JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,418
- 9,703
Nimefuatilia kwa ukaribu sana hili suara la board ya Mikopo. Ni kama serikali imeendelea kulifumbia macho, yaani haioni kitu kabisa.
Bungeni nako wameamua wanafunzi wapokelewe vyuoni bila kuwa na mikopo. Hapa ni danganya toto, vyuo vitajiendeshaje ? Wanafunzi wataishije huko vyuoni?
Serikali inaendesha matamasha kila siku na mengine inaweza ikafanya kwa njia ya media tu na ujumbe ukafika.
Mfano - Unatumia Billion 7 kutanganza matokeo ya sensa.. hapa ni zaidi ya wanafunzi 3,000 wangepata mkopo.
Unatumia pesa nyingi kujadili kwa nini watu wanatumia mikaa badala ya gesi na unalipa mamilion ya pesa ambayo yangeenda kwa wanafunzi.
Unasafiri nje ya nchi kila kukicha, safari zingine hazina hata ulazima, hizi pesa pelekeni kwa wanafunzi.
Hii nchi inajiendesha tu wala haina watu wenye maini sahihi.
Serikali punguzeni matumizi, mambo mengine fanyeni kwa mitandao sio kila siku watu wasafiri na kula na kulala..Unakuta kikao cha masaaa mawili mtu anasafiri toka Dar hadi Mwanza.
Bungeni nako wameamua wanafunzi wapokelewe vyuoni bila kuwa na mikopo. Hapa ni danganya toto, vyuo vitajiendeshaje ? Wanafunzi wataishije huko vyuoni?
Serikali inaendesha matamasha kila siku na mengine inaweza ikafanya kwa njia ya media tu na ujumbe ukafika.
Mfano - Unatumia Billion 7 kutanganza matokeo ya sensa.. hapa ni zaidi ya wanafunzi 3,000 wangepata mkopo.
Unatumia pesa nyingi kujadili kwa nini watu wanatumia mikaa badala ya gesi na unalipa mamilion ya pesa ambayo yangeenda kwa wanafunzi.
Unasafiri nje ya nchi kila kukicha, safari zingine hazina hata ulazima, hizi pesa pelekeni kwa wanafunzi.
Hii nchi inajiendesha tu wala haina watu wenye maini sahihi.
Serikali punguzeni matumizi, mambo mengine fanyeni kwa mitandao sio kila siku watu wasafiri na kula na kulala..Unakuta kikao cha masaaa mawili mtu anasafiri toka Dar hadi Mwanza.