Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Aiseee!
Ulimwengu ni shujaa!...amini usiamini!
Ardhi imemeza wengi sana jamani.
Aiseee!
Ulimwengu ni shujaa!...amini usiamini!
Mkuu,Nashukuru wazo langu limepewa uzito kwenye T-shirts
https://www.jamiiforums.com/complai...-gani-ya-regia-tutumie-kwenye-t-shirts-2.html
Mkuu,
Limekuwa wazo lako tena, na si Kauli ya Rejia?
Usimpore Regia sifa yake bana!...ni mapema mno kuanza kumdhulumu!
Watu maarufu na vioongozi kama kama kina Mrema, Mnyika, Chenge, Ritha Mlaki, Bob Makani (ambaye aliishiwa nguvu baada ya kuaga), Mengi, Kigoda, Mwenyekiti wa NCCR Mh. Mbatia , Kafulila na wengine wengi walikuwepo kumuaga mpendwa wetu....
mkuu anamaanisha katoa io idea jaman au?Mkuu,
Limekuwa wazo lako tena, na si Kauli ya Rejia?
Usimpore Regia sifa yake bana!...ni mapema mno kuanza kumdhulumu!
Ndo kama ulivyomsoma kwenye post yake!...mkuu anamaanisha katoa io idea jaman au?
Ndo kama ulivyomsoma kwenye post yake!...
Buriani dada yetu
Nipo pamoja na wewe.....ukilia nitakufuta machozi, ukiaanguka nitakuinua!daaaahkweli ni huzuni i cant take this anymore members.................................
Hivi viredio vyetu na V Tv havina muelekeo vinadunda muziki tu.