yule demu ni mwepesi sana just like to push a drunkerd from a steep slope whose gradient is at infinity
yuko siti no. G3 katika basi langu........
sii hivyo, anachokiseama jamaa chaweza kuwa kweli kabisa si kama unavyosema kuwa hazitaki mbichi hizo,ninachomuasa hashimu ni kuwa demu wa kweli ni yule aliyekuwa akimpenda wakati yuko makongo so kwa hawa mademu wa kibongo watakaojipendekeza sasa ni kwa kuwa wewe ni another level kuwa mwangalifu afadhali ukaowe huko huko hawa wanataka njia ya kwenda kufanya mambo yao kupitia wewe na ilivyo mamiss wengi siyo wanawake wa kuowa micharuko mitupu tafuta mwanamke from no where watakuliza naomba mwenyekuweza ammpelekee salamu hizi hashimu namuhurumia na kama kweli kesha mbeba analo hilo.mmh, isijekuwa ni zile story za sizitaki mbichi hizi...
Kama wamependana ALL THE BEST.
Alafu upande mwingine why ndoa za mastaa huwa hazidumu?
Yeah ni mzuri sana kwa tuliokweisha faida twamjuaMtoto mzuri sana yule
Yeah ni mzuri sana kwa tuliokweisha faida twamjua
Mbona iko wazi dadangu hujaelewa nini hapoSijaelewa sentesi yako broda
Mbona iko wazi dadangu hujaelewa nini hapo
Superstar Vs Superstar mh ,kwanza kwa AY sasa kwa Hasheem,mh mambo ya kupenda umaarufu