Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
Mie mwenyewe nimeshangaa sana, nikasema kweli hii ni tanzania, mie nilijua wanataka pesa ya uchaguzi kwani wezi wa escrow sijasikia aliyerejesha, ila hawa jamaa watawala wana mbinu kali sana, ile ni babaisha ----- tu muwape kura kama hamjui, jamaa wa NIT hawezi akaamua tu bila kupata go ahead kutoka kwa wao