Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Kuna tetesi kuwa raia asiye na hatia wa nchi jirani aliuawa na mashabiki wa cdm ambao wengi wao ni vibaka.
Raia huyo alikuwa amekuja kibiashara hivyo alikuwa na pesa.
Inaaminika aliuawa kwa bastola chini ya kivuli cha fujo walizozianzisha ili ionekane kuwa mtu huyo ameuawa na Polisi.
Hii ni aibu na uhuni uliopitiliza. Viongozi wa chama hiki lazima wawajibishwe kwa kuchochea wafuasi wao kuua.
Maoni ya wengi ni kwamba Msajili wa vyama anachelewa kukitambua CDM kama CHAMA CHA KIGAIDI ili kifutwe na kuinusuru nchi yetu.
KWA MAUAJI YA ARUSHA KAMWE HATUTAWASAMEHE. You will pay for it!
Raia huyo alikuwa amekuja kibiashara hivyo alikuwa na pesa.
Inaaminika aliuawa kwa bastola chini ya kivuli cha fujo walizozianzisha ili ionekane kuwa mtu huyo ameuawa na Polisi.
Hii ni aibu na uhuni uliopitiliza. Viongozi wa chama hiki lazima wawajibishwe kwa kuchochea wafuasi wao kuua.
Maoni ya wengi ni kwamba Msajili wa vyama anachelewa kukitambua CDM kama CHAMA CHA KIGAIDI ili kifutwe na kuinusuru nchi yetu.
KWA MAUAJI YA ARUSHA KAMWE HATUTAWASAMEHE. You will pay for it!