Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Wenyewe hawataki kabisa kusikia ikosozi juu ya Zanzinar,
Kuwa makini Pasco
Kuwa makini Pasco
Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.
CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
Tuonyeshe ki,bo gani lililamika rafu?Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.
CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
Hiyo itathibitishwa the hague wakati jecha anasulubiwa hukoKama kuongea kuwa Maalim kashinda wengi wamesema, watupe uthibitisho usio na Shaka basi
Wenyewe hawataki kabisa kusikia ikosozi juu ya Zanzinar,
Kuwa makini Pasco
Sasa hivi anatapa tapa maana anamjua vizuri fatou bensoudaView attachment 318557
Hivi CCM walilalamikia wapi hizo kasoro na zikasikilizwa na kutolewa maamuzi. Mbona ni Jecha tu ndiye alitangaza na si makubaliano ya Tume? Labda fikiria hii barua ya Jecha
View attachment 318557
Huyo ndiye bingwa wa kurusha sherehe za ccmWaandishi uchwara utawajua tu, kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu viwili tofauti.
kwa andiko hili amedhalilika sana .Sarakasi za Pasco!
Pasco Siku Seif Sharif alifanya mkutano hivi karibuni na waandishi wa habari alitoa idadi ya kura alizopata Lowassa na Magufuli. Pia laitoa idadi ya kura alizopata Shein na alizopata yeye. Fungua na usome document attached, WARAKA1.Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili waweze kupata ushindi wa bao la mkono!.
Msomi Kidawi Limbu amesema uthibitisho kuwa CUF ndio iliyoshinda, ni matokeo ya uchaguzi uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimgaagaza vibaya mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.
...
Pasco
Nimeipenda hoja yako. Upo sahihi. Niliuliza majuzi hapa jukwaani kama Pasco bado anajitambua! NI hatari sana kuwa na waandishi wa aina ya Pasco!
Kmuita Jecha mzee ni uhayawani, lile lafaa kuitwa jitu , kuwa na baba kama jecha ni fedheha kubwa duniani
..Kama amethibitisha ameshinda basisiku hiyo ya uchaguzi ndio siku Maalim ataapishwa mnazi mmoja znz. Soku hio cuf na wazanzibari wote wataenda kumuapisha rais wa znz alie chaguliwa....ccm watakwenda kwenye uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti wao siku hio..tena bila kuguswa lakini wazanzibari wao watAkua wamemwapisha rais halali
Eidha hujui au unafanya kusudi kujitoa chaji...Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.
CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
MkuuWenyewe hawataki kabisa kusikia ikosozi juu ya Zanzinar,
Kuwa makini Pasco