IMF, Benki ya Dunia na nchi wafadhili, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa serikali hii ya Tanzania?

IMF, Benki ya Dunia na nchi wafadhili, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa serikali hii ya Tanzania?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,142
Reaction score
162,536
Kutokana na uchaguzi usiokidhi vigezo vya kimataifa plus mauji ya raia wengi wasio na hatia waliojitokeza kupinga huu uchaguzi wa tarehe 29 October 2025, IMF, Benki ya Dunia na nchi wahisani, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa hiii serikali?

Tukumbuke hata ripoti za waangalizi karibu zote zimepinga huu uchaguzi huku zikieleza mapungufu kadhaa, mapungufu ambayo hata clip zilizochukuliwa kwenye baadhi ya vituo vya kura, zinathibisha madudu yaliyofanyika kwenye vituo vya kupiga kura.

Binafsi, naona tujiandae kwa mbinyo wa kimataifa na kama ni kukopa, basi labda tutakopa China.

Time will tell.
 
Kutokana na uchaguzi usiokidhi vigezo vya kimataifa plus mauji ya raia wengi wasio na hatia waliojitokeza kupinga huu uchaguzi wa tarehe 29 October 2025, IMF, Benki ya Dunia na nchi wahisani, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa hiii serikali?

Tukumbuke hata ripoti za waangalizi karibu zote zimepinga huu uchaguzi huku zikiekeza mapungufu kadhaa, mapungufu ambayo hata clip zilizochukuliwa kwenye baadhi ya vituo vya kura, zinathibisha madudu yaliyofanyika kwenye vituo vya kupiga kura.

Binafsi naona tujiandae kwa mbinyo wa kimataifa na kama ni kukopa, basi labda tutakopa China.

Time will tell.
Wakipewa ujue wameenda kupiga magoti vibaya sana..
 
Kutokana na uchaguzi usiokidhi vigezo vya kimataifa plus mauji ya raia wengi wasio na hatia waliojitokeza kupinga huu uchaguzi wa tarehe 29 October 2025, IMF, Benki ya Dunia na nchi wahisani, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa hiii serikali?

Tukumbuke hata ripoti za waangalizi karibu zote zimepinga huu uchaguzi huku zikiekeza mapungufu kadhaa, mapungufu ambayo hata clip zilizochukuliwa kwenye baadhi ya vituo vya kura, zinathibisha madudu yaliyofanyika kwenye vituo vya kupiga kura.

Binafsi naona tujiandae kwa mbinyo wa kimataifa na kama ni kukopa, basi labda tutakopa China.

Time will tell.
Wataendelea, hao ni wafanyabiashara.
 
Kwa sasa usitegemee mbinyo mkubwa sana kimataifa kutoka US au Ulaya kwa sababu Marekani yuko Trump asiyejali mambo ya demokrasia au utawala bora Africa na kwa upande Ulaya wanakabiliwa na vita vya Ukraine, matatizo ya uchumi na uhamiaji pamoja US isiyotabirika au kuwa upande wao sana.
 
Kutokana na uchaguzi usiokidhi vigezo vya kimataifa plus mauji ya raia wengi wasio na hatia waliojitokeza kupinga huu uchaguzi wa tarehe 29 October 2025, IMF, Benki ya Dunia na nchi wahisani, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa hiii serikali?

Tukumbuke hata ripoti za waangalizi karibu zote zimepinga huu uchaguzi huku zikieleza mapungufu kadhaa, mapungufu ambayo hata clip zilizochukuliwa kwenye baadhi ya vituo vya kura, zinathibisha madudu yaliyofanyika kwenye vituo vya kupiga kura.

Binafsi, naona tujiandae kwa mbinyo wa kimataifa na kama ni kukopa, basi labda tutakopa China.

Time will tell.
Leo utaandika thread nyingi kama kichaa. Ndoto yenu ya kuchukua nchi imezimwa kama mshumaa Kwikwikwikwikwikwi
 
Back
Top Bottom