Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,734
- 29,124
Mzuka wanajamvi,
Hii ni video ya bosi wa Cartel madawa ya kulevya mvenezuela Reinaldo Fuentes akitupwa na kuzamishwa katika bahari ya Caribbean akiwa hai.
Reinaldo Fuentes alijulikana kwa jina la utani Taliban kwasababu ya madili makubwa ya madawa ya kulevya na Cartel za mashariki ya kati.
Taliban alidanganya kwa kufake kifo chake kwa macartel wengine eti amekufa na kumwaga madawa ya kulevya yenye thamani ta mamilion ya dollars.
Baadaye kulipotulia alienda kuyakusanya kisiri na kuyauza.
Fuentes alibadilisha utambilisho wake na kuishi Dominican republic na kuendelea kuuza madawa.
Lakini Cartel wakamfuatilia kisiri bila yeye kujua na kumuwekea mtego ahudhurie mkutano wa madawa ya kulevya.
Ndio hapo wakamdaka na kumteka. Baada ya kumpiga wakampeleka baharini Caribbean karibu na Martinique na kumtupa majini huku wamemfunga kamba mkononi na miguuni na kufa kifo kibaya kwa kuzama.
Tahadhari Video inatisha kidogo disturbing
Soma Zaid kwa kiingereza kwa kubofya linki hapo chini.
Hii ni video ya bosi wa Cartel madawa ya kulevya mvenezuela Reinaldo Fuentes akitupwa na kuzamishwa katika bahari ya Caribbean akiwa hai.
Reinaldo Fuentes alijulikana kwa jina la utani Taliban kwasababu ya madili makubwa ya madawa ya kulevya na Cartel za mashariki ya kati.
Taliban alidanganya kwa kufake kifo chake kwa macartel wengine eti amekufa na kumwaga madawa ya kulevya yenye thamani ta mamilion ya dollars.
Baadaye kulipotulia alienda kuyakusanya kisiri na kuyauza.
Fuentes alibadilisha utambilisho wake na kuishi Dominican republic na kuendelea kuuza madawa.
Lakini Cartel wakamfuatilia kisiri bila yeye kujua na kumuwekea mtego ahudhurie mkutano wa madawa ya kulevya.
Ndio hapo wakamdaka na kumteka. Baada ya kumpiga wakampeleka baharini Caribbean karibu na Martinique na kumtupa majini huku wamemfunga kamba mkononi na miguuni na kufa kifo kibaya kwa kuzama.
Tahadhari Video inatisha kidogo disturbing
Soma Zaid kwa kiingereza kwa kubofya linki hapo chini.
Venezuelan narco named 'Taliban' is dumped alive in the Caribbean Sea
Venezuelan drug trafficker Reinaldo Fuentes was killed in July when he was thrown off a boat in the Caribbean Sea, near Martinique.
www.dailymail.co.uk