Imekaa kiudaku sana.Pauline Zongo alipelekwa Sober house ili kwa ajili ya kuachana na madawa ya kulevya.
Lakini Mange Kimambi aneandkika kuwa baada ya kutoka Sober amerudia tena na sasa hali yake ni tia maji tia maji.
Wamwache afe kwani kitu gani
Ni ngumu mpaka pale atakapopata mtu wa kumjali ambaye atagusa hisia zake za ndaniPauline inaonesha ana stress za maisha sana sasa ili aache kbs inabid na yy akubal kubadirika
Ni ngumu mpaka pale atakapopata mtu wa kumjali ambaye atagusa hisia zake za ndani
Yule mumewe inaonekana anampenda, niliona kwenye interview akilia machozi kwasababu ya hali aliyo nayo mkewe. Anasema mkewe Ana stress sababu ameshindwa kukubali matokeo kwamba wamedrop. Ni mume wa kanisaniNi ngumu mpaka pale atakapopata mtu wa kumjali ambaye atagusa hisia zake za ndani
Hiyo sauti nzuri aliyokuwa nayo chanzo ni Unga mkuu, haujui Unga unaamsha stim?Inauma sana huyu Dada nkikumbuka alivyokua ana sauti nzuri
Hatari sanaUnga ni Albadiri ya Kihindi, ukiingia humo kutoka ni ngumu sana hata ukae sober miaka 10 ukitoka tu kuna siku unarudia tena kubwia.