Toa ushauri hao wagonjwa wakatibiwe wapi?maana hospital imeshindikana sindano ya insulin asubuhi na jioni maisha yote si mateso hayo?
Nimekueleza maiti zimezagaa Loliondo, watu wanakufa wakiacha insulin wanakimbilia kwa babu. Akili mkichwa.
Toa ushauri hao wagonjwa wakatibiwe wapi?maana hospital imeshindikana sindano ya insulin asubuhi na jioni maisha yote si mateso hayo?
Viongozi wengi wa serikali wameenda huko na serikali ipo. Kwa nini tamko rasmi la serikali lisitolewe hata kwa jambo kama hili?? Nchi Hii inakwenda wapi?
Hata swala la babu linahitaji kikao cha baraza la mawaziri (ambalo mwenyekiti wake ni rais)?
unajua mlevi hata ukimuonesha sura katika bible inayokataza pome hawezi elewa, au teja umpe maneno ya kusaidia asitumie midawa ya kulevya hatokuelewa, sasa ndio wewe. Ivi unadhani mungu siangemwambia pia kuwa watu watakuwa wengi kwahiyo mazingira yalekebishwe?
Taarifa ya saa mbili usiku TBC 1 wameonesha picha za watu wakiwa wamekufa kwa babu Loliondo.
This is very serious, tuamke tuachane na imani potofu, nna amini Mungu ameanza kudhihirisha kuwa he is not involved in that business because otherwise angewaponya hata kabla hawajafika kwa babu.
Nashauri serikali iingilie kati because soon wananchi wataigeukia na kuilaumu na hata kuanzisha maandamano kwa kutowajali wananchi wake ambao wanakufa hovyo porini.
Shida iliyopo hawa wote wanachukuliwa kama Waganga wa Jadi na so far hakuna sheria yoyote inayowabana. As long as hawawalazimishi watu kwenda huko bali wanaenda wenyewe, Serikali ni vigumu kufanya kitu.
Wapo pia wanaodai wanaponya magonjwa kiimani kama Vipofu, Viziwi nk na makanisa yao yamejaa tu watu wakiamini hivyo. lakini hadi leo hakuna aliyewauliza ushahidi wa kisayansi au Serikali kuingilia kati.
Nafikiri ukiongeza sample itakua vizuri zaidi. mimi namjua mtu alikua na HIV na alikua anavalishwa nepi na kuanikwa nje, baada ya kikombe tupo naye B. Bar Daily
2. Saratani - 100% ACTIVE
4. Ukimwi - 99% ACTIVE[/B][/COLOR][/SIZE]
nisaidieni kuelewa tofauti kati ya WAGANGA WA JADI, WAGANGA WA KIENYEJI NA FAITH HEALERS
Babu siyo mganga wa jadi ....
mbona muhimbili kwenye madokta mochuary inajaa kila siku au nako unatoa ushauri gani?
Inaelezwa kuwa wastani wa watu 7 wanakufa daily ktk harakati za kutafuta kikombe. Maiti zimetapakaa! Alaumiwe nani? Source TBC
Lukuvi na sijui Mponda=SerikaliInaelezwa kuwa wastani wa watu 7 wanakufa daily ktk harakati za kutafuta kikombe. Maiti zimetapakaa! Alaumiwe nani? Source TBC
Musa alipozungumza na mwenyezi Mungu na kupewa maagizo ya kuwakabili wana Israeli kuna mtu alimhoji(interrogation)kuhusu vipi alivyozungumza na mwenyezi Mungu? Haya ni mambo ya imani na hayawezi kuhakikiwa kama unavyotarajia. Kama kasisi ni mwongo basi hukumu yake iko mbele ya mwenyezi Mungu lakini sisi binadamu ni nani kuhukumu? Madai ya kasisi Mwakipesile yana misingi kamili katika biblia isipokuwa kama wewe hujaisoma na kuielewa.Maggid, anasema ukweli. kanisa la kkkt linajua nini maana ya mtu kudai ameoteshwa na mungu.kitheolojia, ina maana gani mtu anaposema amemuona mungu? nimewahi kuanzisha mada hapa ambayo ilishambuliwa pia kuwa jambo hili litaaibisha kkkt.tusubiri tuone. kuna interrogation yoyote imefanyika kuhakiki madai ya babu kuonana na mungu? hakuna. hivyo jambo analodai halina misingi yoyota ya kibiblia, kitheologia, wala kiimani.ni lazima kuchunguza izo roho, maana si zote hutoka kwa mungu.na kuna objective criteria kujudge kama madai ya mtu kuwasiliana na divine beings ni sahihi. hakuna hata mija ambalo limefanywa kwa babu wa loliondo. kuna watakaosema mara moja, hakuna vitu hivyo kupima jielimisheni kwanza kisha mpinge.kuna elimu ya biblia, na hata masuala ya imani zipo elimu zinazoyahusu na mamlaka za kaya regulate. hongera maggid kuwa kati ya watanzania wachache wanaojiuliza kabla ya kutembea gizani