tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 494
Katika hali ya kushangaza kabisa, kufuatia mgomo wa madereva ulianza leo na kumalizika mchana bahada ya waziri wa kazi bi, Gaudensia Kabaka kutoa tamko.
Ilinifanya nifuatilie chini chini kujua nani alitoa tamko ambalo lilisababisha madereva kugoma kuanzia bodaboda mpaka mabasi ya abiria na kusababisha usumbufu kwa abiria lakini kuikosesha mapato serikali yetu, nikagundua tamko halikuwa la serikali bali lilikuwa tamko la mkuu wa chuo.
Ukweli hii imenisikitisha sana mkuu wa chuo amekuwa na nguvu kiasi gani mpaka kutoa tamko kama lile bila woga na kutaka kuleta uvunjifu wa amani licha ya hasara serikali ambayo imeipata.
Kuthibitisha hilo leo waziri wa ajira amethibitisha kwamba tamko hilo halikuwa la serikali lilikuwa na mkuu wa chuo hicho (N.I.T).
Sasa kama serikali inakosa msemaji mpaka mkuu wa chuo anaropoka tu hii ni aibu kubwa.
Huyu mkuu wa chuo akamatwe na afunguliwe mashitaka, leo yeye kesho mkuu wa shule ataisemea serikali.
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu, it is horrible!!!!
Ilinifanya nifuatilie chini chini kujua nani alitoa tamko ambalo lilisababisha madereva kugoma kuanzia bodaboda mpaka mabasi ya abiria na kusababisha usumbufu kwa abiria lakini kuikosesha mapato serikali yetu, nikagundua tamko halikuwa la serikali bali lilikuwa tamko la mkuu wa chuo.
Ukweli hii imenisikitisha sana mkuu wa chuo amekuwa na nguvu kiasi gani mpaka kutoa tamko kama lile bila woga na kutaka kuleta uvunjifu wa amani licha ya hasara serikali ambayo imeipata.
Kuthibitisha hilo leo waziri wa ajira amethibitisha kwamba tamko hilo halikuwa la serikali lilikuwa na mkuu wa chuo hicho (N.I.T).
Sasa kama serikali inakosa msemaji mpaka mkuu wa chuo anaropoka tu hii ni aibu kubwa.
Huyu mkuu wa chuo akamatwe na afunguliwe mashitaka, leo yeye kesho mkuu wa shule ataisemea serikali.
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu, it is horrible!!!!