NIFEDIPINE
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 209
- 210
Pamoja na Serikali kutoa TSH bilioni 3 kwa ajili ya kuwalipa watumishi waliopambana dhidi ya UVIKO 19 na kuahidiwa mwezi wa Tisa mwaka huu kuwa ndani ya wiki mbili watapata pesa zao Bado hakuna mtumishi yeyote aliyepata fedha hizo au kuwekewa kwenye akaunti yake kama NAIBU WAZIRI MOLLEL alivyosema.
Naona Bado Serikali imeamua kuendelea na SIASA hasa kwa kudanganya watumishi hawa maana inakaribia mwezi Sasa na si wiki mbili tena kama alivyosema waziri.
Huenda Waziri alikuwa na nia njema kabisa lakini watu walio chini yake waliopewa dhamana ya utekelezaji wanamuangusha kwa MAKUSUDI.
USHAURI.
Watumishi hawa walipwe stahiki zao kama serikali mlivyoahidi maana hatujui ya kesho.
Watumishi wengi wa Afya walikataa kuhudumia wahanga wa UVIKO 19. Sasa wale waliojitoa wapewe chao.
Ninyi mliopewa Dhamana ya kuhakikisha watumishi hawa wanapata stahiki zao fanyeni kazi yenu. Msikwamishe bila sababu ya msingi Kisa hiyo pesa hamuoni namna ya KUIPIGA
Naona Bado Serikali imeamua kuendelea na SIASA hasa kwa kudanganya watumishi hawa maana inakaribia mwezi Sasa na si wiki mbili tena kama alivyosema waziri.
Huenda Waziri alikuwa na nia njema kabisa lakini watu walio chini yake waliopewa dhamana ya utekelezaji wanamuangusha kwa MAKUSUDI.
USHAURI.
Watumishi hawa walipwe stahiki zao kama serikali mlivyoahidi maana hatujui ya kesho.
Watumishi wengi wa Afya walikataa kuhudumia wahanga wa UVIKO 19. Sasa wale waliojitoa wapewe chao.
Ninyi mliopewa Dhamana ya kuhakikisha watumishi hawa wanapata stahiki zao fanyeni kazi yenu. Msikwamishe bila sababu ya msingi Kisa hiyo pesa hamuoni namna ya KUIPIGA