu Dar?

Huoni kwamba hapo ilitumika ile style ya wazee, wakitaka kuongea jambo lao la faragha, wanamtuma mtoto dukani tu wapate nafasi ya kuongea vizuri?
 
Kwani wangekuwa Dar wanapiga kazi isingeonekana wanapiga kazi?

Kwani serikali inashindwa kupanga event hata ya kizushi VP aonekane tu Dar?
Popote pale nchini wangeonekana wanapiga kazi, hata ingekuwa ni Gambosi.

Either way, mengi mnayojadili hapa ni speculations tu.

Unless labda muwe mmeambiwa na Samia mwenyewe.
 
Popote pale nchini wangeonekana wanapiga kazi, hata ingekuwa ni Gambosi.

Either way, mengi mnayojadili hapa ni speculations tu.

Unless labda muwe mmeambiwa na Samia mwenyewe.
Mabeyo kashawapa watu pa kuanzia.

Kwamba naweza kusema, kwa mujibu wa Mabeyo, VP alikuwa zake Tanga huko huku wanaume wanapanga nchi apewe nani.

That is basically a coup. Hata kama mwisho katiba ime prevail, ni kwa hisani ya wanajeshi tu, hatuku maintain principle ya "civilian control of the military".

It's like the civilian leadership ceded control of the process to the military.

Ndiyo maana unamsikia Mabeyo anasema "tukaamua", mkaamua kama nani wakati hata kwenye succession chain hampo?

That was basically a coup. Regardless of whether finally the constitution prevailed or not. The process was hijacked by the military-intelligence complex.

The military was making momentous political decisions without civilian leadership.
 
Mabeyo kashawapa watu pa kuanzia.

Kwamba naweza kusema, kwa mujibu wa Mabeyo, VP alikuwa zake Tanga huko huku wanaume wanapanga nchi apewe nani.

That is basically a coup. Hata kama mwisho katiba ime prevail, ni kwa hisani ya wanajeshi tu, hatuku msintsin principle ya "civilian control of the military".

It's like the civilian leadership ceded control of the process to the military.

Ndiyo maana unamsikia Mabeyo anasema "tukaamua", mkaamua kama nani wakati hata kwenye succession chain hampo?

That was basically a coup.

The military was making momentous political decisions without civilian leadership.
That’s just your read of it.

And looks like you’re reading way too much into it.

Mabeyo hakusema yote hayo unayoyasema wewe.

Kama nilibyosema jana, ingependeza kama angefanya mahojiano yenye follow-up questions.

Tatizo watu wenyewe wanafanya vitu vingi viwe siri bila ulazima wowote ule.

Na nyinyi ndo mnatumia mwanya huo kuja na tafsiri zenu na makisio yenu.
 
Huoni pattern ya habari kwamba VP alitengwa na Magufuli.?

Habari ambazo zilisemwa kuwa ni conjecture hivyo hivyo, mpaka Makamba alivyokuja kufunguka last week hapa wakati anamkaribisha Samia Italy?
Makamba ni anti-Magufuli. Siyabebi maneno yake kuhusu Magufuli hook, line, and sinker.

Ningependa kusikia kutoka kwa mtu ambaye hana upendeleo.
 
That’s just your read of it.

And looks like you’re reading way too much into it.

Mabeyo hakusema yote hayo unayoyasema wewe.

Kama nilibyosema jana, ingependeza kama angefanya mahojiano yenye follow-up questions.

Tatizo watu wenyewe wanafanya vitu vingi viwe siri bila ulazima wowote ule.

Na nyinyi ndo mnatumia mwanya huo kuja na tafsiri zenu na makisio yenu.
Mabeyo hakusema nini?
 
Makamba ni anti-Magufuli. Siyabebi maneno yake kuhusu Magufuli hook, line, and sinker.

Ningependa kusikia kutoka kwa mtu ambaye hana upendeleo.
That was Makamba talking but the message was from Samia, it got the go ahead from Samia.

There is no way Makamba is going to be so tactless to talk that smack without Samia's go ahead.

Hata Mabeyo yote anayoongea hayo yamepitishwa na Samia. Bila Samia kupitisha Mabeyo haongei hayo.

Ni mkakati wa kuonesha Samia alivyoonewa na kutoka kidedea licha ya watu kutaka kumpora haki yake ya kikatiba.

Na Mabeyo hakuanza habari hizi leo, mwaka huu ame rehash tu, alishatoa hizi stories tangu mara tu baada ya Samia kuapishwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom