Elections 2015 Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Mie hadi homa . Kichwa kinauma sana ndugu zangu. Kila kukicha ni uhuni tu huku kwetu. Kwa nini hatuwi wawazi kuhusu masuala ya demokrasia? Leo hii inasemekana kashinda Seif ila dosari ni kujitangaza kuwa kashinda, kesho ccm itakuja na kudai kurudiwa uchaguzi. Kikubwa ni kuwa mshindi si lazima ajulikane kwa sababu kura zinahesabiwa mara baada ya vituo kufungwa na matokeo kutolewa hapo hapo. Sasa ni ajabu gani mtu kujua matokeo yake na kudai kutangazwa kama anaona mawengewenge ya kuhujumiwa?
 
Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.

CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha

Kama ambavyo hata CCM walivyojua kuwa Matokeo ya uchaguz wa 2015 matokeo yangetangazwa kama yalivyo walishagalagazwa vibaya kule Zanzibar
 
Aisee mkuu Pasco mbona unakuwa na reasoning za kijinga hivyo. In the same way, kwa kuwa Magufuli alishinda basi uchaguzi urudiwe kwa kuwa ana uhakika wa kushinda tena!

Hiyo siyo maana halisi ya demokrasia! Aliyeshinda ndiyo mshindi, siyo kurudia uchaguzi
hahaha mkuu mi mwenyewe nimemshangaa ameanza vizuri then akamalizia na upuuzi
 
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili waweze kupata ushindi wa bao la mkono!.

Msomi Kidawi Limbu amesema uthibitisho kuwa CUF ndio iliyoshinda, ni matokeo ya uchaguzi uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimgaagaza vibaya mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa vile wapiga kura ni wale wale, na chama cha wananchi CUF, kilikuwa ni msharika katika UKAWA, haiwezekani wapiga kura wale wale, wamchague mgombea wa UKAWA kwenye urais wa Muungano na kumpiga chini mgombea wa CCM, halafu wapiga kura hao hao, wakaja kumpigia kura mgombea wa CCM, kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, CUF ilishinda, Maalim Seif Shariff Hamad, ndie rais halali wa Zanzibar ila hajatangazwa!.

Maadam tarehe ya uchaguzi wa marudio imeishatangazwa , na kama ni kweli Seif Shariff Hamad, alishinda, kuna ubaya gani kama CUF watashiriki tena uchaguzi huu wa marudio na kuwa makini sana na bao la mkono, hivyo Maalim Seif Shariff Hamad, si ni atashinda tena?!.

Source: Nimemsikia mwenyewe kwa masikio yangu!.

Pasco

Nimeifungua fasta hii thread nikitegemea kupata jipya hilo hadi liandikwe imethibitika lkn sijapata!!!
BTW Pasco...hivi miaka yoooooteee hiyo na jinsi ninavyo kufahamu LEO KWENYE MDAHALO HUO NDO UMETHIBITISHA USHINDI WA MAALIM??? TENA KUTOKA KWA KIDAW LIMBU (The forsaken Chairman of ADC)
IS IT A RELIABLE SOURCE TO YOU PASCO???? Vielelezo gani alivyotoa humo kwenye mdahalo hadi ukurupuke kusema UMETHIBITISHA Pasco? ?? Waooo thats fantastic. ...pole bro ila ni kujifunza tu
 
Kama kuongea kuwa Maalim kashinda wengi wamesema, watupe uthibitisho usio na Shaka basi

Uhibitisho usio na shaka unapatikana kwa kujumlisha matokeo ya vituo vyote vya wapiga kura yaliyobandikwa kila kituo baada ya upigaji kura kumalizika!!! Jumla hiyo ndiyo yaliyoonesha kuwa maalim Seffu ndio alikuwa mshindi!!
 
Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.

CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
Kumbe huaga kuna bao la mkono kwenye uchaguzi?
 
Kwa vile wapiga kura ni wale wale, na chama cha wananchi CUF, kilikuwa ni msharika katika UKAWA, haiwezekani wapiga kura wale wale, wamchague mgombea wa UKAWA kwenye urais wa Muungano na kumpiga chini mgombea wa CCM, halafu wapiga kura hao hao, wakaja kumpigia kura mgombea wa CCM, kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, CUF ilishinda, Maalim Seif Shariff Hamad, ndie rais halali wa Zanzibar ila hajatangazwa!.

Huyo atakuwa msomi uchwara; wapiga kura wa uchaguzi wa Zanzibar na wa Muungano siyo "wale wale" katika mazingira yote na kwa namna zote. Wapo wanaopiga kura uchaguzi wa Muungano lakini hawapigi wa Zanzibar! Kama hili huyo msomi halielewi basi hitimisho lake linaanguka kwa kukosewa kwenye premise yake.
 
Nikadhani huyo Limbu kaweka ushahidi mezani ambao haukuwahi kuwepo kabla kumbe kwa sababu kasema msomi basi inakuwa imethibitika.

Reasoning zingine zinakufanya utilie shaka utimamu wa akili wa baadhi ya waleta mada.
 
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili waweze kupata ushindi wa bao la mkono!.

Msomi Kidawi Limbu amesema uthibitisho kuwa CUF ndio iliyoshinda, ni matokeo ya uchaguzi uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimgaagaza vibaya mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa vile wapiga kura ni wale wale, na chama cha wananchi CUF, kilikuwa ni msharika katika UKAWA, haiwezekani wapiga kura wale wale, wamchague mgombea wa UKAWA kwenye urais wa Muungano na kumpiga chini mgombea wa CCM, halafu wapiga kura hao hao, wakaja kumpigia kura mgombea wa CCM, kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, CUF ilishinda, Maalim Seif Shariff Hamad, ndie rais halali wa Zanzibar ila hajatangazwa!.

Matokeo Rasmi ya uchaguzi ya Urais wa Zanzibar ambayo yanaonyesha wazi kuwa CCM imeshindwa kwa kura nyingi sana kwa kiwango na uzoefu wa Zanzibar, hata kura za Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa upande wa Zanzibar zinaonyesha hivyo hivyo na kwa hiyo kuthibitisha kuwa CCM ilipoteza uchaguzi huo. Kwa muhtasari matokeo ya Urais wa Muungano kwa upande wa Zanzibar ni kama yafuatavyo:


MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA

DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%

EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%

IDADI YA KURA HALALI 417,882

Matokeo ya kura za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani yote yanaonyesha CCM imeshindwa kwa idadi ya kura za walio wengi (popular votes). CCM imeweza kupata viti sawa na CUF katika uwakilishi na ubunge kwa sababu ya mbinu zilizotumika katika ukataji wa majimbo.

Maadam tarehe ya uchaguzi wa marudio imeishatangazwa , na kama ni kweli Seif Shariff Hamad, alishinda, kuna ubaya gani kama CUF watashiriki tena uchaguzi huu wa marudio na kuwa makini sana na bao la mkono, hivyo Maalim Seif Shariff Hamad, si ni atashinda tena?!.

Source: Nimemsikia mwenyewe kwa masikio yangu!.

Pasco

Acha ujinga
 
Nimeifungua fasta hii thread nikitegemea kupata jipya hilo hadi liandikwe imethibitika lkn sijapata!!!
BTW Pasco...hivi miaka yoooooteee hiyo na jinsi ninavyo kufahamu LEO KWENYE MDAHALO HUO NDO UMETHIBITISHA USHINDI WA MAALIM??? TENA KUTOKA KWA KIDAW LIMBU (The forsaken Chairman of ADC)
IS IT A RELIABLE SOURCE TO YOU PASCO???? Vielelezo gani alivyotoa humo kwenye mdahalo hadi ukurupuke kusema UMETHIBITISHA Pasco? ?? Waooo thats fantastic. ...pole bro ila ni kujifunza tu
Mchangiaji nawe tunakuomba utoe vielelezo alivyotumia Jecha KUFUTA uchaguzi!
 
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili waweze kupata ushindi wa bao la mkono!.

Msomi Kidawi Limbu amesema uthibitisho kuwa CUF ndio iliyoshinda, ni matokeo ya uchaguzi uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimgaagaza vibaya mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa vile wapiga kura ni wale wale, na chama cha wananchi CUF, kilikuwa ni msharika katika UKAWA, haiwezekani wapiga kura wale wale, wamchague mgombea wa UKAWA kwenye urais wa Muungano na kumpiga chini mgombea wa CCM, halafu wapiga kura hao hao, wakaja kumpigia kura mgombea wa CCM, kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, CUF ilishinda, Maalim Seif Shariff Hamad, ndie rais halali wa Zanzibar ila hajatangazwa!.

Matokeo Rasmi ya uchaguzi ya Urais wa Zanzibar ambayo yanaonyesha wazi kuwa CCM imeshindwa kwa kura nyingi sana kwa kiwango na uzoefu wa Zanzibar, hata kura za Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa upande wa Zanzibar zinaonyesha hivyo hivyo na kwa hiyo kuthibitisha kuwa CCM ilipoteza uchaguzi huo. Kwa muhtasari matokeo ya Urais wa Muungano kwa upande wa Zanzibar ni kama yafuatavyo:


MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA

DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%

EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%

IDADI YA KURA HALALI 417,882

Matokeo ya kura za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani yote yanaonyesha CCM imeshindwa kwa idadi ya kura za walio wengi (popular votes). CCM imeweza kupata viti sawa na CUF katika uwakilishi na ubunge kwa sababu ya mbinu zilizotumika katika ukataji wa majimbo.

Maadam tarehe ya uchaguzi wa marudio imeishatangazwa , na kama ni kweli Seif Shariff Hamad, alishinda, kuna ubaya gani kama CUF watashiriki tena uchaguzi huu wa marudio na kuwa makini sana na bao la mkono, hivyo Maalim Seif Shariff Hamad, si ni atashinda tena?!.

Source: Nimemsikia mwenyewe kwa masikio yangu!.

Pasco
 
Kaka pasco...kwanza kula like... kwa analysis yakinifu... lakn hapo swala la kurejewa uchaguzi bro... naomba upembuzi zaidi... if Maalim participates katika huu uchaguzi... and wins kwa margin kubwa.. kama alivoshinda october... what are the chances ya yy kutangazwa? Je atatangazwa... au akishinda tena uchaguzi utafutwa tusubiri siku 90 nyengine?..nisaidie
 
Kama kuongea kuwa Maalim kashinda wengi wamesema, watupe uthibitisho usio na Shaka basi
Upo uzi hapa JF ambamo ziliwekwa zile fomu za matokeo zilizotoka majimboni. Ziliwekwa siku za mwanzoni baada ya Jecha kuamriwa na ssm kutengeneza mkwamo.
Utafute uzi huo,ujiridhishe. CCM walipigwa na chini na wapiga kura kama kawaida tangia 1995.
 
Cuf wasikubali kurudia uchaguzi. Muda wote huu jamaa walikuwa wanajiandaa kupanua ile milingoti ya magoli ili kuongeza urahisi wa magoli menginzaidi kuingia.
 
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili waweze kupata ushindi wa bao la mkono!.

Msomi Kidawi Limbu amesema uthibitisho kuwa CUF ndio iliyoshinda, ni matokeo ya uchaguzi uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimgaagaza vibaya mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa vile wapiga kura ni wale wale, na chama cha wananchi CUF, kilikuwa ni msharika katika UKAWA, haiwezekani wapiga kura wale wale, wamchague mgombea wa UKAWA kwenye urais wa Muungano na kumpiga chini mgombea wa CCM, halafu wapiga kura hao hao, wakaja kumpigia kura mgombea wa CCM, kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, CUF ilishinda, Maalim Seif Shariff Hamad, ndie rais halali wa Zanzibar ila hajatangazwa!.

Matokeo Rasmi ya uchaguzi ya Urais wa Zanzibar ambayo yanaonyesha wazi kuwa CCM imeshindwa kwa kura nyingi sana kwa kiwango na uzoefu wa Zanzibar, hata kura za Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa upande wa Zanzibar zinaonyesha hivyo hivyo na kwa hiyo kuthibitisha kuwa CCM ilipoteza uchaguzi huo. Kwa muhtasari matokeo ya Urais wa Muungano kwa upande wa Zanzibar ni kama yafuatavyo:


MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA

DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%

EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%

IDADI YA KURA HALALI 417,882

Matokeo ya kura za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani yote yanaonyesha CCM imeshindwa kwa idadi ya kura za walio wengi (popular votes). CCM imeweza kupata viti sawa na CUF katika uwakilishi na ubunge kwa sababu ya mbinu zilizotumika katika ukataji wa majimbo.

Maadam tarehe ya uchaguzi wa marudio imeishatangazwa , na kama ni kweli Seif Shariff Hamad, alishinda, kuna ubaya gani kama CUF watashiriki tena uchaguzi huu wa marudio na kuwa makini sana na bao la mkono, hivyo Maalim Seif Shariff Hamad, si ni atashinda tena?!.

Source: Nimemsikia mwenyewe kwa masikio yangu!.

Pasco

Maoni ya mtu, na takwimu zisizoeleweka, umeongezea na mahaba yako umepata jibu Maalim alishinda. Ama kweli ujinga mzigo... kakojoe ukalale...
 
Huyo atakuwa msomi uchwara; wapiga kura wa uchaguzi wa Zanzibar na wa Muungano siyo "wale wale" katika mazingira yote na kwa namna zote. Wapo wanaopiga kura uchaguzi wa Muungano lakini hawapigi wa Zanzibar! Kama hili huyo msomi halielewi basi hitimisho lake linaanguka kwa kukosewa kwenye premise yake.

Watu wanaendelea kupiga porojo tu waacheni wajiliwaze, maana walifikiri Watanzania wamelala usingizi wa pono. Peremende ambazo wanalamba lamba bado hazijaisha. Give them 2 years utaona ngoma itakavyokuwa tamu, hizi pipi zote zitasafishwa kwa udi na uvumba.
 
Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.

CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
Aisee...
 
Back
Top Bottom