Division One
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,238
- 2,957
Uzuri wake umaskini sio ugonjwa wa kuambukiza.Ukiwa masikini usioe utaendelea kuzalisha kizazi Cha kimasikinišš¤£
Uzuri wake umaskini sio ugonjwa wa kuambukiza.Ukiwa masikini usioe utaendelea kuzalisha kizazi Cha kimasikinišš¤£
Kweli hapo ni jau.Sasa no bora anaesema kwamba nimeshindwa Kwa sababu hii na hii. Sio jitu linakuja linatoa posa afu linapotelea kusikojulikana
Unapangiwa mahari ambayo ni ya kikatili, utadhani wewe ndio unae taka wakati ni matakwa ya wote yaani kijana na binti mwenyewe, ifike mahala mahari itakayo tajwa igawanywe kwa mbili!Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Mahali pa kufanyia nn?Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Noma sanaš¤£š¤£ š¤£ š¤£ africa ni LAANA
Kwa nnMimi mwenyewe Kuna sehemu nilipeleka posa 2021 mwishoni mpaka Leo sijarudi
Je kama ww ndie.umezingua mahari 100 hapo nani kamjaribu mwingine usiangalie upande 1.Haikatazwi kubadilisha mawazo mkuu. Lakini kwann hadi afikie hatua kubwa kama hiyo afu aniache solemba. Aisee asinijaribu kabisa
Pole mkuu yamemkuta mdogo wako auWanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Yawezekana kabisaSababu inaweza kuwa mahari ni kubwa sana au baada ya barua mchumba kakengeuka mfano kamfumania, bwana amegundua ana tabia mbaya mfano kudanga, ulevi, uchoyo, uchawi, ugomvi. Pia labda bwana kapata mchumba bora zaidi au hata karogwa na dem mwingine, mambo ni mengi mda mchache.
we bibi ww= hapo umemaanisha "mahali" kuwa ni sehemu ya kufanyia harusi au mahari ada ya kujipatia mke?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ndoa ya imani ipi?Mmepanga mahari kubwa,nimeshindwa kutoa.Sasa hapo mnataka nirudi kufanya nini hapo kwenu?
Duh aiseeIpo posa tulimpeleka mshkaji flani 2 yrs ago, ke alikuwa rubani, tulipokelewa vizuri kufikia mahari jamaa akapigwa bill ya 100M , ndio hujakosea ulichosoma millioni mia moja ,alipotoka pale alienda moja kwa moja mazima hajarudi hadi leo.
Tunavoongea ameoa bank teller wa CRDB mahari alitoa millioni tano tena alitaka yy,hawakumpangia bei ,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Imani ya asili ya mababu zetu.Ndoa ya imani ipi?
Huyo bint na wazazi wake ni vichaaMtu hawezi ghaili bila sababu,unakuta vikwazo toka kwa mwanamke au familia ndio sababu...ilitokea jamaa wamekaa kwenye uchumba na binti 3yrs,binti anakaribia kumaliza masomo akamwambia jamaa katoe mahali,jamaa akaenda na mshanga na wazaz kutoa mahali,..familia ikasema mila yetu mahali tutachukua siku ya harusi,..jamaa kajipanga kwa harusi miezi 3 binti kagoma kuolewa mpk afanye kazi mwaka 1 ndio wafunge ndoa,jamaa akaamua kuachana nae...baada ya muda binti na wazazi wanamtafuta jamaa,..binti akachanganyikiwa kwamba jamaa kamuaibisha...nani anakosa hapo?