ukikosa mkopo unakuwa na mawazo ya ajabu kweli.
Ntachungulia dirishani.Na ntamwambia Kakajambazi akutandike viboko barabara hadi unyooke,huna maana weye!
ikitokea ndio nitaamua
Kwani wewe ke jaman kaka mo11
kama ningekua mwanamke ndio ningefanya hivyo
kutokana na huo ni mfano
Salamu ndugu zangu.Mimi ni mwanaume, 28 yrs, nategemea kuoa mida ikifika.
Swali: Ukiwa kama mke wa mtu, una mtoto au watoto, akatokea jambazi au lolote jitu, ikawa amri uchague kati ya mmeo au mtoto mmoja wapo auawe na wawili mpone utachagua nani kumtoa sadaka; mme au mtoto.
Nawasilisha.
Lol! Jamani naona sipati majibu straight why? Wanaume wenzangu najua linaumiza hili coz kikawaida ndoa zetu za kisasa lazima utapigwa chini wewe.. Na wanawake nahisi wanaogopa kujibu ukweli..