ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Tunawafundisha nini watoto wetu Bandugu?. Ni mzazi wa Kitanzania, anatundika picha ya mwanae hewani hivi ili walimwengu waone jinsi aleavyo mwanae.
Huyu mtoto hajui afanyalo na akikua kwa maadili haya, mzazi atakuwa na haki ya kumkea mtoto kama huyu?.Hivi ile Sheria ya Watoto (The Children Act, 2009 http://www.africa.gnrc.net/mm/file/positionpapergnrc.pdf) ina maana yeyote kwa Watanzania kama ilivyo kwa wenzetu Ulaya na Marekani ? Tokea imetingwa mwaka Jana 2009, sijapata kusikia makali yake hata kidogo japo ilisemekana itazuia mambo kama haya ikiwemo kupiga vita tabia za wazazi kuwatuma watoto baa au kuingia nao Baa na kumbi za starehe .