Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,157
- 137,185
So, he called a press conference just to take some veiled shots at her [Samia].
Hata kama hakumtaja moja kwa moja kwa jina lake, kitendo tu cha kusema ‘mzalendo namba moja nchini si Rais au mwanasiasa, bali ni mwanajeshi’, hapo alikuwa anamsema Rais Samia.
Hakuna namna ingine ya kuweza kutafsiri alichokisema Gwajima 🤣.
Humphrey Polepole naye alizungumzia uongozi mbovu wa chama na serikali yake.
Huyo naye alikuwa anamsema Samia bila kumtaja moja kwa moja!
Ni wangapi huko CCM wenye hizo sentiments dhidi ya Samia lakini bado hawajawa na ujasiri wa kujitokeza na kusema hadharani hata kama hawatomtaja moja kwa moja huyo kiongozi wao?
It looks like something is brewing inside CCM….
What say you? Good thing or bad thing?
Hata kama hakumtaja moja kwa moja kwa jina lake, kitendo tu cha kusema ‘mzalendo namba moja nchini si Rais au mwanasiasa, bali ni mwanajeshi’, hapo alikuwa anamsema Rais Samia.
Hakuna namna ingine ya kuweza kutafsiri alichokisema Gwajima 🤣.
Humphrey Polepole naye alizungumzia uongozi mbovu wa chama na serikali yake.
Huyo naye alikuwa anamsema Samia bila kumtaja moja kwa moja!
Ni wangapi huko CCM wenye hizo sentiments dhidi ya Samia lakini bado hawajawa na ujasiri wa kujitokeza na kusema hadharani hata kama hawatomtaja moja kwa moja huyo kiongozi wao?
It looks like something is brewing inside CCM….
What say you? Good thing or bad thing?