Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
- Thread starter
- #101
Wallah kipenda roho hula nyama mbichi....mzee Makani baada ya kumuaga mjukuu wake aliishiwa nguvu na kudondoka na kubebwa na akina zitto lakini alipopuliza fegi akapata nguvu na kuamka
Kama ulikuwepo mkuu tukio lenyewe lilikuwa hivi....