BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 321
- 500
Bila kuchoshana huwa napenda, Utani, masihara na kupima uelewa wa watu kwa undani zaidi.
JF Haina freedom of speech tunaongopeana tu...Maana nilipost Uzi hapa unaitwa KIVURUGE, hauna luga' isyo na staha, haitafuti mchumba kweli' Ila wakaondoa hataka haraka.
Hamna Neno hata moja lislo na staha Basi tu kumbe wanafuta jumbe na kuzisoma? Hakuna freedom of speech...
Yale yalikuwa mawazo ya Utani tuu'!!
JF Haina freedom of speech tunaongopeana tu...Maana nilipost Uzi hapa unaitwa KIVURUGE, hauna luga' isyo na staha, haitafuti mchumba kweli' Ila wakaondoa hataka haraka.
Hamna Neno hata moja lislo na staha Basi tu kumbe wanafuta jumbe na kuzisoma? Hakuna freedom of speech...
Yale yalikuwa mawazo ya Utani tuu'!!