Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,546
- 86,136
Fanya ibada kama ni mkristo, jiunge na kwaya au fellowship mbalimbali, angalia movies, angalia vichekesho kama mimi hapa saa hizi naangalia funny videos za Youtube nakadhalika, fanya mazoezi na soma vitabu vya dini na vya kawaida, ukimaliza yote hayo utakua umezeeka na uko kaburini.