Ina maana marehemu Mh. Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
 
Enzi zile Mwl. akisena YES who would go against? Muwe mnaelewa historia ya nchi yenu sio kupenda kuvaa vikuku na kata k; daily kuangalia michezo ya kijinga kwa ma-tv na kusikiliza upuuzi kwenye viredio gani sijui! Vijana jitambueni!
 
Enzi zile Mwl. akisena YES who will go against? Muwe mnaelewa historia ya nchi yenu sio kupenda kuvaa vikuku na kata k; daily kuangalia michezo ya kijinga kwa ma-tv na kusikiliza upuuzi kwenye viredio gani sijui! Vijana jitambueni!
Pengine huyu mtoa mada ni graduate wa chuo kikuu lkn ndiyo hivyo kichwani hakuna kitu..
Vijana wa sikuhizi Akili zao ni fupi mno
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Rais hatokani na wabunge na si lazima awe aliwahi kuwa mbunge, shule ya msingi umemaliza lini?
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Kifungu gani cha katiba kinasema rais wa muungano agombee ubunge?
 
Back
Top Bottom