Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,585
Kuna nyaraka za siri zimevuja.
Zinadai Jeffrey Epstein yuhai ni mzima anaendelea kula maisha maafichoni.
Nyaraka hizo zinadai, Epstein kwa kushirikiana na baadhi ya wakubwa, alitoroshwa jela na kupelekewa mafichoni huko Marekani ili kupunguza minong’ono.
Kisha dunia ikatangaziwa Epstein amejinyonga akiwa jela mwaka 2019.
Nyaraka hizo zimevuja kipindi hiki ambapo uovu mwingi kuhusu Epstein na watu maarufu wa dunia akiwamo Trump mafaili yao kuanza kuanikwa wazi kwa umma.
Zinadai Jeffrey Epstein yuhai ni mzima anaendelea kula maisha maafichoni.
Nyaraka hizo zinadai, Epstein kwa kushirikiana na baadhi ya wakubwa, alitoroshwa jela na kupelekewa mafichoni huko Marekani ili kupunguza minong’ono.
Kisha dunia ikatangaziwa Epstein amejinyonga akiwa jela mwaka 2019.
Nyaraka hizo zimevuja kipindi hiki ambapo uovu mwingi kuhusu Epstein na watu maarufu wa dunia akiwamo Trump mafaili yao kuanza kuanikwa wazi kwa umma.