Kama ni kweli basi huu ni unyama hali ya juuBy Godbless Lema kupitia twitter:
"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."
Also by Martin Maranja Masese kupitia twitter:
"Freeman Mbowe ni mahabusu, sio mfungwa, na kuna utaratibu wa kuwapa mahabusu chakula kutoka nje ya gereza haswaa weekends. Leo watu waliopeleka chakula gereza la Ukonga kwa Freeman Mbowe wamezuiwa, na wanasisitiza ni amri kutoka juu. Mambo ya hovyo yanaendelea kufanyik."
Lema anatafuta umaarufu gani wakati wewe mumeo na ukoo wenu mnamjua?
Acha hizo aisee.!
Huteuliwi ng'o !!!!Si kweli....
Nchi hii yenye raia milioni 60 nitajipigiaje ramli usemayo?!!
Kwa kuwa wewe ndiye mamlaka ya uteuzi ni lini nilikuomba uniteue?!!
Ukianza kuongelea ya kumuua Mbowe ndiyo unaharibu kabisa. Labda magereza wanaogopa maadui wa Mbowe toka CHADEMA wasijemuekea sumu Mbowe alafu wailaumu serkali. Inabidi magereza wawe waangalifu maana kinachotafutwa ni kuchafua jina la nchi kwa hali yyote. Kwa hiyo CHADEMA wanaweza kunyunyuzia sumu kwenye chakula akifariki Mbowe wailaumu serkali.Bimdashi amedhamiria kumpoteza kabisa Mbowe , wanaona kesi inawaelemea wanataka wamuue kwa njaa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huend wanampa chakula kizuri zaidi. Wameanza kuogopa Mbowe asija kudhulika itakula kwao. Wanamlinda vyema kama Mfalme.By Godbless Lema kupitia twitter:
"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."
Also by Martin Maranja Masese kupitia twitter:
"Freeman Mbowe ni mahabusu, sio mfungwa, na kuna utaratibu wa kuwapa mahabusu chakula kutoka nje ya gereza haswaa weekends. Leo watu waliopeleka chakula gereza la Ukonga kwa Freeman Mbowe wamezuiwa, na wanasisitiza ni amri kutoka juu. Mambo ya hovyo yanaendelea kufanyik."
😅😅😅😅asipokusikia atakuwa hana akiliWaliomkopesha walikuwa na vigezo na masharti yao.
Dada mtunze mumeo asije pata dogodogo ukaachwa solemba mambo ya akina Lema huyawezi hata nukta.
UtopoloUkianza kuongelea ya kumuua Mbowe ndiyo unaharibu kabisa. Labda magereza wanaogopa maadui wa Mbowe toka CHADEMA wasijemuekea sumu Mbowe alafu wailaumu serkali. Inabidi magereza wawe waangalifu maana kinachotafutwa ni kuchafua jina la nchi kwa hali yyote. Kwa hiyo CHADEMA wanaweza kunyunyuzia sumu kwenye chakula akifariki Mbowe wailaumu serkali.
Akili za kishetani ziko CCM tu.Ukianza kuongelea ya kumuua Mbowe ndiyo unaharibu kabisa. Labda magereza wanaogopa maadui wa Mbowe toka CHADEMA wasijemuekea sumu Mbowe alafu wailaumu serkali. Inabidi magereza wawe waangalifu maana kinachotafutwa ni kuchafua jina la nchi kwa hali yyote. Kwa hiyo CHADEMA wanaweza kunyunyuzia sumu kwenye chakula akifariki Mbowe wailaumu serkali.
Huyo mteuzi naye ana akili anajua watu modeli yako ni bendera fuata upepo. Utasugua sana bench hadi makalio yaote sigda.Kwa kuwa wewe ndiye mamlaka ya uteuzi ni lini nilikuomba uniteue?!!
Uko obsessed sana na masuala hayo huku ukiwa na illusion kunihusisha nayo kana kwamba una YAKINI vile....🤣🤣Huyo mteuzi naye ana akili anajua watu modeli yako ni bendera fuata upepo. Utasugua sana bench hadi makalio yaote sigda.View attachment 2034379
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Pumba...Lema, unatafuta attention for nothing, umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Umesha ambiwa familia ya MBOWEChadema wakati mwingine mtulie na kutafakari.Chakula kililetwa na nani?Sio kila mtu akileta chakula kitapokelewa kwa mtu mkubwa kama yule
Tulia chalii unapigwa chini huko ....ajira inaota mbawaLema, unatafuta attention for nothing, umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Mkuu fanyia vitu research ndio uje ulisemee hili moja kwa moja, hata aliyeleta mada hana uhakika na ndio mana akasema a maana yake this is still a developing story...kwahiyo alichosema lema na mwenzie kipingwe kwa hoja pia sio kwa provocation ulizotoa. Inawezakuwa lema anabwabwaja yes hatukatai , lakin vipi kama anasema ukweli ? .Lema ataacha lini siasa za TAHARUKI zisizomsaidia?!!!!
Aendelee tu KUBWABWAJA huko UGHAIBUNI.....
Kudai Katina mbowe hajaanza leo.We hujui katiba ni mwiba kwa mama na ccm kwa ujumla???We hujui katiba mpya ina maanisha upinzani kuchukua Dola?we hujui harakati za mwamba za katiba ni mwiba mkali sana?we hujui???!!!
Umebakiza kidogo ujue kwamba hujui. Pole.Lema anavilamba viatu vya Mbowe mwishowe kawa mkimbizi......
Shetani kakutawala mpaka anakuyumbisha, mkemee ili akutoke.Lema ameolewa huko aache kelele
USSR