Inawahusu zaidi wanawake

Inawahusu zaidi wanawake

We kama unataka kuoa oa, kama hutaki acha na sio unauliza maswali ya kipumbavu.

Nataka kujifunza kitu, JF nj free lance, km unaomba mi mpumbavu.. U better had kept quite!! Au limekuuma vile utauawa wewe?
 
Jamani ivi shule silishafunguliwa mbona bado naona kuna standard seven huku

Kwan kuna ubaya gan mi kutaka kujua, if a woman can love more of a husband than a kid? Nataka kujua tuu, km limekuchoma just shut ur f**k up!!
 
FB kule kwa vinuka nanihii wenzio ndio utapata majibu, usituchafulie jukwaa la wazee hapa.

Vinuka nanii ur a*ss.. Km umeona hvo ulishindwaje kupiga kimya?? Am old enough km umeona intelect yangu iko low U would hav just stayed silent.. Nyie ndo kila anachofikiri mwingine ni ujinga ukifikiri wewe ndo akili, lol! Pita hv...➡️➡️➡️➡️
 
Hilo sio swami, mazingira halisi ndio yatakayoleta majibu kwa reaction ya wakati huo. Huwezi kuplan namba ya Ku react hadi ujikute ndanivya tatizo.

Vv

Asante sana kwa jibu zuri, ujue inawezekana nauliza the unthinkable situation but hiyo isimfanye mtu kutoa matusi na kuona what am thinking ni upuuzi!! Every person thinks his/her own ways.. Thanks!!
 
unaleta imagination zisizoeleweka

Ni sawa na kweli but ninataka kujifunza kitu kuhusu sacrifice in such a deadly situation and preferences!! Its actually the unthinkable situation which anyone might encounter..
 
akili za kuku broila miaka 28 lakn bado unafikiria pumba,

The problem is that most people, think the same thing in the same way.. Kuita hii ni pumba sipingi, ila bado ni mawazo yangu, kuna kitu nataka kujifunza.. Sometimes, mna-reply kutokana na wengine walivyofanya.. Japo ningekukuta personally nikuulize ungefikiri kwa akili yako na ungenijibu kistaarabu tuu, japo ungesema "mawazo haya sio mazuri kufikiri".. Thanks anyway!!
 
Ni sawa na kweli but ninataka kujifunza kitu kuhusu sacrifice in such a deadly situation and preferences!! Its actually the unthinkable situation which anyone might encounter..

mkuu vitu kama hivi ngumu kuelezea aisee yani ni shida
 
Is it 28 yrs old au nimeona vby ni 08???

Unachoona cha kitoto hapo ni kipi? Thinking kuwa katika death-line na kuwa na option ya ku-sacrifice one and save the other? Km imekuboa si ungepita hivi mbona rahisi tuu... ➡️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom