In Dar with @slave ......

Usisahau kumshika mkono kila mnapovuka barabara,,,,,,,, halafu mwambie asije akaenda kwa watu asubuhi asubuhi na mswaki mdomoni kusalimia majirani maana ndio tabia yake hiyo!!!!!!!!!!
 
Usisahau kumshika mkono kila mnapovuka barabara,,,,,,,, halafu mwambie asije akaenda kwa watu asubuhi asubuhi na mswaki mdomoni kusalimia majirani maana ndio tabia yake hiyo!!!!!!!!!!

Hahahaaaaa...!!! ananisumbua huyo..., akiwa anavuka barabara anashika Makobazi yake mikononi... Afu kila ghorofa analiita Bugando... nimemnunulia vocha ya simu kaiingiza na karatasi lake kwenye simu... msukuma kaja mjini, namsubiri charminglady nae aje nimuone...
 
Last edited by a moderator:
Usisahau kumshika mkono kila mnapovuka barabara,,,,,,,, halafu mwambie asije akaenda kwa watu asubuhi asubuhi na mswaki mdomoni kusalimia majirani maana ndio tabia yake hiyo!!!!!!!!!!

AtIiii.........??????

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wanamsafisha mgeni wao tongotongo.
Btw washauri wasianze kumpa bear kabla hajaweza kurudi hom peke yake, toka pande wanazompeleka.

Aaah ustaadhi hagusi bia bwana..... wacha kabisa yaani ni bambam...
 
kuwa uyaone jamani,maajabu ya dar nyumba za vyuma zinajengwa ktk ya barabara, Dr.zero nakushukuru sana kwa kunitambua ujue yule mzee Baba V alinitoroka akaniacha kwenye mataa
 
Last edited by a moderator:
weeeeeeeeeeeeeeeee? aje ili iweje? tena safari hii nitakuwa nakuja nae na kuondoka nae
 

hahahaaa kazi unayo nakwambia, halafu jiandaeni kumsongea ugali wa nondo la sivyo utamtesa......!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
wewe Lady doctor usiniguse utaniambukiza ushamba wako. Mie siongei na washamba nipo dar
 
Last edited by a moderator:
Kakangu mtumwa nimekumiss. Siku hizi unanitenga, usisahau hatupewi nafasi ya kuchagua familia. Nakupenda automatikale. Angalia kina Madame B wasikutapeli.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…