kama mimi ni mkuu wa NIT sikubali najitokeza kwenye media na makaratasi waliyosign, wasifanye baba watu aonekane ndo mbaya, itabidi jamaa ajisafishe
mkuu umesahau kuwa na yy anautetea ugali wake?
kama mimi ni mkuu wa NIT sikubali najitokeza kwenye media na makaratasi waliyosign, wasifanye baba watu aonekane ndo mbaya, itabidi jamaa ajisafishe
kwa kweli aliniacha hoi aliposema madereva oyeee utadhani anaomba kura za udiwani, nilicheka kwa kweli, huwa nakataa wanaposema kuishi kwingi ni kuona mengi ila ukweli ni kwamba kuishi tanzania ni kuona mengi
Ajitokeze naye atueleze ya kwake, vinginevyo awajibishwe kwa usumbufu na hasara alizotusababishia, hata kama si leo au kesho.
aisee wanasiasa ni watu wabaya sana. yaani wanataka kumuangushia jumba bovu mhandisi mwenzangu Dr Mganilwa kienyeji-kienyeji tu hivi hivi??
usicheze na system. Kabla ya kutoa nyaraka atapotezwa, mpaka muda huu atakuwa kisha pigwa biti kalikama mimi ni mkuu wa nit sikubali najitokeza kwenye media na makaratasi waliyosign, wasifanye baba watu aonekane ndo mbaya, itabidi jamaa ajisafishe
Tz patamu kama ukiwa na kitu mfukoni!!
utashangaa unapigiwa saluti na huku hata mgambo hujawahi pitia
Kati ya wote aliyeniacha hoi ni kova tu....."Madereva oyee"Oyeeeee......alf akapiga kuanzia sasa hakuna toch....sasa sijui alifikiri kwanza kabla ya kuongea au alijilopokea tu.. .dah! Duniani humu....
Kova naye " Waheshimiwa madereva nendeni na hakuna tochi na msibughudhiwe. MADEREVA HOYEE" wakati jana yake alitamba ya kuwa hakuna mgomo kwa sababu vinara alikuwa amewakamata.
usicheze na system. Kabla ya kutoa nyaraka atapotezwa, mpaka muda huu atakuwa kisha pigwa biti kali
Mchawi mweupe hakika ume hit the point.Siyo rahisi kwa Mkuu wa Chuo kutoa maamzi kama yale pasipo kuelekezwa.Hamna kitu kama hicho mkuu, japo serikiali iko kwenye AUTO PILOT, Lakini si kweli kuwa mkuu wa chuo cha NIT, angeweza kufanya hivyo, wao wameona ngoma imekuwa nzito acha wamuangushie jumba bovu tu, ili serikali ijisafishe kuwa sio wao!!! kama ni kweli hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake, kwani hasara na usumbufu uliojitokeza leo kwa wananchi ni mkubwa sana. Hiyo ni danganya toto tu, Sumatra, polisi wote walikuwa wanalijua hili mbona hawakuliona kuwa lingeleta mtafaruku?!! Yeye kova ni mtu wa kukurupuka tu na kutoa vitisho, bila kuangalia madhara, na ja ajabu huwa hawajifunzi kuwa siku hizi vitisho havisaidii tena kwa watu wanaokuwa na umoja na wako kwenye haki.Wakati wa mzozo leo pale ubungo madreva wengi walikuwa wanakunywa viroba muda wote walipo kuwa wanangojea hatima yao, cha ajabu walipofikia mwafaka baada ya serikali KUUFYATA, ni kuwaruhusu kuanza safari mala moja!!ki usalama bora mabasi yangeanza safari kesho tu. KOVA wakati mwingine uwe unachanganya na zako heeee!!!
aisee wanasiasa ni watu wabaya sana. yaani wanataka kumuangushia jumba bovu mhandisi mwenzangu Dr Mganilwa kienyeji-kienyeji tu hivi hivi??
Katika zoote hii nimeipenda.Mbona hawaambii Polisi warudi CCP Kwa ajili wanaporwa silaha kila kukicha.