Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,536
- 14,793
Ni wagumu kuwazoea lakini, maana wapo kama maji; mara baridi, mara moto!Mkuu hao ndugu zetu hujawazoea tu??
Ni wagumu kuwazoea lakini, maana wapo kama maji; mara baridi, mara moto!Mkuu hao ndugu zetu hujawazoea tu??
wewe sio chadema ila ulikuwa chadema, acha kujipendekeza!.Kumbuka kuwa Mimi ni Chadema pia.
Hapo nimekumbusha kuwa Chadema kupitia katibu mkuu waliingia Chaka kutaka baraza livunjwe
TLS imedharaulika Sana kwa hili!! Kiburi hakitawaruhusu kutengeneza kwa kuomba radhi!! Buriani TLS!!TLS walipotoka, kwa bahati mbaya kabisa wafuasi na chadema wakalibeba Kama ilivyo wakatoa waraka kupitia katibu mkuu kuwa mama Samia anatakiwa kulivunja baraza la mawaziri
Nakumbuka siku ile humu makamanda yalijitoa akili, Ila Sasa hivi yapo kimya hata hayazungumzii tena kuvunjwa Baraza.
![]()
TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14
Mnamo tarehe 19 Machi 2021, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, aliapishwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, kufuatia kifo cha Raisi Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kuapishwa kwake kunaibua suala la msingi la kikatiba juu ya...www.jamiiforums.com
Uko sahihi, alifanya makusudi kufanya tu remix, iliwengine waone kumbe she is a Captain of our vessel........then pia siyo mbaya kuwaweka watu kwenye taaluma zaoTLS walipotoka kisheria. Kimsingi halazamiki kuvunja Cabinet/kuteua PM. Ni discretion yake.
Hii tweak aliyoifanya, nadhani ni kuweka heshima na utii kwa Surbodinates wake.. 'hey im your boss now, i can fire you anytime i wish!'.
Katiba ndio ina mkanganyiko
Ibara ya 51(2), ina mtaka Rais mara baada ya kushika madaraka kumteua PM.
Sasa haijaeleza je kama Rais ameshika Madaraka baada ya Rais aliyepita kufariki.
Inakuwaje.
Katiba ndio ina mkanganyiko.
Wanatia aibu sanaNilisema mimi hapa kwamba hao TLS hawajui chochote
Kwani Waziri Mkuu aliapa kwa Rais au aliapa kwa Magufuli? Na akiapa upya ataapa kwa Rais au ataapa kwa Samia? Na je Magufuli alikuwa Rais halali? Na je Samia ni Rais Halali?Mimi ni mtu ninayefuata falsafa ya ‘keep it simple’.
Sikuona sababu yoyote ile ya Rais Samia kulivunja baraza lote la mawaziri na kulisuka upya.
Mabadiliko madogo kama aliyoyafanya ni ya kawaida na niliyategemea.
Lakini tuliambiwa na watu mbalimbali kuwa eti baada ya Rais Magufuli kufariki, basi kwa mujibu wa katiba baraza nalo linavunjika na waziri mkuu anakoma kuwa waziri mkuu.
Nilipovisoma hivyo vifungu vya katiba walivyokuwa wanavitumia hao watu kusema kuwa baraza zima lazima livunjwe, sikushawishika hata kidogo.
Huu ni mwendelezo wa serikali ileile aliyoiacha Rais Magufuli.
Mambo ya kuvunja baraza zima ya nini? Just keep it simple na kazi ziendelee. Tweaks za hapa na pale, hizo ni sawa.
Sasa, mbona waziri mkuu anaendelea tu na nafasi yake? Hajateuliwa upya kama walivyokuwa wanadai hao wataalamu wa sheria. Hajaapa tena. Au ameapa upya?
Je, ina maana Mama Samia kaanza utawala wake kwa kuvunja katiba?
Mkuu kwanini kuwe na ukimya kwanza?Siku zote ni lazima kuwe na ukimya kwanza ili sheria itungwe kutatua tatizo.
Always remember this: Society changes faster than the law.
Binafsi wamefanya makosa yanayotokana na kukosea katika kudhania (false assumptions). Wao katika kumuacha Rais aendelee na baraza lile la Magufuli wamedhania kuwa Katiba inatofautisha Rais anayeshika madaraka kufuatia uchaguzi na Rais anayeshika madaraka kufuatia kuondoka kwa mtangulizi wake kwa sababu za kikatiba (kujiuzulu, kifo au impeachment). Kwamba, Rais anayeshinda uchaguzi anafuata utaratibu huu akiingia madarakani na anayeingia kufuatia hizo sababu nyingine anafuata utaratibu mwingine. Binafsi siamini huku ni kudhania kwa usahihi. Utaratibu wetu tangu zamani ni kuwa siku Rais mpya anapoapa tu Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri linakuwa limevunjika. Siku WAziri Mkuu akijiuzulu au Rais akimtengua na Baraza linaondoka (kama ilivyotokea kwa Lowassa).
Ni kosa pia limetokana na kuwa hatujawahi kupitia njia hii; ya Rais kufa akiwa madarakani.
Hata ulichoongeaa unakijua kweli?Opinion ya TLS ilikua sahihi.
Samia hajavunja katiba ana discretion ya kuendelea na aliowakuta au ateue wapya.
Ila sasa kuna Lacunae kwa maana kwamba hakuna Ibara inayotoa utaratibu wa mazingira ya kinachopaswa kufanyika kama akiopt kuendelea nao, wala hakuna sheria iliyotoa muongozo katika hilo pia.
Mkuu uko sahihi Sana...kosa limetendeka na mbaya zaidi Ag ndo anaendeleza kumdanganya raisBinafsi wamefanya makosa yanayotokana na kukosea katika kudhania (false assumptions). Wao katika kumuacha Rais aendelee na baraza lile la Magufuli wamedhania kuwa Katiba inatofautisha Rais anayeshika madaraka kufuatia uchaguzi na Rais anayeshika madaraka kufuatia kuondoka kwa mtangulizi wake kwa sababu za kikatiba (kujiuzulu, kifo au impeachment). Kwamba, Rais anayeshinda uchaguzi anafuata utaratibu huu akiingia madarakani na anayeingia kufuatia hizo sababu nyingine anafuata utaratibu mwingine. Binafsi siamini huku ni kudhania kwa usahihi. Utaratibu wetu tangu zamani ni kuwa siku Rais mpya anapoapa tu Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri linakuwa limevunjika. Siku WAziri Mkuu akijiuzulu au Rais akimtengua na Baraza linaondoka (kama ilivyotokea kwa Lowassa).
Ni kosa pia limetokana na kuwa hatujawahi kupitia njia hii; ya Rais kufa akiwa madarakani.
Umeelewa kweli? Kwa mujibu wa TLS wanasema raisi alitakiwa kuvunja baraza ndani ya wiki mbili tokea kuapishwa kwake.Jipe muda,, unaeza kuta akaapishwa Waziri mkuu mpya siku za usoni
Haahaa tatizo kamuacha kinyume na katiba.Hata angependa kumrudisha alipaswa kumteua Tena, huo ndo ukweliHata hivyo waziri mkuu kamshukuru Rais kwa kuendelea kumuacha kwenye hiyo nafasi...
Anapiga beat Yaani anauma na kupulizaHaogopi wala hatoogopa. Keshawaambia hao wanaoota 2025 wanyamaze ila kakosea kidogo kwenye umakamu, wote 2 wachumi. Angalau angeteua waziri aliyebobea katika mambo ya mazingira maana ni muhimu sana. Kuna hili suala la mabadiliko ya climate change ni very important kwa maendeleo ya Taifa lolote duniani. Tabia nchi isipodhibitiwa inasababisha madhara kama ukame, mafuriko, joto kali n.k
Wewe una elimu ya sheria??Hata ulichoongeaa unakijua kweli?
TLS walitoa waraka wakitaka raisi avunje Baraza kwa kujibu wa katiba inavyosema, raisi hajavunja baraza, ndio mleta uzi akasema kutokana na baraza kutovunjwa je Samia kavunja katiba?
Mkuu kitu ambacho lazima tukifahamu ni kwamba jamii siku zote huwa inbadilika kwa haraka kuliko sheria. Sheria kazi yake ni kuja kusaidia kurekebisha matatizo ya kijamii ambayo tayari yameshatokea. Hivyo baada ya hili tatizo tutegemee kuona miongozo na kanuni mbalimbali zikitengenezwa ili kulikabili vizuri endapo litatokea tena. Hii ndiyo mara ya kwanza JMT imekutana na kifo cha Raisi aliyeko madarakani.Mkuu kwanini kuwe na ukimya kwanza?
Bunge la JMT lilianza kufanya kazi mwaka gani?
Kwa miaka yote hiyo lukuki tangu Bunge lianze kufanya kazi, ni kwanini hawakwenda deep na kuona kwamba Kuna haja ya kuweka vizuri vifungu vya Katiba ya JMT katika suala ambalo litahusu nini hatima ya Baraza la Mawaziri endapo rais atafariki akiwa madarakani?
Binafsi wamefanya makosa yanayotokana na kukosea katika kudhania (false assumptions). Wao katika kumuacha Rais aendelee na baraza lile la Magufuli wamedhania kuwa Katiba inatofautisha Rais anayeshika madaraka kufuatia uchaguzi na Rais anayeshika madaraka kufuatia kuondoka kwa mtangulizi wake kwa sababu za kikatiba (kujiuzulu, kifo au impeachment). Kwamba, Rais anayeshinda uchaguzi anafuata utaratibu huu akiingia madarakani na anayeingia kufuatia hizo sababu nyingine anafuata utaratibu mwingine. Binafsi siamini huku ni kudhania kwa usahihi. Utaratibu wetu tangu zamani ni kuwa siku Rais mpya anapoapa tu Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri linakuwa limevunjika. Siku WAziri Mkuu akijiuzulu au Rais akimtengua na Baraza linaondoka (kama ilivyotokea kwa Lowassa).
Ni kosa pia limetokana na kuwa hatujawahi kupitia njia hii; ya Rais kufa akiwa madarakani.