IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

IMF wathibitisha, Serikali imeishiwa!

Ndugu Soby,

Hii sasa ndio inaitwa siasa katika uchumi labda nikuulize maswali.

a. Maendeleo gani yatakuja kwa kuwa na asilimia kubwa fedha za kigeni ? Wapi tutapata hizo fedha za kigeni?

b. Tuassume wewe uko sahihi tuendeleee kuwalipa wafanyakazi mishahara minono. Je hiyo mishahara itakuwa na manufaa ikiwa thamani ya shillingi inaporomoka na vile vile gharama za maisha kuongezeka kila siku?

c. Maprofessa na wataalamu wa uchumi nchini ni muhimu zaidi kwasababu wanafahamu hali halisi ya uchumi ila nimesema iwe team inaweza pia kujumuisha watu wa nje kama wa nchini wamekosekana.

d. How can we reduce our oil consumption wakati sisi ni emerging economies? Unajua gharama za kutumia mitambo isiyotumia mafuta? Unafikiri tunaweza kuafford them?

Hebu fafanua zaidi maana in short hizi naziona ni siasa.
Ndugu Mdondoaji,
a. Fedha za kigeni ndiyo hununua mitambo, hujenga infrastructure, ndizo huboresha elimu yetu kwa kununua vifaa bora vya elimu kama vile vitabu, labs etc... vitu vingi ambavyo ni muhimu kwa maendeleo hupatikana kwa kutumia fedha za kigeni, kwa sababu sisi hatutengenezi machineries, wala hatuna oil.
Kwa hiyo Agriculture, Tourism and services eg. our ports, minerals can bring a lot of forex if we really get serious. We have the potential.
b. At the same time, ukiwa una export more than importing fedha yako iko likely kuwa very stable, so the salaries siyo kitu kinachoturudisha nyuma, mabbe the distribution or minimization of income gap through posho.
c. Wataalam ni poa, ila watu huwa tuna complicate sana uchumi, like we need a professor to be our president, no!... It's about dedication and listening to everyday people like us. But wataalam if carefully chosen, they won't hurt.
d. We are the second innefficient nation in the word after Uzbekstan when it comes to Energy. we use twice as much oil per dollar of GDP compared to Kenya. Lets say if we had the same coefficient as Kenya for example, our oil that we import could've produced or support twice as much GDP (ALMOST 45BIL$) with the same amount of oil imports.
Lets stop using cars unneccessarily and start using public transportation in big cities, let's regulate the quality of our public transportation, let's encourage the use of coal, extensively by mining our own, let's use gas extensively, let's increase our productivity. Let's have Insurance to cover our roads maintance,lets modernise our house appliances...save and take care of our forests and water sources so we can have a reliable HEP.
etc...etc...etc
 
Revenue collection is increasing, actually in a very good pace. But it's the value of Shilling that is decreasing faster than the revenue. Im not really interested in Shillings. It's the forex that is killing us.

Mkuu badala ya kusema tuu "revenue collection is increasing, actually in very a good pace", si utupe data ku-justify unachosema? Just in March this year, boss wa TRA alisema TRA in collaboration with the government was working hard to ensure that tax exemption issue is controlled by closely dealing with some customers who abuses the relief for their own interests. From March to date unaweza kuniambia ni collaboration gani tayari is in place kati ya TRA na serikali as far as the tax exemption is concerned ili kuongeza revenue?

Ninachosoma ni kwamba Tanzania may introduce what is referred to as "super profit tax" on mineral increase revenue. African Barrick responded immediately that its mines in Tanzania are subject to Mineral Development Agreements that guarantee tax and "fiscal stabilization" for projects. That the accords can't be amended without the company's approval. AngloGold said its Geita mine in Tanzania won't be affected because an existing arrangement is valid for the life of the mine. Yaani watakomba dhahabu yote pale, wakimaliza wanaanza na kutuachia mashimo.

Kama Zitto alivyosema, the government proposal of "super profit tax" is not only vague, irresponsible and sends the wrong signal to investors but also it doesn't appear as a source of funding even in next fiscal year's tax measures.
 
Kwa ufupi nyie wote ni walalamikaji, hakuna solution zaidi ya kubana matumizi. Kubana matumizi ndiyo umasikini wenyewe.
Kuhusu data zinavyoonyesha.... I think hatuna tofauti na third world contries nyingi tu. The global economy itself as a whole is messed - up. Mkapa alikuwa hakusanyi kodi nyingi kuliko kikwete, so was Nyerere and Mwinyi, ila nadhani ushabiki ndio umetuzidi.

Pamoja na ushabiki, kuna tatizo lingine la msingi......humu ndani, wengi wetu sio critical and analytical thinker bali ni political thinkers!!! Economic data zinahitaji critical and reasonable thinking na ndio maana unakuta mkuu EMT anabisha kwamba makusanyo hayaongezeki huku data alizo-quote zinaonesha kuna ongezeko!!!!! Tuliosoma A-Level mwishoni mwa miaka ya 1990 na early 2000's, watakumbuka kwamba ilikuwa ni NADRA sana, tena sana mtu kukuta amepata A or B ya Economics A-Level. Ilikuwa hata ukipata C, basi fahamu utakuwa upo kwenye 10 best students TZ !!!!! The reason behind, kulikuwa na paper 2 wakati ule(am not sure abt cku hizi). Paper I ni paper ambayo ilihitaji tu kusoma madaftari na kukariri na Paper II ilikuwa ni paper iliyohitaji zaidi critical and reasonable thinking kuliko kusoma madaftari. Kwa critical and reasonable thinker, angeweza kufanya na kufaulu Paper II hata bila ya kusoma lakini paper I ilikuwa ni lazima usome!!! More often than not, watu walikuwa wanababua sana (na kupata hata A) kwenye Paper I; lakini ilipokuja Paper II, A zote zingeweza kuwa dropped to C, or even D!!!! Economics, is all about critical and reasonable thinking, otherwise tutaishia ku-define economy in political persepectives ambazo most likely zinakuwa biased!! Lipumba, ni among the Greatest Economist in the country, lakini unatakiwa kuangalia jukwaa analotumia pale anapozungumzia masuala ya uchumi! Is it political or academic/proffesional platform!!! Atakapokuwa kwenye political platform lazima atakuwa bias as compared to professional platform.
 
Pamoja na ushabiki, kuna tatizo lingine la msingi......humu ndani, wengi wetu sio critical and analytical thinker bali ni political thinkers!!! Economic data zinahitaji critical and reasonable thinking na ndio maana unakuta mkuu EMT anabisha kwamba makusanyo hayaongezeki huku data alizo-quote zinaonesha kuna ongezeko!!!!! Tuliosoma A-Level mwishoni mwa miaka ya 1990 na early 2000's, watakumbuka kwamba ilikuwa ni NADRA sana, tena sana mtu kukuta amepata A or B ya Economics A-Level. Ilikuwa hata ukipata C, basi fahamu utakuwa upo kwenye 10 best students TZ !!!!! The reason behind, kulikuwa na paper 2 wakati ule(am not sure abt cku hizi). Paper I ni paper ambayo ilihitaji tu kusoma madaftari na kukariri na Paper II ilikuwa ni paper iliyohitaji zaidi critical and reasonable thinking kuliko kusoma madaftari. Kwa critical and reasonable thinker, angeweza kufanya na kufaulu Paper II hata bila ya kusoma lakini paper I ilikuwa ni lazima usome!!! More often than not, watu walikuwa wanababua sana (na kupata hata A) kwenye Paper I; lakini ilipokuja Paper II, A zote zingeweza kuwa dropped to C, or even D!!!! Economics, is all about critical and reasonable thinking, otherwise tutaishia ku-define economy in political persepectives ambazo most likely zinakuwa biased!! Lipumba, ni among the Greatest Economist in the country, lakini unatakiwa kuangalia jukwaa analotumia pale anapozungumzia masuala ya uchumi! Is it political or academic/proffesional platform!!! Atakapokuwa kwenye political platform lazima atakuwa bias as compared to professional platform.
Nadhani in this case politics determine the policies ambazo zinaaffect uchumi mzima wa nchi. Mwaswala ya uchumi wa taifa hayawezi kuzungumziwa theoriticaly bila kuyahusisha na siasa, tena zaidi maswala yenye kuhusu policies. Hivo mimi naona ni jukwaa husika.
 
Wachumi wetu mko wapi?mbona mambo yanazidi kuwa magumu kwa walalahoi.Haya ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania ?

wasomi wa tanzania-wachumi hawana nafasi, maamuzi yote ni ya kisiasa tu bila kupata ushauri wa kuaalamu
 
Mkuu badala ya kusema tuu "revenue collection is increasing, actually in very a good pace", si utupe data ku-justify unachosema? Just in March this year, boss wa TRA alisema TRA in collaboration with the government was working hard to ensure that tax exemption issue is controlled by closely dealing with some customers who abuses the relief for their own interests. From March to date unaweza kuniambia ni collaboration gani tayari is in place kati ya TRA na serikali as far as the tax exemption is concerned ili kuongeza revenue?

Ninachosoma ni kwamba Tanzania may introduce what is referred to as "super profit tax" on mineral increase revenue. African Barrick responded immediately that its mines in Tanzania are subject to Mineral Development Agreements that guarantee tax and "fiscal stabilization" for projects. That the accords can't be amended without the company's approval. AngloGold said its Geita mine in Tanzania won't be affected because an existing arrangement is valid for the life of the mine. Yaani watakomba dhahabu yote pale, wakimaliza wanaanza na kutuachia mashimo.

Kama Zitto alivyosema, the government proposal of "super profit tax" is not only vague, irresponsible and sends the wrong signal to investors but also it doesn't appear as a source of funding even in next fiscal year's tax measures.

EconStats : Tanzania | IMF World Economic Outlook

Kuna indicators nyingi mno!... but scroll down to Government revenue, itakuonyesha from 1991 to 2009, pia naomba ujaribu ku scroll to the right ili uone figures za miaka hiyo.
R0ughly we went from 0.2 trillion in 1991 to about 5trillion in 2009.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
In 2010/2011 makusanyo ya serikali(domestic revenue) yalikuwa makubwa (8.3 Trillion) wakati bajeti was only 11.6 Trillion......


Mkuu sijakuwelewa au labda macho yangu yamechoka. According to taarifa ya Mr Luoga (TRA deputy Commissioner) ya March 2011, inasema the July-February 2010/11 tax collection was equal to 67 per cent of the annual target of Sh 5.652 trillion. Ukiangalia hapo, ilikuwa imebakia miezi minne tuu mwaka wa fedha uishe. Anasema, the highest monthly collection was recorded in December 2010 (which is understandable), when TRA managed for the first time to collect Sh 572.3 billion. Ina maana from March to June 2011, TRA waliweza kukusanya zaidi ya sh 2.6 trillion? Kwamba by February 2011 walikuwa tayari wameshafikia target yao? If so, why that collection was equal to 67% of the annual target of Sh 5.652 trillion? Please nisahihishe kama nimekosea somewhere.
 
Ningependa kukushukuru kwa kuelimisha huyo bwana,ila nadhani nimpe mwanga zaidi

Kama nchi inapata fedha za kigeni kwa kufanya mauzo nje ya nchi, ambapo kama tanzania tungeamua kuuza dhahabu na madini mengine kupitia Central bank, kwa maana mauzo yafanyike Tanzania na malipo yafanyike hapa hapa tanzania kwa maana ya benk zilizopo nchini, ina maana katika mzunguko wa fedha za kigeni zingekuwa nyingi na thamani ya Shilling yetu isingeporomoja... na kwa kuwa mahitaji mengi ya watanzania kwa sasa tunanunua nje ya nchi, ni lazina tuwe na fedha za kikeni kikidhi hayo manunuzi yetu ya nje....Kupolomoka kwa shiling sasa ni kwamba mahitaji ya dola ni mengi
kuliko pesa iliyo katika mzunguko

Katika kukokotoa exchange rate, unatakiwa kujua interest rate pamoja na inflation. hivyo basi kwa mahusiano haya, kama kimoja kitapanda au kushuka kitakuwa na madhara kwa element nyingine, sasa hapa kokotoa mwenyewe

Ndugu Mdondoaji,
a. Fedha za kigeni ndiyo hununua mitambo, hujenga infrastructure, ndizo huboresha elimu yetu kwa kununua vifaa bora vya elimu kama vile vitabu, labs etc... vitu vingi ambavyo ni muhimu kwa maendeleo hupatikana kwa kutumia fedha za kigeni, kwa sababu sisi hatutengenezi machineries, wala hatuna oil.
Kwa hiyo Agriculture, Tourism and services eg. our ports, minerals can bring a lot of forex if we really get serious. We have the potential.
b. At the same time, ukiwa una export more than importing fedha yako iko likely kuwa very stable, so the salaries siyo kitu kinachoturudisha nyuma, mabbe the distribution or minimization of income gap through posho.
c. Wataalam ni poa, ila watu huwa tuna complicate sana uchumi, like we need a professor to be our president, no!... It's about dedication and listening to everyday people like us. But wataalam if carefully chosen, they won't hurt.
d. We are the second innefficient nation in the word after Uzbekstan when it comes to Energy. we use twice as much oil per dollar of GDP compared to Kenya. Lets say if we had the same coefficient as Kenya for example, our oil that we import could've produced or support twice as much GDP (ALMOST 45BIL$) with the same amount of oil imports.
Lets stop using cars unneccessarily and start using public transportation in big cities, let's regulate the quality of our public transportation, let's encourage the use of coal, extensively by mining our own, let's use gas extensively, let's increase our productivity. Let's have Insurance to cover our roads maintance,lets modernise our house appliances...save and take care of our forests and water sources so we can have a reliable HEP.
etc...etc...etc
 
[/SIZE]Mkuu sijakuwelewa au labda macho yangu yamechoka. According to taarifa ya Mr Luoga (TRA deputy Commissioner) ya March 2011, inasema the July-February 2010/11 tax collection was equal to 67 per cent of the annual target of Sh 5.652 trillion. Ukiangalia hapo, ilikuwa imebakia miezi minne tuu mwaka wa fedha uishe. Anasema, the highest monthly collection was recorded in December 2010 (which is understandable), when TRA managed for the first time to collect Sh 572.3 billion. Ina maana from March to June 2011, TRA waliweza kukusanya zaidi ya sh 2.6 trillion? Kwamba by February 2011 walikuwa tayari wameshafikia target yao? If so, why that collection was equal to 67% of the annual target of Sh 5.652 trillion? Please nisahihishe kama nimekosea somewhere.

hayo ndio wanayosema wanasiasa, lakini ukweli halizi unajulikana.Watu wengi hatuna utaratibu wa kutunza kumbukumbu, ndio maana wakisema leo hivi kesho wakija kivingine tunakuwa tulikwisha sahau
 
Unakopa ili katika matumizi ya bajeti yako ya trilioni 13.5, over 8 trillioni goes to posho na mishahara and the rest ndio kwenye shughuli za maendeleo ya walipa kodi? Come on now. Angalia Marekani wanapokopa wanafanya nini na matumizi yao. Kukopa kwa serikali yoyote sio tatizo, unakopa kwenda kufanyia nini? na unachokifanya kitasaidia kuweza rudisha mkopo au atleast punguza mkopo in the future parallel to lifting the rural mass?

Kaka hao wamezoa kukopa ili kununua khanga, wao neno kukopa ndio walilolielewa hapo.

Mbaya zaidi ina tia aibu kuwa hatuna watu wanajuwa lolote la kufanya ndani ya serikali yetu kuanzia Juu utosini hadi chini unyayoni.
 
EconStats : Tanzania | IMF World Economic Outlook

Kuna indicators nyingi mno!... but scroll down to Government revenue, itakuonyesha from 1991 to 2009, pia naomba ujaribu ku scroll to the right ili uone figures za miaka hiyo.
R0ughly we went from 0.2 trillion in 1991 to about 5trillion in 2009.

Mkuu that is interesting b'se kwa mujibu wa TRA wanasema they collected only Sh 4.051 trillion in 2008/09 against its targeted Sh 4.497 trillion and 2009/10 TRA performance dropped from the targeted Sh 4.855 trillion to Sh 4.437 trillion. Hizi 5 trillion, IMF wamezipata wapi?
 
Mkuu that is interesting b'se kwa mujibu wa TRA wanasema they collected only Sh 4.051 trillion in 2008/09 against its targeted Sh 4.497 trillion and 2009/10 TRA performance dropped from the targeted Sh 4.855 trillion to Sh 4.437 trillion. Hizi 5 trillion, IMF wamezipata wapi?
Government revenue is mainly but not only taxes. Kuna income zingine huwa zinapatikana kutokana na interests za akiba ya serikali...etc, I expect you to know that.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nimesikiliza taarifa ya saa 2 TBC 1, maafisa wa IMF walikuwa na mazungumzo na maafisa wa BOT wakatangaza kwamba serikali imeishiwa.

Mapato ya ndani ukichanganya na fedha za nje ni ndogo kuliko matumizi. Kwa hiyo serikali imelazimika kukopa benki za ndani hivyo kuwanyima waekezaji fedha kutoka mabenki.


Chadema walipokuwa wanasema tuondoe posho na kupunguza safari waliona mbali, sasa serikali inatumia tu mara Australia wanaenda msafara wa watu 80 wakati nchi haina pesa,

Safari tu za Bagamoyo haziishi - usiku na mchana jamani, duh! F**k o*f
 
Pamoja na ushabiki, kuna tatizo lingine la msingi......humu ndani, wengi wetu sio critical and analytical thinker bali ni political thinkers!!! Economic data zinahitaji critical and reasonable thinking na ndio maana unakuta mkuu EMT anabisha kwamba makusanyo hayaongezeki huku data alizo-quote zinaonesha kuna ongezeko!!!!! Tuliosoma A-Level mwishoni mwa miaka ya 1990 na early 2000's, watakumbuka kwamba ilikuwa ni NADRA sana, tena sana mtu kukuta amepata A or B ya Economics A-Level. Ilikuwa hata ukipata C, basi fahamu utakuwa upo kwenye 10 best students TZ !!!!! The reason behind, kulikuwa na paper 2 wakati ule(am not sure abt cku hizi). Paper I ni paper ambayo ilihitaji tu kusoma madaftari na kukariri na Paper II ilikuwa ni paper iliyohitaji zaidi critical and reasonable thinking kuliko kusoma madaftari. Kwa critical and reasonable thinker, angeweza kufanya na kufaulu Paper II hata bila ya kusoma lakini paper I ilikuwa ni lazima usome!!! More often than not, watu walikuwa wanababua sana (na kupata hata A) kwenye Paper I; lakini ilipokuja Paper II, A zote zingeweza kuwa dropped to C, or even D!!!! Economics, is all about critical and reasonable thinking, otherwise tutaishia ku-define economy in political persepectives ambazo most likely zinakuwa biased!! Lipumba, ni among the Greatest Economist in the country, lakini unatakiwa kuangalia jukwaa analotumia pale anapozungumzia masuala ya uchumi! Is it political or academic/proffesional platform!!! Atakapokuwa kwenye political platform lazima atakuwa bias as compared to professional platform.

Mkuu hapo kwenye red, post yangu ilinukuliwa nusu. This was my full post. Compare paragraph ya pili na ya tatu. Kwenye paragraph ya pili inaonyesha wazi kuwa walikuwa wana meet target na hata kuzidi. Paragraph ya tatu inaonyesha kuwa collection zilipungua na kuanza kushindwa kufikia hata target waliojiwekea. Na hizo data alitoa bosi wa TRA mwenyewe.

Mkuu njoo na data sio unaandika tuu ili mradi. How can you spend more than what you're earning? The fact kuwa hatuna tofauti na other third word countries basi tusifanye chochote? Hata hii global crisis ni excuse tuu. It has not hit us the most. Africa's banks are less exposed to toxic debts than their counterparts in developed countries. Ukweli ni kwamba we're spending more than what we are earning. Tanzania is Africa's third-largest gold-producing country after South Africa and Ghana, but how much are we getting from this? Mkuu we're giving too much tax exemptions. Sikubaliani na wewe kuwa serikali ya Kikwete imekuwa inakusanya kodi zaidi ya ile ya Mkapa unless uje na figure.

Mkuu kama serikali inashindwa hata kufikia target ya makusanyo kodi iliyoset yenyewe, then hapo kuna tatizo. Kabla ya haya mambo ya tax exemptions kuanzishwa mwaka 1997, TRA ilikuwa ina-exceed its annual revenue collection targets. Kwa mfano, target revenue collection kwa mwaka wa fedha 2005/06 ilikuwa ni Sh 1.997 trillion in 2005/06 na walifanikiwa kukusanya Sh 2.040 trillion, which was 102% performance. Mwaka 2006/07 target ilikuwa Sh2.284 trillion na wakafanikiwa kukusanya Sh 2.512 trillion, which was 110 per cent of performance. Mwaka 2007/2008, target ilikuwa Sh 3.333 trillion na wakakusanya Sh 3.378 trillion.

Lakini serikali ilivyoanza ku-implement tax exemptions, mwaka 2008/9 TRA ilikusanya Sh 4.051 trillion against its targeted Sh 4.497 trillion. Hii ilijirudia tena mwaka 2009/10 ambapo makusanyo ya kodi dropped from the targeted Sh 4.855 trillion to Sh 4.437 trillion. Between July 2010 and February 2011, TRA collected Sh 3.391 trillion of its targeted Sh 3.686 trillion-revenue collection. Halafu unasuggest tusibane matumizi; tuendeleee kupeana posho tuu. If you want to spend, you must maximize your income na sio kukopa.
 
Unakopa ili katika matumizi ya bajeti yako ya trilioni 13.5, over 8 trillioni goes to posho na mishahara and the rest ndio kwenye shughuli za maendeleo ya walipa kodi? Come on now. Angalia Marekani wanapokopa wanafanya nini na matumizi yao. Kukopa kwa serikali yoyote sio tatizo, unakopa kwenda kufanyia nini? na unachokifanya kitasaidia kuweza rudisha mkopo au atleast punguza mkopo in the future parallel to lifting the rural mass?

Msamehe bure uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi una tofautiana kwa kila mtu!!
 
[/SIZE]Mkuu sijakuwelewa au labda macho yangu yamechoka. According to taarifa ya Mr Luoga (TRA deputy Commissioner) ya March 2011, inasema the July-February 2010/11 tax collection was equal to 67 per cent of the annual target of Sh 5.652 trillion. Ukiangalia hapo, ilikuwa imebakia miezi minne tuu mwaka wa fedha uishe. Anasema, the highest monthly collection was recorded in December 2010 (which is understandable), when TRA managed for the first time to collect Sh 572.3 billion. Ina maana from March to June 2011, TRA waliweza kukusanya zaidi ya sh 2.6 trillion? Kwamba by February 2011 walikuwa tayari wameshafikia target yao? If so, why that collection was equal to 67% of the annual target of Sh 5.652 trillion? Please nisahihishe kama nimekosea somewhere.
8 months is 67% of 12months. NazDaz's data are doubtful.
 
Government revenue is mainly but not only taxes. Kuna income zingine huwa zinapatikana kutokana na interests za akiba ya serikali...etc, I expect you to know that.

Without forgetting foreign aid.
 
Mkishindwa hoja huwa mnaanza fujo, hata hapa unaanzisha hayohayo, hamna cha kusema;

Weka idadi ya barabara za lami kabla ya Kikwete
Weka idadi ya Shule kabla ya Kikwete.
Weka idadi ya Waalimu kabla ya Kikwete
Weka idadi ya Zahanati kabla ya Kikwete
Weka idadi ya Viwanda kabla ya Kikwete
Weka idadi ya Utalii kabla ya Kikwete
Weka idadi ya Umeme kabla ya Kikwete
Weka idadi ya Maji kabla ya Kikwete
Weka idadi ya kazi kabla ya Kikwete
Weka idadi ya biashara kabla ya Kikwete
Weka idadi ya umaskini kabla ya Kikwete
Weka idadi ya kilimo kabla ya Kikwete
Weka idadi ya bidhaa zinazopita bandari zetu kabla ya Kikwete
Weka akiba ya fedha tulokuwa nayo kabla ya Kikwete


Ukimaliza weka na idadi ya wakati huu wa Kikwete, itayokuwa zaidi ya leo hii wakati wa Kikwete, mimi naihama CCM leo hii.​

....Shule za kata ..bila walimu wala vitabu na maabara
....Umeme wa mgao na usio na uhakika
....Maji ya shida..na sio salama wala masafi..
...Ajira zile milioni mbili za vijana..ni kuuza Vocha na maji bara barani
....Mizigo wageni toka nje wanahamia mombasa
........?????????
 
Merekani wanakopa itakuwa Tanzania? mnanchekesha!
marekani wanakopa kwa mabo ya msingi kama vile kutoa huduma za afya, elimu n.k kwa wananchi sio kulipana posho, safari za rasi na kufumiba macho ufujaji wa wazi wazi wa fedha.
 
Without forgetting foreign aid.
Yeah... you know even a nation like Israel gets foreign aid, Egypt etc... a lot of foreign aid. So, trust me thats how it's gon be until we get off our butts and work harder and smarter.
 
Back
Top Bottom