Ina maana Katiba haijafuatwa?

Ina maana Katiba haijafuatwa?

hivi wewe chadema walikufanyaga mbaya gani mbona unawawaza sana?!

umepata anayekufaa tulia sasa achana na chadema
Kumbuka kuwa Mimi ni Chadema pia.
Hapo nimekumbusha kuwa Chadema kupitia katibu mkuu waliingia Chaka kutaka baraza livunjwe
 
Kama waliapa kwenye taasisi ya urais ni kwa nn waziri anapohamishwa Wizara nyingine lazima aape tena kwa Rais huyo huyo?

Hapa waliotunga Katiba hawakuwahi kufikiri hii hali itatokea
Hilo swali limeonyesha wewe ni layman
Waziri anavyoapa anataja wizara anayotumikia, ndio maana akihama wizara anatakiwa kuapa Tena
 
Hilo swali limeonyesha wewe ni layman
Waziri anavyoapa anataja wizara anayotumikia, ndio maana akihama wizara anatakiwa kuapa Tena
Sasa kama anaapa kwa Wizara nyingine, inakuaje asiape kwa Rais mwingine? Kuapa kwa wizara nyingine na Rais mwingine je?
 
Kunitukana mimi kunathibitisha zaidi uelewa mdogo ulio nao. TLS hawana mamlaka ya kutafasiri Katiba, wewe (Layman) wala mimi hatuna mamlaka ya kutafasiri Katiba. Mwenye hiyo mamlaka ni MAHAKAMA KUU tu (Keep this in your head). Moja ya majukumu ya TLS ni kuishauri serikali kwenye mambo mbalimbali ya sheria, hivyo serikali inaweza kufuata huo ushauri au kuacha.

Article 56 of the Constitution of the United Republic of Tanzania says:
"A Minister or a Deputy Minister shall not assume office until he has first taken and subscribed before the President, the oath of allegiance and such other oath relating to the execution of the functions of his office as may be prescribed by an Act of Parliament"

Katiba inasema wanaapa kiapo cha utii (Oath of allegiance) kwa Raisi kama mtu (As a natural person) na siyo Raisi kama taasisi (Not as an Institution). Waziri lazima ale kiapo cha utii kwa Raisi mpya, pamoja na viapo vingine. Nadhani uko na tatizo sehemu.

Article 58 of the Constitution of the United Republic of Tanzania says:
"Ministers and Deputy Ministers shall hold office during the pleasure of the President"

Hapa katiba inamuongelea Raisi (As a natural person) na mawaziri watafanya kazi kwa matakwa yake yeye binafsi na siyo vinginevyo. Hivyo angeamua kusema Baraza la Mawaziri halina uhalali kwasababu hawajaapa kiapo cha utii kuna mtu angepinga ???


Haya maneno machache yamenithibitishia naongea na mtu asiye na ufahamu lakini anajitia ujuaji mwingi.
Katiba yetu imekuwa na mianya mingi tu, na Mahakama Kuu imesaidia sana kutoa tafasiri ili kuiziba. Rejea kesi ya mtikila ya mwaka 1994 kuhusu mgombea binafsi (Independent Candidate). Ilifahamika kabisa kwamba kwenye hili suala Katiba iko kimya (The constitution was silent) hivyo kupelekea wakina Mzee Chenge kwenda kufanya marekebisho ya haraka bungeni wakati kesi iko mahakamani, na kuongezea kifungu kisemacho mgombea wa Uraisi lazima atoke kwenye chama cha siasa. (Sasa wewe kilaza unakomaa hapa kusema Katiba haina kimya)

Haya leta matusi, mengine........

Kubali walifeli jukumu lao

Usiandike utopolo mwingi...kubali uliingizwa chakani, ukaingia ....unayoandika sasa ni maumivu tu
 
Katiba ndio ina mkanganyiko

Ibara ya 51(2), ina mtaka Rais mara baada ya kushika madaraka kumteua PM.

Sasa haijaeleza je kama Rais ameshika Madaraka baada ya Rais aliyepita kufariki.
Inakuwaje.

Katiba ndio ina mkanganyiko.
Katiba ina mkanganyiko na wao wakafuata mkanganyiko pathetic!!
 
Anaogopa kuvunja baraza la mtangulizi wake
Haogopi wala hatoogopa. Keshawaambia hao wanaoota 2025 wanyamaze ila kakosea kidogo kwenye umakamu, wote 2 wachumi. Angalau angeteua waziri aliyebobea katika mambo ya mazingira maana ni muhimu sana. Kuna hili suala la mabadiliko ya climate change ni very important kwa maendeleo ya Taifa lolote duniani. Tabia nchi isipodhibitiwa inasababisha madhara kama ukame, mafuriko, joto kali n.k
 
TLS walipotoka kisheria. Kimsingi halazamiki kuvunja Cabinet/kuteua PM. Ni discretion yake.
Hii tweak aliyoifanya, nadhani ni kuweka heshima na utii kwa Surbodinates wake.. 'hey im your boss now, i can fire you anytime i wish!'.
Siyo kwamba walipotoka, wanaonyesha kuwa ni wanasheria njaa tu. Walikuwa na hoja za kisasa na kiuana harakati kuliko za kisheria.
 
Kunitukana mimi kunathibitisha zaidi uelewa mdogo ulio nao. TLS hawana mamlaka ya kutafasiri Katiba, wewe (Layman) wala mimi hatuna mamlaka ya kutafasiri Katiba. Mwenye hiyo mamlaka ni MAHAKAMA KUU tu (Keep this in your head). Moja ya majukumu ya TLS ni kuishauri serikali kwenye mambo mbalimbali ya sheria, hivyo serikali inaweza kufuata huo ushauri au kuacha.

Article 56 of the Constitution of the United Republic of Tanzania says:
"A Minister or a Deputy Minister shall not assume office until he has first taken and subscribed before the President, the oath of allegiance and such other oath relating to the execution of the functions of his office as may be prescribed by an Act of Parliament"

Katiba inasema wanaapa kiapo cha utii (Oath of allegiance) kwa Raisi kama mtu (As a natural person) na siyo Raisi kama taasisi (Not as an Institution). Waziri lazima ale kiapo cha utii kwa Raisi mpya, pamoja na viapo vingine. Nadhani uko na tatizo sehemu.

Article 58 of the Constitution of the United Republic of Tanzania says:
"Ministers and Deputy Ministers shall hold office during the pleasure of the President"

Hapa katiba inamuongelea Raisi (As a natural person) na mawaziri watafanya kazi kwa matakwa yake yeye binafsi na siyo vinginevyo. Hivyo angeamua kusema Baraza la Mawaziri halina uhalali kwasababu hawajaapa kiapo cha utii kuna mtu angepinga ???


Haya maneno machache yamenithibitishia naongea na mtu asiye na ufahamu lakini anajitia ujuaji mwingi.
Katiba yetu imekuwa na mianya mingi tu, na Mahakama Kuu imesaidia sana kutoa tafasiri ili kuiziba. Rejea kesi ya mtikila ya mwaka 1994 kuhusu mgombea binafsi (Independent Candidate). Ilifahamika kabisa kwamba kwenye hili suala Katiba iko kimya (The constitution was silent) hivyo kupelekea wakina Mzee Chenge kwenda kufanya marekebisho ya haraka bungeni wakati kesi iko mahakamani, na kuongezea kifungu kisemacho mgombea wa Uraisi lazima atoke kwenye chama cha siasa. (Sasa wewe kilaza unakomaa hapa kusema Katiba haina kimya)

Haya leta matusi, mengine........
Haaahaaa Professor Malcolm umemifurahisha sana. Naona unatoa lecture kwa bush lawyer
 
Mimi ni mtu ninayefuata falsafa ya ‘keep it simple’.

Sikuona sababu yoyote ile ya Rais Samia kulivunja baraza lote la mawaziri na kulisuka upya.

Mabadiliko madogo kama aliyoyafanya ni ya kawaida na niliyategemea.

Lakini tuliambiwa na watu mbalimbali kuwa eti baada ya Rais Magufuli kufariki, basi kwa mujibu wa katiba baraza nalo linavunjika na waziri mkuu anakoma kuwa waziri mkuu.

Nilipovisoma hivyo vifungu vya katiba walivyokuwa wanavitumia hao watu kusema kuwa baraza zima lazima livunjwe, sikushawishika hata kidogo.

Huu ni mwendelezo wa serikali ileile aliyoiacha Rais Magufuli.

Mambo ya kuvunja baraza zima ya nini? Just keep it simple na kazi ziendelee. Tweaks za hapa na pale, hizo ni sawa.

Sasa, mbona waziri mkuu anaendelea tu na nafasi yake? Hajateuliwa upya kama walivyokuwa wanadai hao wataalamu wa sheria. Hajaapa tena. Au ameapa upya?

Je, ina maana Mama Samia kaanza utawala wake kwa kuvunja katiba?



Siamini sana kwamba hiyo document iliyotolewa na TLS ilikuwa zao la deliberative process ya baraza la uongozi. Haikuwa na collective wisdom na umahiri wa group. Kichwa kimoja au viwili vilikaa vikaandika hiyo document na kisha kuiita document ya TLS. That’s why some lawyers had to quickly dismiss it.

That legal opinion was an embarrassment to the legal profession!
 
Tena alivyosema serikali yake ni ya awamu ya 6 na anaanza upya ndio naona kachanganya mambo kabisa.
Kama anaanza upya Kama alivyomaanisha na serikali yake mpya ya awamu ya 6 ingetakiwa alivunje Baraza lote la mawaziri awateue upya na kuapa kwake upya.
Kimsingi tuseme amevunja katiba au tunaweza kusema pia katiba yetu Ni mbovu Sana,
 
Hii tweak aliyoifanya, nadhani ni kuweka heshima na utii kwa Surbodinates wake.. 'hey im your boss now, i can fire you anytime i wish!'.
Acha bwana.

Those were substantive changes... siyo 'tweaks' au "kuweka heshima na utii" kama unavyoliweka wewe.
Hao waliobadilishwa wizara ni kwamba walikuwa kwenye wizara wasizozimudu.

Chukulia kama Kabudi; mtu asiyefaa kabisa kwenye wizara ya mambo ya nje. Utauita huo hiyo kuwa ni ku'tweak', au kuweka heshima na utii?

Hali ni hiyo hiyo hata kwenye hizo wizara nyingine.
 
Mkuu hao ndugu zetu hujawazoea tu??
Hasa hasa mpuuzi Tundu Lissu au Tototundu lazima uwe umemzoea kwa kukurupuka, kubwabwaja na kuzusha. Huwa michadema inajifanya inajua hata idadi ya mende chini ya kitanda cha kila Mtanzania
 
Naona mama anaendeleza Yale ya mwenda zake, katiba inafuatwa kwa Yale maeneo wayapendao wao.

Screenshot_20210401-044015.png
 
Wewe ndo umeingia Chaka mkuu, katiba iko wazi kabisa, Wala huhitaji kuwa na degree ya sheria
Kumbuka kuwa Mimi ni Chadema pia.
Hapo nimekumbusha kuwa Chadema kupitia katibu mkuu waliingia Chaka kutaka baraza livunjwe

Screenshot_20210401-044015.png
 
Binafsi wamefanya makosa yanayotokana na kukosea katika kudhania (false assumptions). Wao katika kumuacha Rais aendelee na baraza lile la Magufuli wamedhania kuwa Katiba inatofautisha Rais anayeshika madaraka kufuatia uchaguzi na Rais anayeshika madaraka kufuatia kuondoka kwa mtangulizi wake kwa sababu za kikatiba (kujiuzulu, kifo au impeachment). Kwamba, Rais anayeshinda uchaguzi anafuata utaratibu huu akiingia madarakani na anayeingia kufuatia hizo sababu nyingine anafuata utaratibu mwingine. Binafsi siamini huku ni kudhania kwa usahihi. Utaratibu wetu tangu zamani ni kuwa siku Rais mpya anapoapa tu Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri linakuwa limevunjika. Siku WAziri Mkuu akijiuzulu au Rais akimtengua na Baraza linaondoka (kama ilivyotokea kwa Lowassa).

Ni kosa pia limetokana na kuwa hatujawahi kupitia njia hii; ya Rais kufa akiwa madarakani.
 
Back
Top Bottom